ALLAHALLAH S.W AKUHIFADHI HABIB NAKILA SHARI AKUPE NA UMRI MREFU WA TWAA NA TAWBA ALLAHUMMA AAMIIN
@shara8256
11 ай бұрын
Allahumma swalli a'laa Muhammad
@kitosio
11 ай бұрын
Shekh Faridi tuwekee Bayana. Maulidi NI Ibada au Mubaha.
@ApiteHaji
11 ай бұрын
shukran she Kwa kutuelimisha Allah akubariki
@user-ys1kb7zk6k
11 ай бұрын
جزاك الله خيرًا أيها الشيخ حفظك الله ورعاك
@masshaka
11 ай бұрын
Mashehe wa uamsho wote ni watu wa maulidi😂. Washavuruga kule kwenye siasa, sasa wanaona waje wachafue hali ya hewa huku😂😂. Hadith inasema, mtawafuata manasara na mayahudi kila kitu, hata kama wataingia kwenye shimo la kenge😢.
@saidmadai2828
11 ай бұрын
Barakallahu fiiyk . Wallah nyinyi ndio hao warith w mitume inshaallah Mungu awalipe kheyr kw kz mnayoifanya ktk umma
@allymahaba3425
11 ай бұрын
Allah (SWT) Akujaze kheri sheikh.
@user-iv6hx2xv3t
11 ай бұрын
Shekh umemaliza bando langu hata sielewii iunazungumza nini
@Naaam353
11 ай бұрын
Sikiliza kwa umakini uelimike achana na udogma,chuki na kasumba
@abdallahdataguy
11 ай бұрын
😂😂😂
@alifakimati9614
11 ай бұрын
Mola akubariki sheikh wetu umeingia kotekote .
@suleymansalim5732
11 ай бұрын
😂BACHU. Kamaloliza yani kwasasA mpaka Makafiri wanajua kua MAULID HAIMO KTK QURAN NA SUNNA SAHIHI BADO NYIE TU MAZINGE KASHINDWA KUJIBU SWALI HUKO .
@MuhidiniNassor
11 ай бұрын
Kwa sababu bachu na makafiri ni kitu kimoja au
@MuhidiniNassor
11 ай бұрын
Kweli kamaliza maana Katia aibu linaonekana shehe kumbe hata kusoma halijui ningelikua namfatilia ingelikua mwisho juzi
@Naaam353
11 ай бұрын
Ushabik umepandikizwa kuhakisha mtume hatajwi na asipewe hadh yake
@yusufmahadh9595
11 ай бұрын
Sikiliza dalili hizo wewe sio fulan. Utafeli ndugu.
@IbrahimMachano
11 ай бұрын
Masha llah baraka Allah liy walaku
@ADAMGORA-t2f
11 ай бұрын
Barakallah shkh
@hajiomar5950
11 ай бұрын
Allah akubarik maalim wetu tumekufahamu sanaaa.allah atakulipa ujira wako
@nurasalimu2403
11 ай бұрын
Mashaa Allah shekhe nakupenda kwa ajili ya Allah❤
@fayeezabdallah2217
11 ай бұрын
nakpnd nipe nafs niwe pepon yak bora inshaAllah
@rashidsaid9409
11 ай бұрын
Hakika hii dini nielimu. Basi tuangalie hio elimu ya dini tunachukua kwa watu gani. Haya ni maneno ya Ibnu siiriiin Allah amrehemu. Kweli haiba ya mtu sio yaliyokuwemo moyoni make. You Allah atuongoe ktka njia ya haqqi. Amin.
@user-mg1mi3uw3g
11 ай бұрын
Hizi ni moja katika pingu za fikra na mawazo ambazo matelef taleh huwatia watumwa wao ili wabakie wawabudu wao Bali muisilam ambiwa usijali nani kasema bali jali nini kasema
@IjumaaIjumaa
9 ай бұрын
Wew shekhe nyoosha ibada lazima iwe na dalili je maulidi ni farabhi au suna au swahabu kasoma uelewa wako mdogo
@user-mg1mi3uw3g
11 ай бұрын
Hizi ni moja katika pingu za fikra na mawazo ambazo matelef taleh huwatia watumwa wao ili wabakie wawabudu wao Bali muisilam ambiwa usijali nani kasema bali jali nini kasema
@MUHAMMADFADHIL-v2p
11 ай бұрын
Allah akujaalie rehma hapa duniani na akhera
@AliDaud-si3fg
11 ай бұрын
Shehe tunataka nchi yetu 😂😂
@mussamgonola3983
11 ай бұрын
Mhhhhh humtakii mema miaka 8 jela muache ndugu atupe darsa
@yasiniselemani3917
11 ай бұрын
Acha shekhe afanye dawa na ibada kwa uhuru usitake shekhe aingilie dunia mambo ya nchi awaachie wa siasa
@muhidinzuberi8708
11 ай бұрын
Shekhe Allah akujalie kheri darsa nzito sanaa wallah
@user-qv5tt7zn8k
11 ай бұрын
Watu Wana kuelew vibaya shekh una mtihan maalim kama utakua unaijua haki alaf una potoa watu Kuna vitu hufunguk vizur Nina Iman ya kua Wana wa zuon Wana nebeshwa mtiahan mzito sana kama wangelikuepo kipindi hiki Kila mmoja ange Kaa pembeni na maulid xio maulid hay shekhe yanayo zumgumzwa hapo ndugu yangu
@omaryjumas6327
11 ай бұрын
Wewe na kaumu yako endeleeni kubeba bango la Ibilisi la kuwakataza watu wasisherehekee ujio wa Mtume halafu bado mjipe tamaa kwamba nyinyi ni Muislamu. Ukitaka ushahidi wa hayo angalia jinsi ulimwengu wa makafiri wanavyochukia maadhimisho haya ya ujio wa Mtume halafu na nyinyi eti waislamu mnawaunga mkono makafiri katika kuwakataza watu wasisherehekee ujio wa Mtume. Pole sana.
