Pastor Ndacha God bless you, in Jesus might name. Yesu ni mwakozi wa ulimwengu.
@constantinennonjela3922
5 жыл бұрын
Mwl ndacha nampenda namwelewa sana Mungu akuongoze Sana njoo Tanzania pia
@donaldmwahalende4841
5 жыл бұрын
Uko sehemu gn Tanzania
@carolinendasala935
5 жыл бұрын
Pastor Ndacha my God bless you abundantly
@abrahamongeri2841
3 жыл бұрын
Mungu akubariki ndacha
@josphinemwangi9729
Жыл бұрын
Ndacha you have wisdom and knowledge God gives you more grace
@newlightmoviesproduction3598
2 жыл бұрын
Hongera P ndacha ubarikiwe.
@jamilshisia5929
4 жыл бұрын
Ustadhi Mohammed Mungu akujalie elimu unayo ya kutosha, umenyorosha huyo ndacha proper
@mariamnamwa188
3 жыл бұрын
Mwalimu Ndacha please tupangie mada part 1,2,3 barikiwa sana
@raphaelkimaro1753
5 жыл бұрын
mashekh nawasifu kwa kuzuga. mada imewachoma wanajichekesha kama watekenywa ili kuwatia moyo waumini.
@johnmathew2769
3 жыл бұрын
Ndacha mungu akupe maisha mareeeefu sana,🙏
@edwinnyapara6482
5 жыл бұрын
Kwa Yesu hatubanduki;Yeye ndiye mwokozi wa ulimwengu
@sarahwanjala6601
5 жыл бұрын
Mimi sibanduki kwa Yesu ngoo hatakama munamwita majina yote
@edwinnyapara6482
5 жыл бұрын
@@sarahwanjala6601 Waambie ukweli #Sarah hizi no siku za mwisho
@sarahwanjala6601
5 жыл бұрын
@@edwinnyapara6482 kweli kabisa kwani niwambishi naukweli uko wazi Nitacheka siku hiyo nikiwaona wakitupwa jehanami kwa kumkana Yesu hadharani nae Yesu atawakataa mbele za Baba yetu wa mbinguni
@kijanahodari2080
5 жыл бұрын
Yesu hautambui ukiristo na ibada zenu wala ilo jina la Yesu sio lake mulimpa nyinyi munao ongea Kiswahili
@monicabh1668
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣hatubanduki ng’ooooo hawa waislamu ni kuni za jehanamu tuu.
@carolinendasala935
5 жыл бұрын
Siwezi ombewa na mtu aliye kufa Mohamed! KWA YESU SITOKI HALLELUJAH!
@davidmwangi5429
5 жыл бұрын
Ata kwa fimbo hatutoki
@kazirijohn
5 жыл бұрын
Amén
@kijanahodari2080
5 жыл бұрын
Ata Ibrahim,Musa,Daudi walikufa na walipeleka watu Peponi ila hakuna nabii aliyetumwa kwa wakiristo
@yesunialamayakiama.9013
3 жыл бұрын
@@kijanahodari2080 Sasa nabii anatumwa kwa Wakristo kivipi na Wakristo tayari wapo? 🤔
Yaani wanafunzi wa madrasa mmekuja kama wote na walimu wenu na mashekhe wote mnapokezana mic lakini Bado amfui dafu, kweli injili imesimama, GOD keep your servant NDACHA and Bless his life.
@maxjofrey70
Жыл бұрын
Mwalimu ndacha nakukubali sana mana unajua kuwa nyoosha yani kwayesu sitoki
@masongatz
5 жыл бұрын
NDASHA jeshi la mtu mmoja
@adammasunga6382
5 жыл бұрын
Waislamu wote ni vipofu
@davidmwangi5429
5 жыл бұрын
Wote vipofu tu!
@kazirijohn
5 жыл бұрын
Ndacha hao majamaa wanyoshe katita jina la Yesu kristo.
