Hhhhhh Subhana'Allah nimechka mpk bas shukran habibi sheikh letu Allah akupe umri mrefu
@fatumahassan1385
5 жыл бұрын
sheikh mawaidha yako yamenielimisha sana jazakum khair
@mwanahawafoum3907
6 жыл бұрын
Shukran sheikh Allah azidi kukupa uwezo utuelimishe
@Mohaa4309
6 жыл бұрын
MashaAllah , Alhamdulillah
@abughatimsalim7047
6 жыл бұрын
In yukhuibuka fillah takbarillah min wa minka inshallah
@suleimanmohamed3397
5 жыл бұрын
mashaAllah - Allah ukeke, akupe afya na anguvu. kwahakika khutba zako ni za haki na ukweli, jazakaAllah
@brockbeckham7045
3 жыл бұрын
I guess im asking the wrong place but does any of you know of a method to get back into an Instagram account?? I was stupid lost my account password. I would love any tricks you can offer me.
@jabilishekusa2202
5 жыл бұрын
shekhe yuko sahihi kutuelimisha na kwakweli MWANZO wa ushetani ni sisi wanaume wajua KABISA mke wa furan wewe wamfukuzia matokeo YAKE waacha familyako utaenda jibu nini mbele ya Allah wanaume wenzangu tujieshimuni kama wataka mke.mwingine Bora kuoa kuliko kuzini hata kama hajaolewa nizambi kubwa sana
@rahmaoman5122
5 жыл бұрын
Mashaallah mafundisho mazr sana
@omarmwinyi125
4 жыл бұрын
Swadakta sheikh
@saidasaid5855
4 жыл бұрын
Sheikhe hapo umenena mwanamme hawez kukuvunjia heshima Kama mwanamke or mwanamme ana heshma
@ummusalim1991
20 күн бұрын
Hpo mkono gizani sasa😂
@fhyubhhh2881
Жыл бұрын
Jazzakallahu khair
@mlawafamily8191
6 жыл бұрын
Mungu akuzidishie sheikh wetu
@abughatimsalim7047
6 жыл бұрын
Mashallah tunakupata shekhe
@zuhuranahimana7197
5 жыл бұрын
Shukran ustaz
@atwfordshabani7277
3 жыл бұрын
Masha allah she wetu jazaka llahu khaira
@zuhuranahimana7197
5 жыл бұрын
Ustaz wewe wakati mwengine unatuchesha saana
@alichabalo8690
4 жыл бұрын
mashallah mawaidha yako mazuri
@fakhiayoub9062
5 жыл бұрын
Takbir
@jabilishekusa2202
5 жыл бұрын
Allah akuongoze
@yahayaabdalla3411
3 жыл бұрын
Shekhe mafundisho tumeyaelewa Barabara
@sufianidaudi1999
6 жыл бұрын
Mashaallah
@ramadhanihafidh7732
5 жыл бұрын
Mashallah Mashallah
@nassormuha4832
6 жыл бұрын
nikwel Shekhe heshima unajiekea mwenyewe lakin wanaume munatabia mbaya yakutongoza tongoza ovyo tena mda mwengine MTU ukimkatalia atakufanyia kilahali alimradi awe na ww karib naroho za wanawake ninyepes sana masuala yakutongozwa
@shakiruabasi1468
6 жыл бұрын
Naylor Muha
@hfhffg7819
6 жыл бұрын
MashaAllah..hahaaa duuuh kinuka mtho
@khamisaahsam8922
3 жыл бұрын
Shekhe nina swali je kama mume ana mwanamke nje alafu yule mwanamke anafanya shiriki ili kuvunja ndoa iyo apate kuolewa yeye inakuwaje hapo
@abullahkabaka8774
3 жыл бұрын
MASHA ALLAH ALEIK
@salmakhamis8181
5 жыл бұрын
Swadaktaa
@mohdyussah825
5 жыл бұрын
Sote tunatia mkono kizani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@zuhuranahimana7197
5 жыл бұрын
Hhhhhhh Mme bwege uyo
@FREENETNAME
5 жыл бұрын
The love of Allah conquers all marriages alhamdulilahi. We are only humans after all...
@jamilamunisi1480
5 жыл бұрын
mashallah nikweli kabisa
@0785116223
6 жыл бұрын
Mashallah
@mtoromtoro3338
5 жыл бұрын
mtihan jaman
@umayraseeb3357
5 жыл бұрын
A.alykum sheikh, jee ikiwa mume ndo aishi na hawara ndani. mkewe wa halali hataki aende pale kwenye nyumba yke. na mume ampa vtisho mke km akimfata, nini afanye mke na hayuko tayar kuikosa ndoa yke
@munaseif9769
6 жыл бұрын
shukran shehe wasamehe wanaokuona wew unaongea uongo allah atakulipa inshaallah
@selemanishabani6843
4 жыл бұрын
Wewe
@abdulrahimmurshid6380
3 жыл бұрын
Shukran
@ARFIddy
7 жыл бұрын
Shkrani jadhila
@saidykipalo9116
7 жыл бұрын
A.R.F. Iddy hivi wewe mtoto mbona bint Iddy jamani upo wapi lkn niambie baaasi jamani?