@kiumbenatural-ii5jb
11 ай бұрын
Hawa ni makafiri hawataki kumsiki mtume hata ktk misikiti yao hawataki kumsalia mtume wakimaliza kusali hukaa imya kama mabubu na kila mmoja hunyanyuka bila kuombeana dua wahuni
@nooralhadidi6420
11 ай бұрын
@@omaryjumas6327kn
@jumaa052
11 ай бұрын
Haya iyo maulidi una ifahamu ww ina faa au haifai ?
@abasijuma6989
11 ай бұрын
Bidaa ni jambo ambalo mtume amelikemea vikal vp malaika waitane ktk jambo hilo
@solomonadams6337
11 ай бұрын
mimi nashangaa kichwa kama hiki kinatiwa Jela halafu Waislam wanashangiria,kwa akili zangu mimi kama ningelikuwepo Zinjibar watu wapumbavu walipowatia jela hawa walimu mimi ningelitanza jihadi saawa.thanks
@user-mq6lu2po3y
11 ай бұрын
Wewe nauli si unayo?
@mchagagaspar6649
11 ай бұрын
WANA SIASA HASA WASIE JUA HAKI NA UKWELI UZITO WAKE WASIMAMIA WAPI ,NDOHAO WALIO WA TIA JELA HAO WATU WALIE TAKA NCHI KAMILI ALLA ATAWALIPIA ( Kikwete n Sheni Magufuri )
@solomonadams6337
11 ай бұрын
@@mchagagaspar6649 aliye wapeleka katika nchi ya Tanganyika Alikua ni Seif Ali Idi mtanganyika mwenzao...
@centralzonetvtanzania7313
11 ай бұрын
Acha chuki
@hajihassan5433
11 ай бұрын
@@solomonadams6337Mungu atalipa kwa kila na namna alivyohusika, usifanye siasa hapa Maalim Seif alikuwa Makamo 1 wa Rais, Marehemu Abubakar Khamis Bakari alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria , Mhe. Othman Masoud alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
@mohamedumri4176
9 ай бұрын
SHEKHE WANGU NAOMBA TUSITOKE KWENYE MADA HIYO KULLU MUHDATHATUN BID-A MASWAHABA WALIWEKA TILES NA FLYOVER MAKKA KATIKA BEITULLAHI HARAAM.
@sja7966
11 ай бұрын
Maa Shaa Allah. Shukran Sheikh wetu kwa kutuelimisha. Allah akulipe khair
@HamadMbarouk-xo9et
11 ай бұрын
Hamasa weka pembeni chukua elimu
@OmarAlly-iz8ot
11 ай бұрын
Mimi sikudhani hapo mwanzo yakwamba una jahli kiasi hiki
@khasimjeilani5647
11 ай бұрын
Jazaka Allahu kheyran
@omarkanout8684
11 ай бұрын
Masha allah
@abdulrahmansalim9773
11 ай бұрын
VIONGOZI WANAFIKI MADHALIM HAWANA IMANI NA DINI MAJINA YAO TUU YA KIISLAMU LAKINI NYOYO ZAO HAZIPO KATIKA UISLAM.😮😮
@allymuhammad8956
11 ай бұрын
Anajizonga kweli
@AbdallahMpemba
9 ай бұрын
Shkh ww ni mwasiasa kasome dini kwanza
@mwalimjecha6893
11 ай бұрын
Asante tumekuwelewa vyema
@salhasadik366
11 ай бұрын
Nenda katika alwaafy sherhe ya arbaina nawawy kitabu cha doctor mustwafa albughaa
@muftiahmadimahmudulemba1918
11 ай бұрын
Fundisha mwalimu wasio mtakamtume wamefeli na wamechemka kama bidaa hakuna asiefanya wanavyeti walivyopewa nimaprofesa ni madoctor wamesoma madrasa wapimtime kayafanya hayo au maswahabagani nimaprofesa au mtume kawapashahada wapi mtume maswahaba wamefundisha madrasa? sio bidaa hizo kwanimtume au maswahaba wamefanya?
@aliyidrisa1536
11 ай бұрын
Mashaalwah
@omarabedi1372
11 ай бұрын
Sheikh allah akulipe umesema ukweli
@barzaqtradingcompany8541
10 ай бұрын
Jee saumu ya ijutatu na alhamisi si sunnah oo bidaa?
