Bwana Yesu asifiwe,,, waalimu wa kiislam mko na ushabiki,,, mnatetea Imani yenye haipo,,,na pia wengine hata hawajui penye wako,,Mungu wajaalie neema wakujue wewe na mwanawe Yesu christo uliemtuma,
@DanKanu-ox4hx
4 ай бұрын
God bless you Mwalimu Ndacha
@mjombawallace4966
4 ай бұрын
Mwalimu Ndacha umechoma kweli thanks God bless you big 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@willygwaikana
4 ай бұрын
Nimefurahi sana kuona wahubiri wa Kikristo mmeungana pamoja kuutangaza ufalame wa Mungu katika Kristo Yesu Bwana. Naam mkazidi kufanya hivyo kwa neema ya Mungu, Taabu yenu si bure katika Kristo Yesu. Hao waislamu ni dini iliyoanzishwa na shetani akiwa na majini zake ili kuwahadaa wanadamu wasifuate njia ya uzima. Kwa hiyo hata kauli zao zinathibitisha aina ya giza linalowaandama.
@jeanninemunezero6469
4 ай бұрын
Ndacha Mungu aongeze myaka yako tunakuhitaji kuna kazi ninyingi utafanya watu wa mepoteya
@JojoSrena
4 ай бұрын
Ndacha mungu aendelee kukurinda
@PeterNyagimwisa
4 ай бұрын
🎉hata swali hawana
@michaelamiani6755
4 ай бұрын
Na kumbuka huwezi abudu mungu kwa roho na kweli kama huwezi heshimu dini yake
@NathanielNathan-m4o
4 ай бұрын
Ndacha ni mwalimu....
@amanicarlumehabel7575
4 ай бұрын
Swadakta kabisaa Ndacha, Fyeka wote hao na huo upanga wao wa Radi uwamalize wenyewe
@SiaMboya-l5t
4 ай бұрын
Mkienda kongo mpo na. Dacha kenye mko na ndacha hapa bongo kila mkowa mpo nae lini anazinguwa na lini anahudumia kanisa lake au ninyi.ndiyo wale mlioandikiwa itafika muda kila awauwae ataona anamtolea mungu sadaka
@zdbeautifulwomen2528
4 ай бұрын
Acheni kudanganya watu juu yadini dini Akuna maali popote dini itakupeleka uliikuta nautaiacha tobayako na ukiamini yesu kristo kuwa bwana na mokozi wa maisha yako na ukimtumikia mungu kwa roo na kweli bas bas
@JeanMuzaliwa-bs6qh
4 ай бұрын
andiko dini dini watu waachane nayo?
@greatwaymarksministry
4 ай бұрын
Yakobo 1:27 [27] DINI ILIYO SAFI, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.
@michaelamiani6755
4 ай бұрын
Njia ya kuabundi ndio dini na ipo katika amri kumi za mungu soma bibilia vizuri
@AllyMsafiri-kw2ne
4 ай бұрын
Huyu ostadhi upanga wa radi abarikiwe....elimu kubwa ukweli mchungu dozi sahihi kaitoa
@SiaMboya-l5t
4 ай бұрын
Hivi huyu ndacha kanisa lake liko wapi mchu haji asijuwa bibilia
@SeifumpeliMpeli
4 ай бұрын
Ukristo sio dini ni jina la mtu hamna din
@shepherd1x84
3 ай бұрын
Bwana yesu asifiweeee...Yesu ndiye njia..diniii...watu wa majinni hawana habari yake.
Пікірлер: 22