Nimepokea uponyaji sasa hivi (saa 10:33pm)baada ya kusikiliza somo hili, nilikuwa nna maumivu ya mgongo na mguu ila katikati ya maombi nikasikia kitu kimeachia nikaanza kujinyoosha wakati mchungaji anaendelea kuomba kuhakikisha na alipomaliza nikajinyoosha tena ili kuhakikisha ,sina maumivu kabisa. ninamtukuza Mungu na Baba yetu wa mbinguni kwa hili na mengine yajayo ninaamini nmeshayapokea kwa imani na hili ni uthibitisho.
@allround8056
9 ай бұрын
Amen!
@mtesigwakuboja1632
7 ай бұрын
Amina
@roselineombati670
2 ай бұрын
Amen, hallelujah
@davidkilajaga8842
Ай бұрын
Hallelujah
@user-gp5vc7cb7i
Ай бұрын
Amen
@catarinaalexandrenkhalamba6786
12 күн бұрын
Asante sana pastor Mbaga. Kweli wewe siyo mhubiri wa dhehebu moja, nafuatilia sana mahubiri na mafunzo yako huku Msumbiji ninakoishi kwa njia KZitem. Ningefuráhi sana japo kama ningepata Numba yako ya WhatsAppy. Mungu azidi kukuongezea kipaji, ujasiri na moyo wa upendo. Karibu kwetu.
@tracysally-im7fw
11 ай бұрын
Napenda unavyo ubiri kwa nguvu na ujasiri,sichoki kukusikiliza,mungu akubariki zaidi milele
@Shirimaneema
11 ай бұрын
I love how you speak with strength and courage, I never get tired to listening you,may God bless you forever.
@MortonKaunda
Ай бұрын
Ubalikiwe sana mchungaji Wetu Amen
@sylviesaidi5740
Ай бұрын
Nipenda sn pastor mafundisho yako
@annmjemah5655
Жыл бұрын
Kwa kweli mchungaji hilo la kutokupokea miujiza ni la kweli. mimi ni mtu ambayenilikuwa sikubali na rafiki zangu ambao ni kama wadogo zangu mmoja anaitwa irene,mary na angel walinishawishi kila mmoja kwa wakati wake niwe nafika kusali j5 katika maombi. wakati wa kiipindi cha maombi sikuwa nafumba macho nikifikiri kama kuna kitu. ninashuhudia hili mwaka 2022 kuingia 23 kuna somo nililikuta youtube lilikuwa linaongelea kuhusu Mungu akufumbue macho mwaka 2023 nafikiri ilitolewa december 31 mwaka 2022 nililisikiliza lile hubiri nikaomba na mchungaji. na niliwambia Mungu tatizo langu likajibiwa nikiwa ninatazama. sitaki kuliongea alichonifanyia kwa kuwani mambo ya ofcn na ninaogopa kulisema kilichotokea kwa kuwa wengi wanatazama humu. Tunakushukuru kwa kutufungua macho na mawazo kwa Mungu wetu
@danielcesaire1240
Ай бұрын
Ubarikiwe tna na tna
@KwihaAthanas
Ай бұрын
Nabarikiwa sana
@kadzocharosilver411
25 күн бұрын
Mimi niko Saudi Arabia ni mkenya
@elienew3788
2 ай бұрын
Sioshwi dhambi.zangu bila damu yake Yesu hapendezewi Mungu bila damu yake Yesu hakuna kabisa dawa Ya makosa yakututakasa ila damu yake Yesu Asante sana nimeguswa
@happinessmongare4311
11 ай бұрын
Naomba mungu kila madhabau ya giza uyaondoe kwa familia yangu kupitia maombi haya kwa jina la yesu amen
@user-gp5vc7cb7i
Ай бұрын
Amen
@leahwainaina4396
27 күн бұрын
Amen
@HamisHamis-bi7yk
Жыл бұрын
Nayapenda madundisho yako mchungaji Mungu akubariki sana wewe pamoja na familia yako.
@user-fi9ef2rd8k
11 ай бұрын
Munguazidi kukutumia Sana pastor Mbaga
@NdackKengele
Жыл бұрын
Bwana ainuliwe sana kupitia mtumishi wake ..... Umenibariki sana kiongoz
@danielcesaire1240
Ай бұрын
Nifuraha kubwa saaana kwetu ssisi tuliyo bahatika kusikia ma fundisho yako pastor
@danielcesaire1240
Ай бұрын
Nifanye niwe mwanafunzi pastor niko south Africa
@user-ep9by3ui1v
4 ай бұрын
Ameen🙏💖
@bernakimario
Жыл бұрын
Mchungaji mungu akulinde sana nabarikiwa sana na masomo yako nayafuatiliya nabarikiwa sana
@osmanali3872
Жыл бұрын
Mungu akubariki pst nasukuru kwa kutuelimiza ,unatwambia ukweli ili tubadilike
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@AjuayeEmanuely
Жыл бұрын
Amina huwa nabalikiwa sana ninaposikia mahubiri yako mungu akubaliki
@SospeterLadslaus-zf7kh
Жыл бұрын
Asante Yesu kwakuhurumia kutupa huyu mtumishi
@davidkilajaga8842
Ай бұрын
Na Mm nimo, Bwana Yesu aniguse
@raelsarange638
Жыл бұрын
Pastor I have changed my life and living style anytime I listen to ur teachings I pick a point thank you from the bottom of my heart be blessed abundantly in Jesus mighty name Amen 🙏
@emmymwasalwiba1912
Жыл бұрын
Amen, even me God using pastor Mbaga to reform my life spiritual and physically. Pastor be blessed a lot, and live longer.