@sabraham5308
11 ай бұрын
Duuh njaa mbaya
@Abdalajumaa-fx6cj
11 ай бұрын
Hakuna jambo zuri linalokuja baada ya mtume likawa ibada ikiwa mtume mwenyewe alionywa na Allaha kuwa akiongeza chochote ktk dini atakamatwa mshipawake ya pumzi masheh angalieni kauli zenu hakuna jambo la ibada litakuja baada ya mtume
@abiabi9353
11 ай бұрын
Mashallah. Sheikh leo umemaliza utata wote. Kama kuna wahabi atakayepinga maulid baada ya kusikia clip hii, du basi tumuombee mungu.
@YussufSaid-ok4pu
11 ай бұрын
Sio wahabi t ata maswahaba hawakufanya Maulidi na km wamefanya lete dalili
@sadiqselengu4197
11 ай бұрын
@@YussufSaid-ok4puLete dalili kuwa jambo hakufanya suhaba lisifamywe na sisi wa ulimwengu huu
@abiabi9353
11 ай бұрын
@@YussufSaid-ok4pu Du hapa ndo utagundua ujahili wa mawahabi. Hadith zote zilizotolewa hata ile abu Daudi hawajaisikia.lkn mawahabi wwngi kwasababu ya ujahili wao wanapinga maulidi bila kueleza maulidi nini. Kabla sijakujibu naomba unipe taarifu ya maulid
@mohdkhatib223
11 ай бұрын
@@sadiqselengu4197 ndio, na huo ndio msimamo wa masahaba na wema waliotangulia katika zile karne tatu bora. Je na masahaba walikuwa mawahabi? Hadith za mtume zipo kuhusu kuzua ibada. Ibn Masoud (r) anasema jambo lolote ambalo halikuwa Dini kipindi cha mtume saw, halitokuwa Dini hata wakati mwengine wowote
@mohdkhatib223
11 ай бұрын
@@abiabi9353 na hapo ndo utagundua nyinyi masufi ni wapumbavu kama alivyosema imaam Shafy. Hivi nyinyi punda wa mashia mnajua zaidi kuliko masahaba wa mtume. Hivi ibnu Masoud na wao walikuwa mawahabi? Maana wao very strict katika kukemea uzushi katika Dini.
@DiudaKozi-qu8sl
11 ай бұрын
Hakuna bidaa nzuri .Bidaa zote mbaya.
@murtalla2826
11 ай бұрын
Acha kufata mkumbo kasome kwanza kichwa chungu wewe 😅😅
@coolpara8192
11 ай бұрын
Una ushahid kuwa hakuna bidaa nzur ?
@rashidmohd115
11 ай бұрын
Cimu yko yko je ni bidaa gani
@ramadhanimtetu3656
11 ай бұрын
Bid'aa na simu tena 😂😂 Kweli WAJINGA Bado wengi
@rashidmohd115
11 ай бұрын
@@ramadhanimtetu3656 ndio dhana yenu kila ambacho hajafanya mtume ni bidaa sasa je mtume alitumia cm,
@saidmadai2828
11 ай бұрын
Nyie wengine mlizaliwa n laana ata mupewe dalili gn huwa hamuikubali ila kw itikadi n misimamo kw mnavyovipenda nyinyi 2 ndio vyafaa 😂
@saidmadai2828
11 ай бұрын
Ila sheh farid apo kapita mapito ndani y dalili kbs kielimu cy kibalbala km bachu mwanazuoni wenu ata kusoma ibara hajui 😂
@w4058
11 ай бұрын
Ajabu tena Waislam wenzao ndio walowatilia fitna lakini wajuwe kama tudinu tudanu
@Mh_69rz
11 ай бұрын
يا الشيخ ما تكثر الكلام ، وحاسب من كلامك ، ولا تخلط الأمور بعضها البعض
@fareedahmad6857
9 ай бұрын
Naona unaikoroga Lugha ya kiarabu.... Sema kwa Kiswahili
@saidizuberiissa7286
11 ай бұрын
Naam! habib
@masoudalriyamy6298
11 ай бұрын
Mimi namnukuu muft khalili kua maulid wati wa mtume ss na wakti wa masahaba mauldi barazanji yalikua hayapo na hata kama tunayapenda haifai kuyafanya faradhi kunawatu hawasali lakni maulid hawayakosi na kudhikiri ndio nini nguzo huwitak unataka jani
@salhasadik366
11 ай бұрын
Unaesema hakuna biidaa nzuri biidaa zote mbaya halafu unakuta mtu huyo anasalia msikiti wenye zuulia mbona husali nje ya msikiti basi kwasababu msikiti wote una vitu vilivyozushwa havikuepo ktk zama za rasuul
@earthmanhassan656
11 ай бұрын
Sharifu wangu usiwe hivyo, bid'aa ni kwa kile kilichoongezwa kwenye ibadah ambacho Mtume Wetu Swalla Allaahu Alayhi Wa Sallam hajakifanya kwenye ibada. Basi uongelee zulia, fan, speaker!!! ujahil huu alhabib
@mkubwamasoud2776
11 ай бұрын
Ugonjwa huo wapi kuna kigawanyo cha bida'a hassan
@zamdaswaleh5410
11 ай бұрын
tatzo ufuasi wa uarabu dhidi ya wairan
@saidizuberiissa7286
11 ай бұрын
Ume zungumza vituu vikubwa mnoo, habib!
