Kuna watu ambao wanaamini mtu akishaokoka huyo mtu haitaji tena maombi ya kufunguliwa wala nguvu za giza haziwezi kufanya chochote, na wapo wanaoamini hata mtu akiwa ameokoka anahitaji kufunguliwa kutoka kwenye nguvu za giza, wale wanaoamini mtu akiokoka hatakiwikuombewa, mara nyingi wanakata tamaa sana pindi anapoenda sehemu kukawa na maombi alafu gafla akaskia kuna nguvu za giza zimefumuka kwasababu kuna namna alishaamini yupo salama na anapoona hayo yanatokea mambo mengi sana yanakuja kichwani. Ungana nasi kuweza kujua zaidi kimaandiko
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZitem: kzitem.info/rock/67L...
Негізгі бет JE MTU ALIYEOKOKA ANAHITAJI KUFUNGULIWA? BY PASTOR SUNBELLA KYANDO
Пікірлер: 31