Yesu ni Mungu kwa utukufu wa Mungu Babaye (Wafilipi2:5-11)
@jacksonirungu5643
4 ай бұрын
Wape injili Pastor Ndacha na mungu awape nguvu na maraika wa ulinzi awe nanyi
@kangamule2167
4 ай бұрын
Pastor Ndacha acha mikutano nawatu wadogo kama awa. Nimu kristo gani ajuwi yesu nimwana wamungu.
@aliabdallah8456
4 ай бұрын
Mbona wakristo mnadanganyana Yesu kafanana na Mungu, Mungu anamadevu kama Yesu huo ni uongo
@greatwaymarksministry
4 ай бұрын
Uliona Yesu wapi na madevu? Na uliona Mungu wapi ukajua hana madevu?
@japhetndoro6533
3 ай бұрын
Kumbe ww watazama picha ww
@machairtv2528
4 ай бұрын
Maria amza Mungu?
@machairtv2528
4 ай бұрын
Adam apo kale arikuwa hafi arikuwa Mungu
@machairtv2528
4 ай бұрын
Pastor was Congo amejigonga
@StellahOsukuku
3 ай бұрын
Kweli watu wapotea kwa kukosa maarifa, biblia i wazi kuwa mungu ni mmoja, yesu ni mwana wa mungu na bado mwapotosha watu kuwa yesu ni 'mungu mwana'? Mungu atusaidie tupate kuelewa zaidi
@kelvinkamau3174
4 ай бұрын
Glory be to God
@EliaMwisha
4 ай бұрын
Congo haizoei mijadala, wanadhani ni uwanja wa mpira
@japhetndoro6533
4 ай бұрын
Wa Congo ni ushabiki sana
@EliaMwisha
4 ай бұрын
Wa congo wanakorogwa na moshi wa vita ya kila siku
@FaithKathure-x9u
4 ай бұрын
Huyu p wa Congo haelewi herufi maana yake. Bwana mungu mwenyewe
@JustinKaboga
4 ай бұрын
Hawa pastors wakenya wamechanganyikiwa wakiwa na waislam wanasema yesu ni mungu kwa wakristo wanafundisha yesu ni mwana wa mungu
@greatwaymarksministry
4 ай бұрын
Labda ujawai tuelewa. Yesu ni mwana wa Mungu, na amerithi asili na jina la Baba yake. Hivyo ni Mungu katika asili na katika kurithi Uungu kutoka kwa Baba yake. Kama vile wewe ni mwanadamu kwa kuwa umerithi asili ya mwanadamu.
@minadiali1176
4 ай бұрын
Yani nlidhani Kuna waisilamu apa. Kumbe ni wakeisto wenyewe? Kumaanisha bibilia nkitabu Cha uwongo? Mara yesu mwana wa Mungu Mara Mungu, Mwenye akili na azitumie
@labankabe441
3 ай бұрын
Tatizo ni kwamba dashi anafuata yesu ambaye ajatukuswa
@evermtuku
4 ай бұрын
wa congo shida yao kile kinawasumbua ni kiswahili tuu
@kisoimunyithya3893
3 ай бұрын
John 5:37
@machairtv2528
4 ай бұрын
Wa Congo hawashiliki,pasca au noel
@liroytito2472
4 ай бұрын
Too bad, video ended just before the most crucial question was almost to be answered. Next time let us watch all please, not cutting it halfway. But was edifying though
@greatwaymarksministry
4 ай бұрын
I'm not the one who cut the video. It was Livestream and it ended because I didn't have enough bundles.
@liroytito2472
4 ай бұрын
@@greatwaymarksministry Oh, now I get it
@kangamule2167
4 ай бұрын
Kwakuwa Mungu alipenda ulimwengu alituma mwanawe niwangapi awo? Ni mungu alikja awu alituma mwana?
@MorisTolotolo
4 ай бұрын
Ndacha kubali yaisha ,mkubwa akikosea huchutama,huyu mwalimu wa kongo yupo sawa kwa mafundisho yake,na mimi ni Mtanzania ninayajua lugha nasaha ya kiswahili,kubali tu yaishe
@japhetndoro6533
4 ай бұрын
Wew nawe umepotea
@japhetndoro6533
4 ай бұрын
Wew ni shabiki tu
@japhetndoro6533
3 ай бұрын
Kwaivo yesu alipokuwa anabatizwa sauti ilikuwa ya nani
@japhetndoro6533
3 ай бұрын
We'we uko na ushabiki ungekuwa wasikiza hoja ungekuwa umeelewa
@EliaMwisha
4 ай бұрын
Wa congo wenzangu mumepotea kabisa
@japhetndoro6533
4 ай бұрын
Kweli wamepotea kabisa
@japhetndoro6533
4 ай бұрын
Ww unasikiza hoja kweli najua ukosawa
@jeanninemunezero6469
4 ай бұрын
Wa congo niwa pinga kristo ndokazi zawo waongo wakubwa hawajuwi biblia
@hezronsaid2168
4 ай бұрын
Hawa warongo hawa.
@GilesKhamis
4 ай бұрын
Wakongo wa jumapili ni Sawa na walevi,hawana usitaarabu
@japhetndoro6533
4 ай бұрын
Wa Congo ni ushabiki tu ndio walio nao
@ayengobenjamin8014
4 ай бұрын
Wananchi hao ni kama wako kwenye I wanna wa Moira. Wanaharibu mkutano. Waandaji ameshindwa kusimamia mkutano. Aibu kwangu wote wanafanya ushabiki tu, watatoka tupu.
Пікірлер: 44