@zamdaswaleh5410
11 ай бұрын
Leo nimeona kua ahlalbayt ni viongozi. tumeachiwa Qur na kiongozi baada yake.
@khamisjuma7616
11 ай бұрын
Maulidi n8 sherehe ya kuzaliwa mtume muhammad si haari ya sira wala kumsalia mtume kwani hayo yote yanaweza kufanywa siku yoyote tu si lazima mfunguo sita
@KAIPAAA3211
11 ай бұрын
Sheikh unajuwa Mtume Muhammad s.w. alikuwa mtu mweus? Na hawa waarab weupe ni wa Turuk waliingia kibiashara makka na kufuta kabra la waarab weus walikimbiria Somaria, Sudan paka tunao huku Tanzania Wa Rangi? Unajuwa Hilo!!
@zamdaswaleh5410
11 ай бұрын
kumbe hadith ni bidaa.
@mwambashiiddi9295
11 ай бұрын
Tuambie wanawachuoni wasawasawa walifasiri hadithi hiyo nikina nanii
@hilalkhalfan1452
11 ай бұрын
Muulize Bachu aliojikojolea
@kiumbenatural-ii5jb
11 ай бұрын
Muulize bachu na makafiri wenzenu mbwa koko we
@jumaa052
11 ай бұрын
Msitukanane
@soudhussein7396
11 ай бұрын
JE MAULID ni IBADA mahali pa kufanyia IBADA ? Vizuri Masheikh, Ma ULAMAA, kwanza mlitazame hilo. Je jambo hilo lina ukweli na ushahidi ? Kama mngalijuwa wala msingebishana juu ya hilo. Ni jambo ambalo
@Sheba4651
11 ай бұрын
Kwa hivyo Maalim, maulid ni ibada? Kama ulivyo zichambua sala mtu kutosali muda usiotakiwa, kwa sababu ni ibada. Yule kijana kasema kitabu barzanji kuna maandiko ni uongo, hebu ajibiwe na tuone, kwa sababu barzanji hakuandika Quran, ni mashairi.
@fareedahmad6857
9 ай бұрын
Ikiwa BARZANJI kuna maneno ya uongo tuyaache tusome yaliyosahihi
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
11 ай бұрын
SISI TULIOTAHIRIWA ZAMANI WAZEE KAMAHAWA NDIO TUNAWALETA NA TUNAWATHAMINI. MANA WAMETUZIDI KI UMRI NA KIUCHAMUNGU PIA. HALAFU LA AJABU KUNA MATU WANAJINASIBU NA UISLAMU WANASEMA MASHEKHEHAWA WA UAMSHO NI WA BIDAÃ . HII ndio hali tuliokuanao khasa kwavijana wasomao miakahii SAUDIA. Jamani VYUOVIKUU VYA KIISLAMU na khutba za IJUMAA za Kiswahili HIZI ni SUMNAAA ?
@zuhuramohamed7306
11 ай бұрын
Shekh am so confused kwa haya uliyo yasema so vile maswahaba walivyo kusanyika juu ya kumtaja Allah na mtume wake walikuwa hali gani walikuwa wakipiga dufu au wakichiza?na je hali kama hii watu waki kusanyika juu ya kumdhukuru Allah na kumsifu mtume na kupiga dufu na kucheza je kikao kama hichi pia huwa malaika huwa wanahudhuria dhikri sampuli kama hizi?hapo ndio am so confused kwa haya nilyo yaskka kutoka kwako naomba majibu ili nipate faida pliz...jazakallahu kher
@murtalla2826
11 ай бұрын
Kwani sheikh kazungumzia dufu au maulidi ama kweli wee kichwa pakacha uliona wap watu wanafanya maulid mfunguo sita alaf wanapiga dufu ndan yake
@abiabi9353
11 ай бұрын
@@murtalla2826yani hivi ndivyo walivyo mawahabi wote.yani wana akili mgando ndo maana ufahamu wao ni mdogo
@zuhuramohamed7306
11 ай бұрын
I think ni swali ndio namuuliza shekh mm hayo mambo ya maulid yasomwe yasisomwe kwangu haini husu ninacho kitafuta ni elman naafian na ahsant kwa kunitusi kwa kuniambia akili yangu kama pakacha mm kama mwislam na kama vile nimetunfisha na mtume wetu swallahu aleihi wassalam tuwe na subra na huruma baina yetu kama waislam so the way u called me ati kichwa changu is like pakacha wallh nakusameh...jazakallahu kheiran
@abiabi9353
11 ай бұрын
@@zuhuramohamed7306 labda nikusaidie. Si lazima maulidi yapigwe tufu.hukumu ya maulidi ni mbali na hukumu za dufu ni mbali. Kama unadhani dufu ndiyo shida basi fanya mkusanyiko wako wa maulid bila dufu. Lkn hatahiyo hakuna dalili yoyote ya kuharamisha dufu
@murtalla2826
11 ай бұрын
@@zuhuramohamed7306 pakacha kweli kweli
@saidkhamisi9592
11 ай бұрын
Kwahiyo unataka kutufahamisha kua watu bora kabisa ambao hawajawahi kutokea na waliishi na Kipenzi chetu Swalallahu alaihi wasalam hawakuliona hili wala wale walioishi Karne 3 bora ambazo amezisema Mtume swalallahu alaihi wasalam iweje baada ya karne ya 5 au 7 ndio waione ibada hii ?.......Haiwi dini jambo hakulifundisha Mtume swalallahu alaihi wasalam hata kama jambo hilo watu weeeengi walipenda..Nas alu llah aafiya wasalama
@mrjagenmuuz5704
11 ай бұрын
Acha ujınga wewe fahamu alıcho kıxungumxa amırı usıwe jahılı muraqab kıla kıtu na wakatı wake mpuuzı wewe kama ufahamu wako ndouko ıvoo hemu nambıe maisha unayoıshı sasahıvı ndomaısha alıyoyaıshı mtume na swahaba xake ??? Kwaıyo maswahaba walishındwa kujıongeza wakavumbua matekenologıa kama haya tunonayo sısı??
