Jamani Mungu akutie nguvu Japheth Ni pigo kubwa lakini haina Budi kumshukuru Mungu Kwa kila jambo tuko soteni kwenye hili tulimepnda lakini Mungu alipenda Zaidi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AnneNgina-e4k
9 күн бұрын
Poleni Sana Wana zabron singers. Nasikitika Sana kumpoteza mwimbaji mwenye Baraka kama huyu. Mola hakosi, ailaze roho yake Mahala Pema peponi😢😢😢😢😢
@leonidachepchumba6512
15 күн бұрын
Pole sana Japheth,ninajua uchungu mnapitia,Mwenyezi Mungu hawafariji jamani.
@SteveManyonge
16 күн бұрын
Poleni sana wandugu wetu watanzania na zabroni singers. Mungu awape nguvu wakati huu mgumu.
@agness8971
19 күн бұрын
Poleni sana jamaa , marafiki , zabron singers na sisi mashabiki wa nyimbo z Zabron singers😢😢😢
@FlorenceMusembi-t5x
3 күн бұрын
Pole the Zabron singers. Tumepoteza kweli. Mungu awatie nguvu.
@helenamwema744
14 күн бұрын
Pole sana Mwenyezi MUNGU awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
@MilycentMilycentomondi
4 күн бұрын
Sijawahi lia nikisikia MTU Fulani ametuacha lakini zabron amefanya nikalia Sana Tanzania Ni mbali but Mungu awafunge mganda jamani.zamani pia Kenya tunalia poleni.
@hynesskatengu1870
19 күн бұрын
Poleni sana jamaniiii ni maumivu yasiyozoeleka ooh Yesu fariji familia hii.😢😢😢😢
@Josephineayuma-w5t
Күн бұрын
Pumuzika Kwa amani Marco mungu ailaze roho Yako mahali pema peponi
@monicalucas3738
16 күн бұрын
MUNGU awatie nguvu sana wanafamilia ktk kipindi iki kigumu, ampumzishe kwa amani mpendwa wetu🙏🕯 😭
@MercyWitness
17 күн бұрын
Pole sana kwa msiba, faraja ya Mungu iwe juu yenu
@user-so2qz2gj5h
10 күн бұрын
Poleni sana na kilicho wakuta na msiba wa ndugu yetu Marco Sisi wote moyo ina uma sana tuko pamoja from Congo 😭😭😭😭😭
@JenniferKalia
17 күн бұрын
Poleni sana familia ya zabron Kwa jumla, kuongea mtu akifa ni kawaida so mjitie nguvu Mungu yu upande wenu, tutamiss sauti yake SIsi kenyans
@ViraBabwiriza
17 күн бұрын
Ata Mimi ningekua tanzania ninge kuja kumsindikiza from Congo tupo pamoja sote mashabik wanyimbo zake apumzik kwaamani
@doradaniely2036
18 күн бұрын
Siku ukipunzika utabebeshwa mizigo mikubwa sana jmn badala kuombewa kila mtu anaanza kusema yake lakini familia mim binafsi nimeumia sana na poleni sana mungu ailaze roho marehemu mahala pema peponi
@judithbahizire4298
14 күн бұрын
Mungu tu naye Mwamini na amini ata ji shugulisha na maman na watoto. Mungu ni Mume wa wajane tena baba wa mayatima.
@mirriamkwamboka7079
18 күн бұрын
Ndugu utafanikiwa. God's time is the best. Mungu Ako nawe😊
@pamphilianwandera4683
12 күн бұрын
Poleni sana familia ya Marco. Mungu azidi kuwatia nguvu, sio rahisi kupoteza mpendwa.
@samuelmuhindosivamwanza4988
8 күн бұрын
C’est dur, très dur. Puisse l’Eternel notre Dieu continuer à consoler et réconforter toute la famille, les amis et connaissance. Nous avons perdu un élément. Seul Dieu sait pourquoi c’est arrivé en pareil moment
@lydiakareithi9820
8 күн бұрын
Huyu Japheth, ni yule kijana alikuwa akiimba kanisa la Ukerewe kwani anamfanana sana!!? Poleni sana wana Zabron Singers 😢😢
@user-ig9vg7nj1g
18 күн бұрын
Poleni sana. Na MUNGU awafunge mkanda Kwa kipindi hiki kigumu
@ManirereGedeon-d7d
17 күн бұрын
Japhet Pole sana Mimi nimekosa mambo❤😭😭😭😭
@user-oz4tf6bh9f
4 күн бұрын
Mungu awape faraja jaman i
@dennok3357
11 күн бұрын
My sincere condolences to the bereaved family. However, in my humble opinion, whenever someone creates a song, it should be done to glorify God, rather than focusing on whether it will become a hit or not. All the same, their songs will continue to bless many in all aspects.
@SarahMajaliwa-px2qj
18 күн бұрын
Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema,,🙏😭
@edahuxley8184
14 күн бұрын
poleni sana mwenyezi mungu awatie nguvu wakati huu mgumu
@AnnastaziaFrancis
7 күн бұрын
Polen sana ndg zangu mungu awatie nguvu ktk kipindi kigum
@annahgodblessyouandprayfor6515
14 күн бұрын
Poleni sana tuko safarini sisi sote ,let him rip and shine on his way home to the creator of everything 🙏🏽
@marthabruckman5850
6 күн бұрын
Poleni sana jamani.Mungu awatie nguvu.
