Wow😂😂😂😂😂!!! Nilifikiri kipindi kimekufa kumbe wamerudi upyaaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂
@mathewkunyekwa8931
Жыл бұрын
Nawakubali mnooo,hasa huyu maneno mengi
@PascoPai
Жыл бұрын
Mbona hushangai mbwa wanavalishwa chupi uko mjini 😅😅😅😅😅
@clichytraveller6897
Жыл бұрын
We are happy to see you guys again I love this team
@tanzcanmediatv4473
Жыл бұрын
Walikuwa wanaonyesha wapi na sasa hivi wanaonyesha wapi asante
@AishaHaji-jn7sg
Жыл бұрын
🤣😂😂😂😂😂😂mboyoyo is always my no 1
@VictoriaYongola
Жыл бұрын
Same to me ety pesa yenyewe ya mama mkwe😂😂
@PascoPai
Жыл бұрын
Mbona hushangai mbwa wanavalishwa chupi uko mjini 😅😅😅😅😅
@officialnuhu8163
Жыл бұрын
Cha uroho bhana😂😂😂😂
@slimmuhabesh2400
Жыл бұрын
Bora Mlivyorudi... Chibu Usiwaondoe Hawa Tafadhali
@maswarramadhan6462
Жыл бұрын
Nmefurah sanaaa mmerud tenaa mi ni fun wenu wa kwanza kabisaa🔥🔥🔥
@peninashungu6633
Жыл бұрын
nawapenda awa jaman wapo vile vile awa edit ata rangi Zao 😊
@VintanDismas-dy2qk
Жыл бұрын
Hakuna mtu amewamc kama mm hahahahahahahahahhahah
@Rukaka_jr
Жыл бұрын
Kam mwanao mazembe mkutnishe na yanga watamnyoosha, kwako kolo fc 😀😀😀
@kassimdrake9527
Жыл бұрын
Kama mwanao ni uto mpe🦁 atamtia pumbu kwenu studio
@VintanDismas-dy2qk
Жыл бұрын
Kuku washakula wenye akr zao
@sajdatomar6025
Жыл бұрын
Mwanamke hajui kuongea kipemba bora tafuteni lafudhi nyengine yakuongea kipemba kdg kinawapiga chenga 😮 mtaharibu kipindi but mko vizuri sana love from zanzibar
@shaibhasan9233
Жыл бұрын
Huwez kuwakosoa haooo wanajua sanaaaaaaaaa
@VintanDismas-dy2qk
Жыл бұрын
Unataka aongeee kipema kip maan Zanzibar kubwa kwahvy tulia
@sajdatomar6025
Жыл бұрын
@@VintanDismas-dy2qk kipemba ni kimoja tu hakuna vipemba viwili haujui ndio mana unatoka povu sasa mm ndio kwetu huko ndio mana mana nimesema hawajui so unataka ushindane na mwenye lugha yake or
@sajdatomar6025
Жыл бұрын
@@shaibhasan9233 wasikosolewe km nani na wanakikosea nawenye tunaojua tunajua ndio mana tumesema km wanakosea hawajui so
@naseebjoseph5330
Жыл бұрын
Huna akili😂
@Richesfam
Жыл бұрын
Kiswahili cha ule actor anaye portray YESU, mbona Kikali? Sikielewi 😮. Kiswahili kigumu
@slimmuhabesh2400
Жыл бұрын
😂
@PascoPai
Жыл бұрын
Mbona hushangai mbwa wanavalishwa chupi uko mjini 😅😅😅😅😅
@PascoPai
Жыл бұрын
Mbona hushangai mbwa wanavalishwa chupi uko mjini 😅😅😅😅😅
@PascoPai
Жыл бұрын
Mbona hushangai mbwa wanavalishwa chupi uko mjini 😅😅😅😅😅
@PascoPai