@HamadMbarouk-xo9et
11 ай бұрын
Sheria haisemi hivyo
@unknown-zz8ih
11 ай бұрын
Wanawazuoni ni kina nani mbele ya mtume na maswahaba wake... tufuate nani zaidi mtume au wanazuoni?
@swahibually8349
11 ай бұрын
Kwa Upande wako,utawezaje kujua Mtume aliyoyafundisha Kama sio kupitia Wanawachuoni? Mtume amesema Wanawachuoni ni warithi wa Mtume,na Wanawachuoni tayari wameshakhitalifiana kwenye hili,je wewe unasemaje? Maana wewe ni mpumbavu mwenye kiwango cha juu sanaa,na nina wasiwasi na Wewe yawezekana ni Kafiri ila umejitangaza kwa jina la KIISILAMU, maana kama huwakubali Wanawachuoni basi Wewe huna tofauti na Ibilisi,yaani maelekezo yote hayo Bado hujaelewa,basi ni Bora maiti kuliko Wewe uliye hai na una Akili ya kipuuzi kama hiyo,au una maelezo yoyote kuhusu uharamu wa Maulidi?
@MuhidiniNassor
11 ай бұрын
Mtume (S.A.W)anakujibu ni warathatul Anbiyaai juha wewe
@ababakryally8827
11 ай бұрын
Juha huyoo hajui
@HamadMbarouk-xo9et
11 ай бұрын
@@ababakryally8827 kua na adabu unapo fahamishwa
@HamadMbarouk-xo9et
11 ай бұрын
We unajina la swahaba ebu jitambue
@JumaKhamis-cw8ec
11 ай бұрын
Ila leo hawafanyi ivo maalimu wangu wanacheza zefe wanapiga magoma wanakata viuo wanakata keki ya birthday 🎂 ya mtume wanampa sifa sizo tusiwaruhusu shekhe hawa mukiondoka. Nyinyi ndio watazidi
@tanzaniaonmzamiloon8627
11 ай бұрын
Labda wew ndo unakata vionu na kucheza ngoma
@yussuphsaleh767
11 ай бұрын
Tatizo kubwa ambalo linaleta utata ni maandiko ya kitabu cha barazanji ,kingetafsiriwa tukaona huo utata uliokuwemo
@tanzaniaonmzamiloon8627
11 ай бұрын
@@yussuphsaleh767 some dini Kisha utajua maana yake au mtafute shekh akufundishe mwanzo mwisho huenda ukaelewa lakini kiskiza na wewe kupandisha mihemko sio dini lakini kusoma ni wajibu juu ya kila mwislamu sio kusikiliza utachanganywa mpk ukome utajikuta unawachukia watu na kuwaona wamepotea kwasababu ya kiskiliza mimi zamani nilikuwa nasikiliza tu baadhi ya mashekh walikuwa wanawasema vibaya aswaru na kuwaita mawahabi lakini baada ya kusoma nikajua kila mtu ila aminike Kwa watu lazima atafute kasoro za makundi mengine
@user-it3ee7zq2y
11 ай бұрын
Hizo sherehe alizifanya namaswahama wake
@zamdaswaleh5410
11 ай бұрын
uasi ni wa mtu
@user-dp9rr7xg9q
11 ай бұрын
😅
@cath-ef7wd
11 ай бұрын
Mhh huyu jamaa kakonda na kazeeka
@AlhajiIssa-jb9hr
11 ай бұрын
Ukamilifu ni wake Allah.
@user-qv5tt7zn8k
11 ай бұрын
Kam una akili timamu msikilize shekhe alaf ufikilie nimaulid hay ya Sasa tunayo soma sisi hapa
@jumaa052
11 ай бұрын
Kinacho tajwa maulid mtu kama Ana kosea maulid ni yeye ila jambo ni maulid jinsi ya ufanyaj ni jambo jengine ?
