Kweli pastor Ndacha anaongozwa na Roho Mtakatifu!!
@CherieDeDieu
Жыл бұрын
Mungu akubariki Ndugu Ndacha kwa kazi yako nzuri. Neno lake Yesu litasimama! Shetani ameshindwa katika jina la Yesu Kristo! Kila goti litapigwa na kila ulimi litakiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana, kwa ufukufu wa Mungu Baba. 😊
@leydaihal9332
2 жыл бұрын
Mwalimu wangu ndacha nimekupata vizuri mungu akubariki sana.
@louisejeanne1760
2 жыл бұрын
Kwa kazi hii mwalimu Ndacha ulikuwa mtu wakukaa sehemu ya heshima sana kuliko hawa manabii wasasaivi.Mungu akuinuwe mwalimu na kukulinda
@adlainekamonya-ic2kq
Жыл бұрын
waislamu wamehurumisha😅😅😅😂😂😂😂😂
@realtom6199
2 жыл бұрын
i don't understand your language oooo but man of God, God richly bless you
@KoomeNzima-lp4ql
Жыл бұрын
Amen
@navokisembo
2 жыл бұрын
Huyu mwalimu wa kiislamu yaani anakimbia maswali anajibu vitu hata havihusiki duh hajielewi.
@stemlute
Жыл бұрын
Huyu shekhe haelewi ukristo kweli, ukristo ni baada ya yesu, mifano yote yake ni ya torati, waliomkubali Yesu, wakabatizwa ndio wakristu. majini walikubali Quran sababu ni kitabu Cha Mungu wao ibilisi
@jobmethusellahke4345
2 жыл бұрын
Mjadala mboga sana kwa mwalimu wangu Ndacha
@ignasmalema8354
2 жыл бұрын
Wapige kwa maandiko tu mwalimu Ndacha ,wanajifanya hawaelewi, lakini wanaelwa na maneno yako yanawachoma
@isharabangaya5455
Жыл бұрын
I'm Congolese, I'm watching you son of God, may God keep protect you,u always talk the truth,unajuwa sikuizi watu Wana chukiya ukweli Zaidi ya uongoo,
@moseshandsam1865
2 жыл бұрын
Thanks ndacha kwa elmu nzuuuri wafunze sir ndacha 🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭 we are watching 👀👀👀👀👀
@RECOLONIZE_RIGHT
Жыл бұрын
shehe ameanikwa aka kauka
@munyokimakau.
Жыл бұрын
Waisilamu wanahubiri badala ya kutoa haya za bibilia ama qoran eti wakristo tunasema shetani toka kila sunday....wapi kwa bibilia inasema ivyo Asante dacha nigepata number yako nigeku m-pesa 200 saa hii
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
This world 🌎 is never balance Never trust someone too much by the end you will find a strong 💪abig Earthquake
@casaica2993
2 жыл бұрын
kimeeleweka vizuri waislamu na majini ni brothers
@zamirumbwambo3834
2 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu mungu akubariki sana
@gideonlangat5035
2 жыл бұрын
Roho mtakatifu ya uslamu -ni majini..
@leydaihal9332
2 жыл бұрын
Hahaaa nimekwama hapo kwa majini nichotwe eti salamu wanasalimia majini na hawamuoni.
@justineomweno4917
2 жыл бұрын
Kila time kuomba watu pesa waa uislam ni tabu tu
@paulduke6712
2 жыл бұрын
Waisilamu wamepatikana
@mepo1795
2 жыл бұрын
Sidano ya mwalimu ndacha imewaingia waisilam mpaka mwalimu wao ametabataba kweli
@ashadiramo
Жыл бұрын
Nyny ndio mko dunia ingine mmepofka.😢 Laiti mngelijua mngeslimu nawapia
@FridayMwassa
2 ай бұрын
Wewe unayeabudu jiwe jeusi unalipi la kuwafundisha watu wa kitabu,tusilimu ili tuabudu na majini?
@stemlute
Жыл бұрын
Islam is a forced religion, the followers are not free to think, tafathali acha kutumia kiarabu wafuasi hawaelewi
@abubakarfidele9553
2 жыл бұрын
Burundi say's Big up doctor dacha,WE ARE cool teach
Asalam alykum www sheikh wetu usicoki kufundisha haki
@FridayMwassa
Ай бұрын
Atafundisha nini wakati yeye ndiyo anafundishwa
@themessage3508
2 жыл бұрын
Hakika MUNGU YUPO NDANDI YETU
@samuelmweipongwe140
2 жыл бұрын
Nimeupenda sana huu mjadala kwa sababu una undugu ndani yake, ucheshi pamoja na mafundisho. Mungu awabariki sana ndugu zangu, katika nyinyi tunajua mbichi na mbivu.
