Ww shehe unawapotosha watu, ashura na maulidi vitu viwili tofauti, lete daleel sahih
@mubirirashidi
2 жыл бұрын
Mashaaallah ❤️❤️❤️
@uthmanmaluja7005
2 жыл бұрын
Shekhe elewa kwanza mtume aletewa wahyi na ndo kiigizo chetu baada ya kufa mtume atakaeanzisha kheri nyingine ambayo hakuitambua mtume na maswahaba zake hiyo sio dini utabaki nalo mwenyewe..
@ibnumarwaonlinetv4456
Жыл бұрын
Tatizo nyinyi kazi yenu ni kupinga tuuuuu mwisho mtajinga wenywe. Mawahabi someni msikimbilie jambo bila ufahamu, hatao mola anasema فاسألوا أهل الذكر إكنتم لا تعلمون
@shilingi-Ahmadi
Жыл бұрын
Hatuwachi yambo ambalo halikukatazwa ili iwe haifai lete makatazo
@ustadhikhatwibukibaraza
11 ай бұрын
على الحقيقة أن المولد من أسباب ذكر الله ومدح رسوله الكريم
@eddieeddie2755
Жыл бұрын
Makhurafi kweli wamekosa dalili ya maulidi, inasikitisha sana wanalazimisha lkn wapi, ni sawa kutaka maji ya bahari yawe tamu.
@ramadhanimwinyi-7445
11 ай бұрын
nikweli porojo tuu kwani leo kuna mtume mtume hayupo tena
@user-ip5nr5iy2u
Жыл бұрын
dah sheikh izuddin Allah akuhifadhi lakini usitetee batil kwa kila njia
@shilingi-Ahmadi
Жыл бұрын
Wewe usosoma ujue haki kuliko alosoma
@husseinvarvani9823
Жыл бұрын
Ni ukosefu wa imani rudi usome dini tena haya yote ni uzushi
@abdullahijma2073
7 ай бұрын
Astaghfirullah...Wallahi hawa mashekhe wanapoteza watu..hiyo sio defence kabisa. Mtume akitenda jambo ndio inaitwa Sunnah sio sisi kujitengezea yetu na kuyaita kheri..na pia basi Maswahaba hawakuona ni kheri wakafanya? Lasabaquuna ilayna. (wangetutangulia)
@positivevibez001
Жыл бұрын
Hawa kuaanza mayahudi Aliye funga ni Nabi Musa ndo mayahudi wakamfuataa
@HashimSalim-qj7zn
2 күн бұрын
AMA KWELI KITU UKIKOSA DALILI KINACHOBAKIA NI POROJO TU NA MIFANO AMBAYO HAYAINGII AKILINI KWA WENYE AKILI
@abdurahimabdulkadir3926
Жыл бұрын
Umechemsha hapo ust
@shilingi-Ahmadi
Жыл бұрын
Wewe usochemsha una ushahidi upi wa kuwa ni haram?
@doktahajejia
Жыл бұрын
Shukraan shekh izudin
@aishahussein1634
2 жыл бұрын
😳🙄🙄🙄🙄
@AishaOmar-df7ux
11 ай бұрын
Wacha tendekeza wewe, izzudin jikazanishe mtoto wa kiume, umelegea sana.
@burujfoundation
11 ай бұрын
Heshma na izzudin
@abeidkhamis6130
Жыл бұрын
Hapo kwa hilo umechemsha umekosa hoja sheikh badala ya kusema sisi twasoma kivyetu na mamrisho ya mtume wala ma swahaba kueni wa kweli maneno yenu yanarekodiwa na Yana athari ima ya kupoteza au kuongoza watu.
@mzeemmwinyihajihatibuhatib9331
11 ай бұрын
Ujahil huo hata mfano huo hauambatani kabisa na kujuuzisha maulidi Kwahivyo wewe nyie mbora kuliko maswahaba ambao wao hawakuanzisha????
Пікірлер: 22