@dr.edwingeorge9837
Жыл бұрын
Me too
@dorahmcharo3083
Жыл бұрын
Amen.
@reginahmwanza7887
Жыл бұрын
Same to me here ❤❤
@HeppyPaul-tq3ry
11 ай бұрын
Mungu azidi kukupa Maisha marefu Mtumishi wa Mungu
@erickchaula5084
Жыл бұрын
Mungu akuongezee siku za kuishi mchungaji mbaga maana wewe si mchungaji wa wasabato tu bali ni mchungaji wa madhehebu yote nayapenda sana mahubili yako hayana udhehebu ni yakuwapeleka watu mbinguni
@andrewchioni9366
11 ай бұрын
Mungu akubariki kwa mafundisho ambayo Roho mtakatifu anakupatia ili unene nasi
@AzAz-sy6zp
4 ай бұрын
Amen ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho
@maombijofre2302
11 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@MortonKaunda
Ай бұрын
Naomba namba ya whattssp ya mchungaji pastor David MMBAGA NAFAIDIKA SANA KUTOKA MUHUBIRI TV NIKO SOUTH AFRICA HASATENI
@lebonbasimise6814
8 ай бұрын
Pasta mungu akubariki sana miye Congo nime sambaza sana mahubiri yako na watu wana farijika sana
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Mungu akubariki saaana
@dorcusamisi2926
9 ай бұрын
Barikiwa sana YESU azindi kukubariki
@KASICHANANDARO-ud1eh
11 ай бұрын
Nabarikiwa sana na mafundísho yako pastor
@user-ns1jw3rl3g
Жыл бұрын
Yehova Akuongezeye ujuzi
@Mapenzi2635
6 ай бұрын
You are filled with the Holy Spirit. Thank God
@onesmoelias2285
Жыл бұрын
Ameee ameee ameee mchungaj unakipind kimoja tu
@estherkahindo2994
10 ай бұрын
Amina papa ubarikiwe zaidi
@adyday8788
Жыл бұрын
Nazani ni wakati wa kumiliki TV Yako pr
@davidmisiwa4622
Жыл бұрын
MUNGU wa mbinguni na atoe apendavyo
@RubaR-nr5wz
8 ай бұрын
Kuna watu waliondokewa na mzazi mmoja je Hawa nao ni mayatima ama vipi na unaeza wasaidia nao
@judithnjalambaya2450
6 ай бұрын
Amen 🙏
@RubaR-nr5wz
8 ай бұрын
Mm huwa natoa zaka zangu lkn nikitoa ak mambo yangu ndio yanazidi kuwa mabaya sana lkn nikiacha kutoa huwa naona afueni ss hii nayo ni nn naomba pst mungu akusaidie na kunipa mm muelekeo nifanyeje
@ednaaswile6631
Жыл бұрын
Amina na Amina mtumishi 🙏, Asante Mungu Kwa ajili ya chombo chako hiki ili tuendelee kukujua wew kupitia mteule wako huyu Barikiwa pastor
@BarnabasJonas-nv4ig
Жыл бұрын
MUNGU atusidie sana AMEN
@Pst.enock9626
Жыл бұрын
Hi pastor good teachings
@LilianWanjiku-vr5dj
Ай бұрын
Pastor,,,ko Kuna yesu alaf Kuna mungu????
@lorainnelarryson3626
Жыл бұрын
Amina pastor.
@funakoshtadash6163
Жыл бұрын
Naam, ukweli ndio huo kwamba ikitokea mwandamu akamjua Mungu basi naye huyo atakuwa ni Mungu. Tunamjifunza huyu Mungu kila kukicha ila hana maana ya kumjua bali kuyajua mapenzi yake
@SadaVita-ug3gx
10 ай бұрын
amen🙏🙏
@dr.edwingeorge9837
Жыл бұрын
Aminaa
@zakariachihota9417
Жыл бұрын
Ameen
@BarnabasJonas-nv4ig
Жыл бұрын
AMINA
@PhebiElias-rw9ns
Жыл бұрын
Uniombee mchungaji niwe nanguv yaiman
@lizziewangui6106
Жыл бұрын
asante pastor tunabarikiwa sana familia ya mitandao
@ChanceBariziraVital-cv5jx
5 ай бұрын
Pasta,nafatamafundi shoyako nakuyazingati mimi nimusabato lakini shida ukafundisha uoukweli ukukwetu mimbali kanisa ni upewitena,mutuombee RDC goma
@joliea2956
Жыл бұрын
Asante
@kadzocharosilver411
25 күн бұрын
Nimebarikiwa na uliza nitapataje number yako mtu wa mungu
@solombwilo
Жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kazi njema
@epiphaniachristian5450
4 ай бұрын
Wapendwa naombeni namba ya pastor
@faustermtavangu8212
Жыл бұрын
Amina Mungu akutunze ninabarikiwa sana
@JESUSISLO891
Жыл бұрын
Kweli mafundisho yako yananifaa Sana masomo yako yamenirekebisha kwa jina la Yesu vile neema ya Bwana isemavyo katika Tito 2:11
Пікірлер: 79