@ARFIddy
7 жыл бұрын
Saidy Kipalo ntafte Fb kwajina ARAFA iddy
@mohamedmariano5699
6 жыл бұрын
A.R.F. Iddy .mmh
@bimumaulid1171
6 жыл бұрын
haha shekhe nimekupata 😁
@nduwiwimanarichard896
6 жыл бұрын
±25769610902nmbayangu iyo naomba yakwako
@zulekhamohammed7694
6 жыл бұрын
ahsante shekhe ila wanaume hawaewi ukimwambia Fulani anifatilia atakujibu huyo ni mtu wako Wa mda tuu itakua
@abdulqadirhajj6631
6 жыл бұрын
Zulekha Mohammed
@abshirmohamed4887
6 жыл бұрын
Zulekha Mohammed dah
@mohamedmariano5699
6 жыл бұрын
Zulekha Mohammed .Ukiona mke anakwambia ujue hajampenda huyo au nimtu wake wazamani ilawamegombana.
@lipikabelwa5788
5 жыл бұрын
In shallaah
@firdaus7428
6 жыл бұрын
Huyo mwanamke hamtaki mumewe mana asingetoka nje ya ndoa lakini ikiwa mume amemsamehe mkewe basi hapo ni uamuzi wake
@zammaulidi7507
5 жыл бұрын
Na Sisi wanawake je unajuwa anahuyu na Yule je unaweza kuishi maisha hayo ya roho juu juu Tu au mwanamke ukisha ona mume anatabia za kuona hasa je unaweza kisema ndoa hii bas au haifai ukae tu kufa kubona?
@amuunyussuof5240
6 жыл бұрын
😁😁😁😁
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
🤦♀️
@jumamachano7329
5 жыл бұрын
Assalamu alaikum naombeni namba za wasap za uyu sh jamani
@fatumayusufu1706
4 жыл бұрын
Nami pia naziomba jamn
@wardalward3693
6 жыл бұрын
WOTE NISAWA MWAN MUME NI SHETANI NA MWANAMKE NISHETANI POLE SHEKHE
@hashimrupia8727
6 жыл бұрын
Shehkee asalaam aleikum hivi hizi dua za kuwaombea marehemu cku ya eid kubwa yafaa! na kama yafaa ni cku ngapi baada kupita ckuu ya ckukuu!
@alaminalamoudy
5 жыл бұрын
😂
@salimsaid7200
3 жыл бұрын
@@hashimrupia8727 Maduwa Ya Kuwarehemu Wazee Na Waislamu Wote walokufa Na Sisi Tulokuwa Hai Kuombeana Rehma Ni Wajib Ni Siku Zote Na Wakati Wowote Na Mahali Popote.
@shukurually2011
5 жыл бұрын
Naomba mnisaidie jina la huyu shehe ili nikatafute dvd zake kiukweli anazungumza mawaidha ya kutuelimisha nitumie jina lake inbox no +255713 442590 tupendane kwa ajili ya allah
@rebeccamakweta8240
5 жыл бұрын
Shukuru Ally umefanikiwa kupata na me unitajie
@umayraseeb3357
5 жыл бұрын
A.alykum w.wabarakar, sheikh naomba namba zko za whatsapp nina matatzo kwenye ndoa yng unisaidie lolote
@IzudinAlwyDin
5 жыл бұрын
0722611120
@nassormuha4832
6 жыл бұрын
ndowa ni mapenz Shekhe siokirahis kuachana kiivo wanaume mtosheke na uke msione hamna makosa kuwabebesha wanawake makosa yote kila mmoja atabeba mzigo wake
@husseinvitabaki6791
5 жыл бұрын
Hussein A ada M tunduma MashaAllah
@Rashidmhedhery
6 жыл бұрын
Hawa Mashaikh ni wakujibandika tu, Hawana elimu, wanapotesha watu
@salmagogo9967
6 жыл бұрын
R M shekhe ni wewe na babako2
@jahifamau6873
6 жыл бұрын
R M sasa hapa kuna upotofu gani.hebu tueleze wapi alipopotosha zaidi ya ukweli.
@Rashidmhedhery
6 жыл бұрын
Jahi Famau; asiyejua maana haambiwi maana!
@Rashidmhedhery
6 жыл бұрын
Salma Gogo. Babako khanithi
@salmasaidi2875
6 жыл бұрын
R M vipi jamani naona asema haki
@nouzhatabdullah849
5 жыл бұрын
Shehee nmekupendaa buree Allah akupe wepes wa maneno mawaidha yakoo mazurii......
Пікірлер: 95