Kocha wa timu ya Taifa Alfred Serengia amezungumza na Tv3 Kuhusu utayari wa kushiriki mashindano ya mataifa Afrika yatakayoanza tarehe 01 - 14 Septemba, 2023.
Kocha Alfred kasema kua, "Mashindano haya ni makubwa hivyo hatuendi kushiriki bali, tunaenda kushindana".
CAVB - Africa Men's Championship 2023
Негізгі бет Je, Tanzania imejipanga vipi kwenda kwenye mashindano ya CAVB - Africa Men's Championship 2023?
Пікірлер