Жыл бұрын
Mbona hushangai mbwa wanavalishwa chupi uko mjini 😅😅😅😅😅
@PascoPai
Жыл бұрын
Mbona hushangai mbwa wanavalishwa chupi uko mjini 😅😅😅😅😅
@jamesmghase3252
Жыл бұрын
Jamaa wamerudi❤
@baysadam235
Жыл бұрын
Nawapenda snaa jambo n vijambo endeleeni kutuleteya madude🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@marthageorge5043
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@wazirmasokola5951
Жыл бұрын
Tumewamiss sana aisee hongereni kwa kulejea😂😂😂
@musambaruku6661
Жыл бұрын
Mbona anaRoho mbaya chana amenichoma huku nimemuacha huku nimemuacha alaf ananichoma ndevu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@naniyesamson5238
Жыл бұрын
You guys nawakubali sana💥💥 the talent and creativity ni balaa🙌
@badmanno.1650
Жыл бұрын
Kwa mkapa hatoki mtu ila sio kwa raja Casablanca 😢😢
@leylarajabu5
Жыл бұрын
Ety akupe taraka yako tuondoke zetu😂😂😂
@bleezytalentmusic5912
Жыл бұрын
Ni furaha sana kuwaona tena tunaomba msipotee ghafra
@hamispazi4413
Жыл бұрын
Kwa Mkapa hatoki mtu ila sio kwa Raja Casablanca"😅😅😅😅😅
@paulalove1223
Жыл бұрын
Nyimbo zao nazipenda wananikumbusha mbali😂😂
@shukurumboherwa7191
Жыл бұрын
Siku mingi sana atuwaoni kipindi kyetu kipendwa ❤❤
@frankjohachim5405
Жыл бұрын
Wali wa izi kazi it's back again 😂😅 Jogolo jogolo odiba mieeehh🙌🙌 Nawakubali miaka ya cobe One love from Iraq bagdad 🇸🇾🌍✌️
@hamzasogodo
Жыл бұрын
One of the best comedians
@dotoomary6889
Жыл бұрын
Nawapenda hongera wcb kwa kutuletea tena
@khalidngwembele9075
Жыл бұрын
Kuna tofauti kati ya wcb na wasafi tv
@dotoomary6889
Жыл бұрын
Si ni kampun moja au
@gustavompemba1781
Жыл бұрын
@@khalidngwembele9075 mkurugenz mtendaji wao nan
@khalidibero
Жыл бұрын
Kama yeye na mama kilakshari kumbe ni mke na mume. Safi sana hawanaga ngendembwe.
@shadyasalum192
Жыл бұрын
Kumbee mpo jamani mlikuwa kimyaa sana kipindi nakipenda hichi like hapa 🤣🤣🥰🥰🥰
@janetahmed6948
Жыл бұрын
mi nazani wanafanya kazi kwa mda ukiisha wanatulia nilikua nawa miss
@saidykaswiza9991
Жыл бұрын
Nawakubal sana vijambo na vimambo😂😂😂🤣🤣🤣👏👏
@abubakariibrahim5375
Жыл бұрын
Hawa jamaa awajawai kuniangusha ata siku moja walikua kimya nikahisi wamepotea 🙌🙌🙌🙌🙌
@henryabisalami4646
Жыл бұрын
Handcap.😂😂😂
@shyfettymtunda4619
Жыл бұрын
Alee jogolo jangu 🎶🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@luqmanasensio9916
Жыл бұрын
I love you😂😂😂😂
@adinankojulianko219
Жыл бұрын
Kazola Leo Anasema chakula kingi?