@muhammadnassibu7706
11 ай бұрын
Amir wa makhawaarij
@hilalkhalfan1452
11 ай бұрын
Muwahabi wee
@HassanHassan-sn5cj
11 ай бұрын
Acha uswahili ndugu nakukaririshwa ibara za vibaraka! Khawaariji niwaletu wanaopinga utawala kiongozi Muislam sio Mnavyowaita Alshabbaab eti khawaariji au sheikh Faridi khawaariji unatumia mizani gani!? Ikiwa tunaruhusiwa kua chini ya twaa ya Makafiri basi kuna sura inabidi mzifute ktk Qur an maana zinaenda kinyume kabisa na mitazamo ya wanachuoni wenu !! Utasikia sheikh Rabii kasema wakati maandiko yapo wazi !! Ndugu kasome vizuri kuhusu khawaariji kabla hujaja humu mtandaoni ukasema au kuwahukumu watu kua ni mbwa wa motoni maana Mtume saw alisema makhawaarij ni Kilaabunnaar _ Mbwa wa Motoni huo ni upofu mtu ako hai unamwita mbwa wa motoni Subhaanallaah!!
@HassanHassan-sn5cj
11 ай бұрын
Sorry nilikua naijibu comment ya hapo juu ila nawewe usiwaite watu majina flani kwa nia mbaya!!
@nassorseif2799
11 ай бұрын
Kijana soma uelimike elimu ya dini ni kubwa usiwe mjing
@muhammadnassibu7706
11 ай бұрын
@@nassorseif2799 kama kusoma dini lengo ni kuja kuwa khawaariji na ni afadhali kutokusoma kabisa!!! Jaaahil murakkab
@Desireyakubu
11 ай бұрын
Hivi baada ya kusikiliza clip hii kuna watu watajitokeza tena wakadai kwamba maulidi hayafai?
@Manimajura
11 ай бұрын
Kwani tatizo lao ni hoja. Wao wanapinga ilimradi tu
@MuhidiniNassor
11 ай бұрын
Wanaopinga maulidi wote ni majuha
@ramadhanitwahili6837
11 ай бұрын
Watakwepo hadi kihama kije kwasababu kila mtu na khakili yake na uwelewa wake.
@salimsms111
11 ай бұрын
Mbona hawa bimbazi. Uthaymin fauzani hawataji
@muhammadnassibu7706
11 ай бұрын
Huyu ni Sufi aliyekuwa kajificha siku nyingiii
@rahimhassan6722
11 ай бұрын
Sasa tuelimishe je kusema maneno ya uongo ni sunnatul hasana je bibi asia na bi maryam walishuka kuja kushuhudia mazazi ya mtume? Tupe dalili km unavotoa dalili hizo.tunataka kujua dini ustadh
@kiumbenatural-ii5jb
11 ай бұрын
Kasome
@AlhajiIssa-jb9hr
11 ай бұрын
بهلاء
@masshaka
11 ай бұрын
Mushafungua mlango wa shari, sasa tuendelee wengine wanacheza ngoma, kukata viuno, na upuuzi kibaao. Njama kubwa ya ibilisi ni kukupambia jambo la uovu, ukaliona wewe zuri. Vitabu vya historia ya uongo kuwa samaki waliongea😂😂
@Naaam353
11 ай бұрын
Hujaskiliza uelimike umetanguliza chuki na upinzani
@masshaka
11 ай бұрын
@@Naaam353 hio unanihukumu. Nimesikiliza kwa makini nilidhan nitapata hoja mpya ambayo sijawah kuiskia, lakini tunazunguka pale pale. Muhim ujue hii ibada ya maulidi walianzisha Mashia. Sie tikaanzisha hitima, wakasema je kusoma Quran ni vibaya. Baadae tukaleta kukaa matanga, kisingizio kuwafariji wafiwa. Na mengineo yanakuja.
@Naaam353
11 ай бұрын
Uwahabi umewafunza hoja fupi fupi za kijazba na chuki kwenye jamii saiv mnajibiwa mnachanganyikiwa
@masshaka
11 ай бұрын
@@Naaam353 sasa kama imam Shaatib kahusika vipi na uwahab. Alikuwako miaka 400 nyuma kabla huyo wahabi hajazaliwa. Nae Shaatibi akipiga vita maulidi na bidaa zote kama ni sumu. Lakini kama umeafikiana na hoja z hao uamsho si mbaya. Wewe ni mfuasi tu huna kosa vile hujui. Hao wengune ndio wana masuali ya kujibu
@kiumbenatural-ii5jb
11 ай бұрын
Mlikaa kikao ili kuua uislam kwanza mumshambulie mtume asitajwe? Mnataka kutangaza ushoga kwani madina hakuna makafiri au wanafiki?. Nyie mlikula pesa za wazungu mtume ataswaliwa nasi siku zote mpaka kiyama kisimame nyie sio pamoja nasi
@pavillioncry5241
11 ай бұрын
We mzee vpi Watu hawapingi kumswalia mtume s.a.w Watu wanacho pinga yale yaliomo kwenye barzanji yamethibiti? Kwa mfano: Dalili gani inaonesha wanyama wote na mimea ilitamka wakati mimba ya mtume ilipotunga? Je ni kweli mtume anasamehe madhambi? Jibu haha acha kujizungusha mzee
@Sheba4651
11 ай бұрын
Na mama Maryam na mama Asia walihudhuria siku ya kuzaliwa Mtume, wakati wakiwa washakufa kwa miaka na miaka, Je ushahidi wa aya ama hadithi ya mtume ipo. Aseme hoja hizo za waulizaji juu ya hizo nyimbo za barzanji.