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
Mr Ndacha my role model # Hate him at your own risk
@financialloan9818
5 жыл бұрын
Ndasha ungekuja tz kaka yan ww ni kibokooooo unawanyoosha waislam daah
@financialloan9818
5 жыл бұрын
Waislam poleni sana mpaka naona aibu Mimi uku
@yousuflugodisha4791
5 жыл бұрын
Yesu in Mungu
@kijanahodari2080
5 жыл бұрын
Ila alikuwa akimsujudia Mungu wa waislamu
@monicabh1668
3 жыл бұрын
Ushindwe katika jina la Yesu,Na mjue Allah sio Mungu ni jiwe
@golflima5392
3 жыл бұрын
Pastor Ndacha, nakukubali sana
@vincentmokua5927
3 жыл бұрын
Msikize uyu ustadh vizuri sana anavyopinda ulimi......"nasi tumekufanya kuwa ntume" ..... Nasi ni hakina nani
@carolinendasala935
5 жыл бұрын
Wape dose pastor wakilala wasiamke
@carolinendasala935
5 жыл бұрын
Kwa Yesu kuna raha
@alexandermulilison5844
5 жыл бұрын
Leo dasha umepata mteremko Leo....hahaha fanyeni muhadhara na Yusuf
@shadrackoberi8773
5 жыл бұрын
Hamjambo mwalimu Mafundisho yenu yamekuwa ya manufaa kwa wengi Mungu awabariki, Uokofu jambo la busara
@nelimajotham1698
5 жыл бұрын
Kweli sindano uchungu, lakini yaponyesha. Waislamu wakadungwe na wamukubali Yesu kuwa ni Mwana wa Mungu na ni Mkombozi wa ulimwengu. Amen!
@kiragufrankjoram4060
2 жыл бұрын
Ndasha is on fire
@bensonkuria3293
4 жыл бұрын
Kwa yesu si hami
@leonardabrahamh6906
5 жыл бұрын
Waislam ni vipofu.wamerogwa
@kijanahodari2080
5 жыл бұрын
Soma Bibilia utambue Yesu alikuwa muislamu hakuingia kanisani,hakufundisha ibada za misalaba wala hakuabudu sanamu za wazungu walio igiza filamu zake
@ritanget9174
3 жыл бұрын
Yesu ndie mwokozi wa ulimwengu hiyo haipingiki
@charlesmashaur4487
4 жыл бұрын
Huyu jamaa ndacha mmoja wote wanamchangia lakini hawamuwezi
@leadyl5757
2 жыл бұрын
Achen kumkataa yesu
@stephenodhiambo0007
Жыл бұрын
Romans 11:17 And if some of the branches were broken off, and you,being a wild olive tree,were grafted in among them, and with them partake of the root and fatness of the olive tree;
@charlesmakuri792
3 жыл бұрын
Ndacha your a Hilo of Jesus ,naamini wanapata kinnacho staili Ila wanajidai tu kupapambana
@janenjenga5639
5 жыл бұрын
Haina haja kusoma mstari moja tu.kwa Yesu sitoki ng'o. Nikipata andika yesu alioa
@martinmkoba361
5 жыл бұрын
Waislamu ukiwapatia wanatia uruma kweli
@geoffreyjipe3281
5 жыл бұрын
Waislamu hanajipya
@enockkibona7522
2 жыл бұрын
Nimeona walimu wengi ila NDACHA is Best...labda kama umeamua kuwa mgumu tu ndio huwesi kuelewa
@jeanpaulkwizera3216
11 ай бұрын
wapi kwenye Yesu amesema, soma iyo Korohani Yesu kasema mimi Yesu Na sema Ka mihamad we njo utakuja bada
@carolinendasala935
5 жыл бұрын
Aki hii debate inanibamba sana!
@janenjenga5639
5 жыл бұрын
Ndacha kuweni na part 1,2,3.tunabaki kushangaa ujumbe huo mwingine uko wapi
@babieslullabynurserysongs7448
5 жыл бұрын
🤣🤣 hawezi subutu sisi ndio kizazi kipya cha kufunga makanisa al maarufu silimisha huyo.....he can't dare tulimfudisha bibilia
@janenjenga5639
5 жыл бұрын
Nyinyi mkiwa na nani.nakila goti litapigwa na kukiri Yesu ni Bwana
@saitotisapiyo7167
5 жыл бұрын
Jane Njenga nunua DVD.