@sulaymanwaziri4455
Жыл бұрын
Majiraniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii))))))))))))))))))))))))))))) shangwe lemerudi tena huku 🤣🤣🤣🤣🤣
@brunoh_bx
10 ай бұрын
Huyo dada huwa namkubal sana yaan😂😂😂
@thomasnachenga795
Жыл бұрын
Mama kilakshali mi shabiki ako
@rajabuomy487
Жыл бұрын
I love you
@mathiasshayo6348
Жыл бұрын
Yaani unaongea kama umedondoka kwenye mgongo wa Punda😂😂😂😂
@vionjo4735
Жыл бұрын
Dah huyu yesu😂😂😂😂
@Ibrahimkamara-kz1er
Жыл бұрын
Mtabaki kuwa Juu sana mnajua hadi mnakera 🙌🙌🙌🙌🙏
@mtallitv9995
Жыл бұрын
miamba imerudi tenaaaaaaaaa jambo na vijimambooo
@muhsiniamiri9310
Жыл бұрын
Muongzen tx dullah ktk Chama Chenu cha pombe
@yasintadavid1296
Жыл бұрын
Bora mme ludi tulikua tume wamiss 😁😁😁😁😁
@issai.ibungu
Жыл бұрын
These fellas so maddest talents ❤❤ #we’rehereforsupport&laughters 🎉😂
@Vayon7
Жыл бұрын
Daaah Bora maana niliwamiss sana pelemende na kazola
@fathiyahmuzney7367
Жыл бұрын
😂😂😂😂cha uroho bhna et na mm ndio ua lenyewe
@paul1985ization
Жыл бұрын
Safi sana. Niliwamiss hawa jamaa sana
@jacklineshitindi4794
Жыл бұрын
Hahaha wamepındua meza ukooo hahaha
@TeamKRX
Жыл бұрын
Wananikera wamepotea 🎉❤ mpaka nimewasahau nimeshtuka nikawabonyeza
@najalinanyambo3971
Жыл бұрын
Cha uroho wangu jamani nilikumic,
@BWANAMUHAYA
Жыл бұрын
Kazoa kumbe upo
@nelvinoplaystation
Жыл бұрын
Mista bien
@khadijamkambala2446
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂eti mnafika mbali ivyo
@sissoalfred7259
6 ай бұрын
Welcome back
@mudolyomanzil6502
Жыл бұрын
Mbarikiwe San @wasafitv @jambonavijambo.
@ismailkupaza5612
Жыл бұрын
Mboyoyo nikupe tusi gani 😂😂
@klexshotsofficial2850
Жыл бұрын
Namimi ndio ua lenyeweeeee😂😂😂😂😂
@georgesaid1208
6 ай бұрын
talented
@Dr_nanjase
4 ай бұрын
😂😂😂
@FabianMasunga-jk6yl
Жыл бұрын
😂
@eddymush3967
Жыл бұрын
😂
@jamilaathumani5481
Жыл бұрын
😁😁😆😆😆umefika mbali ivyo nauli umetupa???😁😁😆😆
@issatindo7647
Жыл бұрын
Maneno kumi vp hakuna leo nimemiss sana
@issaothmanhamis4857
Жыл бұрын
Mumetisha sanaa mwambaa the kids
@abduldihomba1632
Жыл бұрын
Huyu jamaa anakuaga mlaku Leo anasema apunguziwe chakula manaake kwanza ncheke😂😂
@salumuseif3324
Жыл бұрын
Hahahahahaha
@edwinismail9401
Жыл бұрын
Aisé mwaka mzima nimesubiri noma sana hongereni kwa kurudi kwenye game
@dottopeter5386
Жыл бұрын
Wap liv
@agripinamgema3656
Жыл бұрын
Fenesi linaitwaje kwa kingeleza😂😂😂😂😂😂
@rosemikael8110
Жыл бұрын
😁😁Iyo clip ya mwisho ni hatari
@vom84
Жыл бұрын
Dah nimefurah hawa wapuuz kurudi, wananitoaga sana stress
@lymotz4982
Жыл бұрын
Unaumwa una bima
@jamadajuma54
Жыл бұрын
U guys mnajua sana, hila ww mboyoyo ww zaid ya sana unajua sana 😂😂😂😂😅
Пікірлер: 226