@KassimSaid-qk8sw
11 ай бұрын
@@Sheba4651kuna vitu vimeelezwa kupitia riwaya mbalix2 kwa usaidizi wa akili hutavikubali,mfano kisa cha mtume kusafiri kwenda israi aliwakuta mitume waliomtangulia kwa karne na makarne na walishakufa akawaongoza katika ibada ya swala unaweza ukajiulza hapo tu juu ya hilo na pia swala ilikuwa ya namna gani na hayo ni masimulizi ya riwaya na hilo unaloliuliza lipo katika riwaya (Hadith )kama kweli unataka kujuwa na si kufanya ubishani unachotakiwa ni kujituliza darasani ujuwe riwaya hizi zilizotumika kumsifia ni za ukweli au za uwongo kwa kuwa hizo riwaya ni elimu tosha,na sio kama tunavyofanya porojo katika mtindo huu,hutopata kufaidika katika mambo hasa yenye kuwachanganya watu na kuchagua kundi la kukaa wakati mtu akiulizwa swali la kielimu anaanza kuyayatika.
@HamadMbarouk-xo9et
11 ай бұрын
Baiti gani inayozungumza mtume ana FUTA madhambi
@HamadMbarouk-xo9et
11 ай бұрын
@@Sheba4651 wewe na barzanj nani mwenye elimu
@HamadMbarouk-xo9et
11 ай бұрын
Unamjua vizur jaafar barzanj au unaropokwa tu
@Abdalajumaa-fx6cj
11 ай бұрын
Kwaio unawaaminisha waumini maulidi ni ibada
@HamadMbarouk-xo9et
11 ай бұрын
Ndio we hupendi c lazma
@hamzayusuf1894
11 ай бұрын
Wewe nimsomi tena hodari lakini hawa mawahabi hata ukiwatiya payip za mikundupi hawaelewi mungu kafunga miyoyoyawo hawatakuelewa
@abdichongowe2255
11 ай бұрын
Ndugu yangu usiseme maneno haya makali kuwatukana waislamu wenzako kwani hatuwezi kuwa sawa ktk kufahamu, namuomba Allah akusamehe 😭😭
@ADAMGORA-t2f
11 ай бұрын
Yan kwakweli Hawa wanakera Sana inamfamya mtu azungumze maneno makali ilaa wajirekebushe kwakweli sio kutukana watu Kila siku et Kila mtu afate akili zao fup kama wao wenyewe haiwezekan
@mdungiaabdu6800
11 ай бұрын
Hongera
@FathimaZubair-jt4cg
11 ай бұрын
Nlizani una Akil kumbe stupid🤣 huelekei kushabikia maulid
@kiongadecoration7793
11 ай бұрын
Weye ndo mshenzi
@FathimaZubair-jt4cg
11 ай бұрын
Acha kutafta Kiki
@AbdulkarimShosi
11 ай бұрын
Fatma zubeir acha matusi dini ni nasaha kama alivyo Sema mtume saw
@HamadMbarouk-xo9et
11 ай бұрын
We soma Wacha ushabik
@yusufmahadh9595
11 ай бұрын
Jifunze kua na adabu muislam wa kweli hawezi kumtusi mtu anaesoma kitabu cha Allah acheni kufuatafuata mkumbo someni.
@mohammedlipindula5415
11 ай бұрын
Sheikh mbona maelezo yako nimengi sana tatizo sio maulidi matendo yanayofanyika ktk hiyo shughuli yenyewe imejaa uongo ndani yake usitete kitu ambacho unachokiona ktk hivyo vitabu
@KassimSaid-qk8sw
11 ай бұрын
Hiyo ni darasa na ukitaka kulijuwa jambo lolote uwelekezwe ni kutulia darasani na kusikiliza na kufahamu na hutoelewa kwa undani wake kwa kupitia mijadala soma pande zote mbili utafungukiwa na kutosumbuka kwa maswali ya nayopita kichwani mara kwa mara na yanayokukatiza.
@@jumaa052 kula na kulala kumekua ni ibada kwa sababu kuna muongozo wa mtume ﷺ saasa tuleteeni muongozo wa mtume ﷺ juu ya hayo yanayoitwa maulid.
@jumaa052
11 ай бұрын
Habib mtume Muhammad s.a.w ame fanya maulid ama la?
@Naaam353
11 ай бұрын
Ndio
@Naaam353
11 ай бұрын
@@jumaa052ndio
@salhasadik366
11 ай бұрын
Wewe fadhima acha kumtukana mwanawazuoni kama ikiwa mumetofautiona baadhi ya Mas Ala si sababu ya kufanya hivyo kwa taasubi zako kumwita shekh stupid
@HijaMussaBSCAT
11 ай бұрын
Mashallah, Sheikh umejitahidi kadiri Allah alivokuwezesha. Hatuwezi kuwa sawa kama malaika, ikhtilafu lazima zitakuepo, hata kama ingekua hakuna maulid. Tushikamane kwenye mambo mengine tunayoenda sambamba, ikhtilafu zetu atahukumu Allah siku ya kiama.