@jamilaomari2444
5 жыл бұрын
Kijana wetu Ibrahim hapa ametosha pekeyake kudunga Ndacha shindano😂😂😂
@omarmukhutar6847
5 жыл бұрын
@jamila omari # Ibrahim ametosha kwa hoja gani ya msingi?
@jamilaomari2444
5 жыл бұрын
@@omarmukhutar6847 ninyi hamna lolote.mlango wa wislamu ungali wazi.karibu tena.
@omarmukhutar6847
5 жыл бұрын
@@jamilaomari2444 nioneshe mna nn kihoja na kimaandiko sio mdomo
@saadiamaalimhyhg3690
4 жыл бұрын
Yesu Mungu, yesu nabii, yesu sheitani, yesu Amesulubiwa, yesu amesulubiwa, yesu mwana Mungu, yesu amesulubiwa. Wachristo wamechanganyikiwa kabisa.
@samutykuntathebantu8402
3 жыл бұрын
Waislamu wako jehanamu
@monicabh1668
3 жыл бұрын
Hawa waislamu ni kuni za jehanamu
@جانيتكينيا
5 жыл бұрын
Amen
@leadyl5757
2 жыл бұрын
Ndacha nakuombea xana
@saadiamaalimhyhg3690
4 жыл бұрын
Dini ya wakizungu.
@kazirijohn
5 жыл бұрын
muhammad hata saa hii ni Marehemu amsubili Yesu kristo tu aje kumhukumu. Waisilam wote hapo chali.
@enockkibona7522
2 жыл бұрын
Sema kumfyata mtu asiyejua kusoma ni kazi na inahitaji moyo sana,yaani akisomewa asubuhi anawasimulia wengine
@hamastien5439
5 жыл бұрын
Sawa kabisa shekhe muhammad wanasom aya kinyume nyume hao naam kwel haw.hawan la saw wallah yarab tunusur umma wako man tuna
@sebastiansalamba313
10 ай бұрын
Sijutii kuwa mkristo maana jamaa wamefingwa
@yesunialamayakiama.9013
3 жыл бұрын
Quran 52:31 nimeipenda ! 😁
@arikuibrahim6669
5 жыл бұрын
tumegundua ujanja wenu waisilamu...hamjui mohammed ni mfuasi wa kwanza wa YESU KRISTO???
@carolinendasala935
5 жыл бұрын
Abubakri ata ajui anasoma nini sijashika chenye anaubiria watu hahaha
@ramazecha2877
2 жыл бұрын
Mashalah mashekh wetu mungu akupe nguvu
@omarmukhutar6847
5 жыл бұрын
Muhammad hawezi kutegemewa na ulimwengu akiwa alilala na mtoto wa miaka 9, na akaowa bibi wa kijana wake,haiwezekani wala siwezi kumfuata tena.
@hajimousa5832
5 жыл бұрын
Were kijana unaonekana ni mmisheni wala si muislam,kwa kukusaidia ninangekushauri uusome uislam vizuri mpaka uelewe kusha maamuzi ni ya kwako binafsi.dini si ushabiki ila dini ni lman ilioambatana na hoja na dalili.mfano kwanini ninaoa ?kwa sababu dini yangu imeniamrisha jambo hilo tena kwa ushahidi wa maandiko.nakuatakia mazingatio mema
@evalineakuku590
5 жыл бұрын
Hawa ndo wagalatia waliologwa hata wakiambiwa ukweli hawaelewi ukweli ni asieamin yesu na kubatizwa kwa maji mengi hana uzima wa milele
@kenambitho1239
5 жыл бұрын
Wapi Yesu alibatiza watu na maji?