@gwantwamwamwendesi6139
13 күн бұрын
Pole sana Japhet Mungu wetu aendelee kuwa faraja
@joyceagustino1531
12 күн бұрын
Poleni sana zabron singers najua maumivu mnayopitia
@georgetteniyonkuru9060
2 күн бұрын
Pol sana nduzetu🇧🇮
@PhylliskhasialaShipwoni
18 күн бұрын
Poleni marafiki na jamii kwa jumla 😢😢😢ni uzuni kumpoteza mpedwa wa karibu bila kuunguwa 😢💔💔
@kingsgospelsingers
13 күн бұрын
Pole sana Mungu akutie nguvu Japheth
@Flora-t6e
11 күн бұрын
Polesana jafet mungualitoa nametwaa
@lightnessmeena1315
18 күн бұрын
Mungu awape uvumilivu kipindi hiki kigumu kwenu
@alicerosah3084
18 күн бұрын
Poleni sana mungu awape nguvu katika huu wakati mgumu 😢
@lameckmnanka9330
13 күн бұрын
Poleni sanaa mungu awape nguvu
@salomemoreri4550
4 күн бұрын
I use to think they are brothers from same mother.
@neemamanjale
18 күн бұрын
mungu awatie nguvu kwa msiba huu hakika inaumiza mnooo
@angemureba4087
16 күн бұрын
Poleni sana Mungu awatiye nguvu
@WinroseMusimbi
18 күн бұрын
Pole Sana Kwa msiba huo pia sisi tumeumia
@FrederickDeus
18 күн бұрын
Pole sana mungu ampumzishe kwa amani
@dorcaskidoti249
18 күн бұрын
Yaani kaka wawatu kafariki na maumivu ya kidonda daaah
@AdamMakoye-w2n
18 күн бұрын
poreni sana ndugu mungu yupamoja nasi site
@VionaMuthoni289
18 күн бұрын
Wakenya tunaomboleza pamoja😢😢😢😢wapee mda waomboleze channel moja iwahoji wanachooka kuongea
@bethgithaka6317
18 күн бұрын
My condolences to you and family 😢
@FlorenceKirigo
16 күн бұрын
Wanawake pliz wacheni mambo yakuwekelea watu wa mungu
@PriscaJohn-y8s
19 күн бұрын
Polen sana zabron singers
@eunicemusande5477
18 күн бұрын
Inauma sana Rip Marco
@lydiahnyabonyi9367
18 күн бұрын
Poleni majirani wetu
@MercyCherono-o1e
13 күн бұрын
Poleni sana
@drucillawainaina3162
15 күн бұрын
Mungu watie nguvu hawa ndug u
@emmilyngina5405
18 күн бұрын
Kw hivyo Japhet sio kakake Marco tumbo Moja, they are first class cousins, their fathers are brothers
Hawa wanahabari wanapenda kusumbua watu na maswali badala ya waache watu watulie
@MaurineCherop-y7x
18 күн бұрын
😢c ndio update kamili
@marymuthi6865
16 күн бұрын
Pore sana
@jacklinejohn5727
17 күн бұрын
Huyu Japhe
@divinahmachuka1859
18 күн бұрын
Weka live tu watch😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@RoseNyawirakenya
18 күн бұрын
Ooh hicho kilio jameni😂😂😂sitie shaka,utafaulu kama alivyotamani...
@faithjelagat176
18 күн бұрын
Unacheka Nini gasia wewe
@faithjelagat176
18 күн бұрын
Unacheka Nini gasia wewe
@avernegervas5839
18 күн бұрын
@@faithjelagat176hajui matumiz ya Emoji ni hatar cm hiz
@annendumia38
18 күн бұрын
Wacheka nn wewe sasa
@dainayvonne7627
17 күн бұрын
Unacheka nini wewe chizi
@evalinemalole6709
16 күн бұрын
Michael??
@mercysereh
13 күн бұрын
😢😢😢😢
@joera_media1749
18 күн бұрын
😢😢😢Tupe live link
@user-sp5sh4lr2q
18 күн бұрын
Mbona kama unajipigia promo sana wewe ni kama unam dump mwenzio na neno la uchawi linatoka wapi
@HyacintaGugu
18 күн бұрын
Umeonaee anajitangaza watu wajue kama yeye ndie alikuwa mtunzi..Anakera sana sana sana sana
@AminaMadaraka
17 күн бұрын
Tatizo amjaelewa sikiliza kwa makini
@AminaMadaraka
17 күн бұрын
Anazungumzia umuhimu wa Marco katika huduma yake
@NAOMIYOHANA-j5l
17 күн бұрын
Mmmmh jarbun kuelewa nn anazungumzia sidhan km amejipromo apo anazungumzia kwa uzur mbna
@Ginger_n_Vanilla
17 күн бұрын
Kwanza kabisa huyu ndio mwandishi wa nyimbo za Zabron lakini walikuwa wanashiriki pamoja kujadiri mawazo, na anaeleza mambo yao. Wacheni uchungu. Japhet ni mtu mzuri na alimpenda sana marco
@salomewandya7257
18 күн бұрын
😰😰😰😰😰😰💔💔💔
@evalinemalole6709
16 күн бұрын
Anasema Michael ama me ndo naskia vibaya jaman
@CalebBillio-vl2tm
8 күн бұрын
Watu Wana ufala sana.... Lazima utumie maneno ya uongo ndo u capture attention.?? Watu waomboleza n you are busy doing this stupidity to gain more likes and subscribers???
@NUHUONLINETV
18 күн бұрын
maji matamu
@salmakirundu2076
16 күн бұрын
Selfish
@FlorenceKirigo
16 күн бұрын
Wanawake pliz wacheni mambo yakuwekelea watu wa mungu
Пікірлер: 108