@mwoso
Жыл бұрын
Nasi tumekutuma. Wanaosema ni khadija na padre waliopanga utume wa Muhammed.
@athumanmpagama6259
2 жыл бұрын
MBARIKIWE SANA WATUMISHI
@khalidabu5259
2 жыл бұрын
Mtumishi dacha hizi miadhara zinakenjeli sana kwasababu ya matusi
@tomasmwangi1943
2 жыл бұрын
Thanks ndacha
@johnnyamache2943
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
No matter how far the river is I will return home with water it's only a matter of time
@johnnyamache2943
2 жыл бұрын
@maggy I'm so happy when ndacha teachers this
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
It's only a matter of time ⏲️and we shall join him to push up the work of the Lord
@johnnyamache2943
2 жыл бұрын
@@margaretmargaret5744 i love this
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@johnnyamache2943 I do get it..
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@johnnyamache2943 But when Ndacha try to turn my faith upside down calmly I will definitely deal with him
@johnnyamache2943
2 жыл бұрын
@@margaretmargaret5744 thanks so much
@ndikumanainnnocent7796
2 жыл бұрын
usicoki sheikh wetu njo level ya irimu yawo wanafundisha kanisani iyo nimusiba awuno kiriyo
@ignasmalema8354
2 жыл бұрын
Shekhe acha matusi toa hoja
@davidmnyela2459
2 жыл бұрын
Mwalimu wa waislam hawezi Changisha pesa bila kuendelea na Mada anajikuta mjanja kumbe mada imemwelemea
@@نووورنووور-ج5د leta la kwako kanisani uone kama hayatoki😀😀😀
@نووورنووور-ج5د
2 жыл бұрын
@@davidmnyela2459 tokea yesu alipo paa mbinguni kila jumapili wakristo mwatoa mapepo kanisani hisabu ni mwaka wangapi sai mwayato na hayaishi hili langu ndio utaliweza...langu lasubiri yesu arudi nyinyi wengine ni propaganda tu kanisani
@muhammedsuleiman2137
2 жыл бұрын
Wako majini waislam na makafiri lakini hakuna jini mkristo maana ukristo cio dini ya Mungu . Majini hawajui ukristo ila wanajuwa uislam na walioukataa uislam wamekuwa makafiri mojakwamoja wala hawafuati dini za kupangwa na wanadamu hahahahahahahaha mit wanyama na ndege na wadudu woote wanamjuwa Allah muumba wao lakini hawamjuwi yesu wala ukristo .paulo ..muanzilishi wa ukristo
@samutykuntathebantu8402
2 жыл бұрын
We kafiri majini ni wachafu na Hawana husiano na Mungu
@fredrickgitonga1972
2 жыл бұрын
Majini ni viumbe walio laaniwa na MUNGU
@muhammedsuleiman2137
2 жыл бұрын
@@fredrickgitonga1972 inawezekana sana lakini c Mungu aliumba mbingu saba ardhi sana na vilivyomo . Yeye anasema ameumba watu na majini ili wamuabudu ukiacha kumuabudu yeye ndio unaingia katika laana . Ukiskia usafi ujuwe kinyume chame ni usafi na ukskia pepo wachafu ujuwe na wasafi wapo ..sasa wewe lete andiko majini wote wamelaaniwa
@navokisembo
2 жыл бұрын
@@muhammedsuleiman2137 majini ni malaika wadogo wa Lucifer sasa wanasalije na ninyi? Mungu alishamlaanj Lucifer sasa unadalije nao? Jitafakarj
@muhammedsuleiman2137
2 жыл бұрын
@@navokisembo kwa imani yako lakini kwa uislam hajalaaniwa kila afuatae amri za Mungu maana Mungu hamzulumu yoyote mpaka ajizulumu mwenyewe so iblis alipewa fursa akaikataa na jini yoyote au binaadamu akimkana Mungu amejipoteza mwenyewe ..amejilaani mwenyewe.kisha Mungu nae ndio anamlaani . Unauliza tunasali vipi na majini , wewe umewahi kumuona jini? Umewahi kumshika jini kwa mkono? Lakini kwa mujibu wa ukristo laana cio kitu kibaya maana yesu alifanywa kuwa laana.
Пікірлер: 112