@kijanahodari2080
5 жыл бұрын
Yesu alipokuja Yohana mbatizaji alikuwa gerezani na hawakuonana ibada hiyo ni ya uongo
@paulndegwa9452
5 жыл бұрын
Ndacha 1 man army lol
@hamastien5439
5 жыл бұрын
Wallah cheken kidod san namulie san man huu msiba mkubwa wallah munapotoshwa na hao wachungaj wen hamjui 2
@omarmukhutar6847
5 жыл бұрын
Msiba kabisa kwawaislamu wote coz ata mtume wenu hajui kule anapelekwa,so mnamfuata on ur own risk.
@cynthianawambugha7663
3 жыл бұрын
Kwawaida barua yenye haikuhusu huwezi ielewa 🙄🙄
@leonardabrahamh6906
5 жыл бұрын
Hivi mmepewa nini kufuata kiumbe alie kaburini ya marehem.tena alie rogwa.
@omarmukhutar6847
5 жыл бұрын
Tena alie lala na mtoto wa miaka 9
@kijanahodari2080
5 жыл бұрын
Wayahudi nao wanamfuata Musa aliye kufa Nyinyi nabii aliyetumwa kwenu mufuate ibada za kanisani ni Paulo sio Yesu
@janekwahada580
5 жыл бұрын
Kutoka 35:10-11 Yakobo ndiyo Israel.
@jamilaomari2444
5 жыл бұрын
Vitimbi vya Ndacha😂
@omarmukhutar6847
5 жыл бұрын
Kawaida ya waislamu kusoma mandiko kimskiti yani upside down
@jeanpaulkwizera3216
11 ай бұрын
uyu kijana mwarimu mudogo kabisa haujapata elim lakotosha aelewe Bible
@eliassemanuel4461
4 жыл бұрын
Habalinni wapendwa naomba mnisaidie namba za mwalimu Francis Ndacha.. Namba yangu 0658040054 wasap
@patrickbahatias238
5 жыл бұрын
Yesu ni kwa waisraeli na Muhammad nikwa watu wote ulimwenguni
@janekwahada580
5 жыл бұрын
Tupe andiko MUNGU amesema Muhammad ni mutume ama MUNGU kamuchanguwa Muhammad kuwa mutume. Sikuje semea mimi ni metumwa. Hata mimi niwesa sema nimetumwa si neno mbali NENO KUU NI MUNGU KUSEMA AMA KUCHANGUWA
@chenzhenlee7633
5 жыл бұрын
Kwani wa Islam hamusomi maandiko yote ?nyie hamjui kusoma Biblia
@jamilaomari2444
5 жыл бұрын
Wakristo wanauzuni
@francinensavyimana5601
4 жыл бұрын
Hawana andiko la MUNGU ao yesu la ahadi wako na andiko la popo MUTUME wa bibilia waraka njo unaambiya watu izo bahasha za paulo unafundisha MANENO ya yesu 🤣🤣😂😂🤣🤣😂😂 wazungu wameshawatupa katika miba yesu atawafukuza wamoja mutakua mumeshakufa wangine watakua wangali duniyani watajuwa kweli akikana ucristo sijaaca wakristo hakili hawana
@kijanahodari2080
5 жыл бұрын
Maneno ya Yesu (Amos 50: 6) Watu wangu wamekuwa kondoo walio potea wachungaji wao wamewapoteza Ndacha amekarangwa na mafuta yeke
@thomasibishary7354
4 жыл бұрын
Eti amosi 50:6 labda kwenye Quran lakini kwenye bibilia aipo iyo. Amosi mwisho 9 sasijui iyo 50:6 sijui umetoa wapi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@moshantoj
4 жыл бұрын
Wachungaji wasiojua neno
@janekwahada580
5 жыл бұрын
Mwanzo 35:10. lsraeli ni Yakobo ndiyo inayo semwa kama ni kondoo waliyepotea ni nyumba ya lsemahili. Hamutajuwa Bible kwa sababu mumejazwa making kwa kili zanu ni lazima mutubu ndiyo mujuwe Bible. Bible haisomwi Kama Bible
@monicabh1668
3 жыл бұрын
Bila kuwa na roho mtakatifu hauwezi ielewa bibilia kabisaa ,muache roho ngumu waislamu okokeni msije mkafanywa kuni za jehanamu.
Пікірлер: 110