@KubwaKuliko-dk4bm
11 ай бұрын
Sasa shk tunaomba ufafanuzi kwa yale yanayosomwa kwenye vitabu vya maulid kua nimambo ya uongo tena anaesingiziwa ni mtume kwa madai ya kumsifu hivyo ni kweli kua kuna uongo katika vitabu hivyo..na hili ndio lina tuchanganya tuna omba uchambuzi wa ndani ya vitabu kwa yale yanayosemwa ni uongo....
@murtalla2826
11 ай бұрын
Kasome kwanza usifate mkumbo bichwa maji ww
@muddycantona6286
11 ай бұрын
@@murtalla2826ww umesoma au unajiona kama mwanazuoni mbona hata kitovu au kikaratas hauna unajiona umesoma kumbe bichwa mbweembweee maskini huyu
@KubwaKuliko-dk4bm
11 ай бұрын
@@murtalla2826 hujui ndugu yangu kua kuuliza kwa wanaojua ni katika kusoma na nikheri!!!
@shamsahaji6202
11 ай бұрын
@@murtalla2826si hekima ungemjibu vizuri usingepungukiwa kitu .
@farajisanga343
11 ай бұрын
mimi napita tuuuu
@abdulwahababdulkadir9965
11 ай бұрын
Ktk dini sheikh ww nani uonheze lako,ivi kama na mm leo nitakuja na langu kwakua lina sura nzuri ndio ww utafata utarijie na ujira kutoka kwa Allah,acheni mambo ya kijahil nyinyi masufi
@jamalkishangu
11 ай бұрын
Sheikh anazungumza kiswahili, unaanguka wapi usimuelewe? Bora mtu apofue macho ya kichwani kuliko kupofua moyo.
@jumaomar8419
11 ай бұрын
Haiwi MTU wa kawaida hufanya sherehe za kuzaliwa Kwa gharama seuze kusherehekea mazazi ya Mtukufu wa Daraja
@OmarAlly-iz8ot
11 ай бұрын
Kwaio unataka kuwaaminisha wajinga kua bidaa inafaa? Hadithi imetaja ibada ya kutoa, na kutoa sadaka ni ibada isio kua na shaka, na msingi wa hio hadithi ume jengwa kwenye Ibada, kwaio ikifanywa ibada na muislamu ambayo imeachwa na watu, baada ya kuonekana yeye anaifanya na watu wakaifanya, hii ndio mada kwenye hio hadithi. Sasa utwambie kua man sanna fii al-islaami bid'atan, atapata malipo na watakao itenda bidaa hio pia watalipwa malipo yao, na ........kama ilivyo eleza hadithi.
@hajihassan5433
11 ай бұрын
Kwa Mungu hataingia mtu peponi wala motoni kwa sababu ya Maulid.
@Sheba4651
11 ай бұрын
@@hajihassan5433Kwa hivyo hiyo siku ikifika kama mtu atakua haendi peponi ama motoni sasa atakua anazurura zurura tu, yaani mzururaji kama vile hapa ulimwenguni, asiye na kazi ama jambo la kufanya huwa mzururaji? Huko siku ikifika lazima iwe ama motoni Jehanamu 🔥 ama uwe peponi, na si kuwa mzururaji. Kwenye Uislamu nako kuna makundi, na Mtume alisema yatafikia hata makundi 73, na ni moja tu ndilo la peponi, ndio hayo makundi tuliyonayo, la muhimu ujisomee uende darsa ulijue kundi lako, Je ndio la Mtume na maswahaba zake ama kundi katika yale 72 yaliyobaki. Majibu mbona unayapata tu hapa hapa kabla kufikia huko akhera, majibu unayapata kwa matendo yetu sisi wenyewe wanadamu, matendo ya kila siku kwenye huu uhai wetu wa kila siku mpaka tunakufa. ### KAMA VILE WANADAMU WALIVYO NA MAKUNDI, WAKIWEPO NA MAKAFIRI NA UISLAMU UNA MAKUNDI, CHAGUA MOJA.
@allymahaba3425
11 ай бұрын
@@hajihassan5433 Wapo wataoingia in-shaa-Allah. Pepo ni mali ya Allah, sio mali yako. Allah (SWT) Atamuingiza Amtakae na kumnyima Amtakae. Wewe mtu mdogo sana, huna mamlaka ya kuhukumu watu, wala kuwaingiza peponi au motoni, wewe ni nani??? Kwani wewe ni Allah? Ngojea Siku ya Kiama utajua kama wewe unayo mamlaka ya kuwazuia watu pepo ya Allah eti kwa kuwa unachukia Maulidi. Kama huyapendi chukia peke yako, na utakufa na chuki yako, sio kuhukumu na wengine. Kwani wamekupunguzia nini weweeee??? Soma Quran halafu ujiongeze.
@user-pe9nq3wu4p
11 ай бұрын
Hujalazimishwa kutumiya MB
@Naaam353
11 ай бұрын
Allah akuongoze,huyu ni mwanachuoni anafanya jitihada kutoa elimu aliyonayo wewe unabeza kwa chuki
Пікірлер: 227