Mwanamuziki JAY MELODY ambaye kwa sasa anafanya vizuri na Album yake ya Therapy amefunguka kuwa anapenda sana Drama za Harmonize kwenye mitandao ya kijamii. Lakini pia amegusia tetesi za kusaini chini ya Lebo ya WCB ya Diamond Platnumz
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZitem channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#JayMelody #Harmonize
Негізгі бет JAY MELODY Atoa ya MOYONI "NAPENDA DRAMA za HARMONIZE/WCB/HAPANA sija SIGN/WAMENIANGUSHA
Пікірлер: 18