Mnalipa kodi? Maana sijasikia sehemu yoyote mkisema Silaa ni muongo, basi tu amewavunjia heshima kwa kusema ukweli
@freetv9958
2 жыл бұрын
Bungeni wabunge wawili tu big up Gwaji Boy and Silaa hapa kz tu
@kisengoabdallah1366
2 жыл бұрын
BUNGENI KUNA WABUNGE WAWILI TU
@shadrackdamiani1418
2 жыл бұрын
Nakubali kaka👌💎💪🏿🏹😲 gwajima and slas
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
Hongera sana jery Silaa kwa kuwatetea wananchi wako
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
Mungu amsimamie inshalah
@gracegrace6200
2 жыл бұрын
Aibu kwa hawa mafisi kumushambulia Slaa anayesimama na ukweli huku wakiyumba na uwongo wao usiokuwa na ukweli. Wanasiasa malaya malaya. Leo Bagamoyo ni uwekezaji mbaya, kesho wanabadirika na kuusifu kwa uwongo kuwafanya Watanzania wajinga.
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
@@gracegrace6200 Yaan haya ndo alioyasema Nyerere Malaya malaya aisee Et wabunge wanachangia Jery aongezwe adhabu aliopewa haitoshi yaan kuna watu wapo kutoa utu wao kwa pesa aisee
@gracegrace6200
2 жыл бұрын
Wanasiasa wenye akiri kama Jerry hawatakiwi. Wanatakiwa wajinga wajinga wenye kukubali kila kitu na kupiga makofi. Tutafika tunakoenda kweli. Oh! Kwanini Magufuli na asiwe Ndungai
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
@@gracegrace6200 my acha tu, hudhuni kwakweli 😭
@nuruamry
2 жыл бұрын
Walio sikia Yesu anatembea na mke wake gonga like hapa mana tume danganywa
@uajeupe4299
2 жыл бұрын
😆😆😆😆 imagine eti Yesu alikuwa anatembea na mke wake. Huyu mzee kiazi tu. Nani alimwambia kutembelea maeneo Yesu alipoishi ndo kuwa na utu
@timothmwakakusyu4563
2 жыл бұрын
@@uajeupe4299 yaani mbatata iliyoiva 😬😬😬😬😬
@bahatirobart7380
2 жыл бұрын
@@uajeupe4299 Mungu akiamua kuumbua huumbua haijalishi wewe ni nani ktk Dunia hii katolewa ufaham kidogo kasema yesu alitembea na mke wake
@danielmllay8332
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@danielmllay8332
3 ай бұрын
Make wa Yesu anaitwa nani Jamani 🤔
@gracegrace6200
2 жыл бұрын
Huyu speaker ana roho mbaya sana.
@kichenjekichenje2072
2 жыл бұрын
Cku zke zinahesabika huyo,acha tu ajifanye pilato.
@adamfundikira1620
2 жыл бұрын
@@kichenjekichenje2072 tukutane 2025
@kichenjekichenje2072
2 жыл бұрын
@@adamfundikira1620 Nikweli ndugu.
@adamfundikira1620
2 жыл бұрын
@@kichenjekichenje2072 niliipenda Sana ccm lakini tangu kifo cha magufuli nimetokea kuichukia ccm sana Yale Mambo tuliyoyasahau kwa miaka 5 yamerudi kwa kasi ya 5G
@kichenjekichenje2072
2 жыл бұрын
@@adamfundikira1620 sio ww tu,ni wengi tuliipenda.Ila kwa haya mambo yanayoendelea baada ya kifo cha mpendwa wetu Magufuli,hakuna tena 7bu ya kuwa CCM.Tuchukueni hatua stahiki kwa hawa viongoz uchwara.
@basilisamsaka8469
2 жыл бұрын
Usitolee Nchi zingine kwa sabb Nchi zindine wanalipa Kodi,elezeni wananchi mnalipa Kodi? Msiwaonee waliosema ukweli na ulikuwa ni Siri zenu,tuambieni ukweli.
@petrojohn8250
2 жыл бұрын
Nchi hii imejaa usaliti,RIP Magufuli
@cmsa1r
2 ай бұрын
Ndungai is out Jerry is shinning. Praise be to Jesus
@susankilimtali5025
2 жыл бұрын
Kama wewe ni mzee wa kanisa soma vizuri biblia ishu sio kuwa maarufu kwenye dini ishu ni utu
@jamesmasome359
2 жыл бұрын
Mzee wakanisa asiyejuwa maandiko 🤭🤭🤭
@messiahsilozi1890
2 жыл бұрын
Bunge letu bwanaaaaa
@gracegrace6200
2 жыл бұрын
Huyu hana dini. Dini ni tumbo lake. Anajifanya kaenda Jerusalem, kwani kwenda herusakemu ndiyo unakuwa mukiriso safi? Atuondolee upuuzi wake. Tanzania sio mali ya baba yake
@modestapeter2997
2 жыл бұрын
Yes! Ishu ni utu
@myfetty1960
2 жыл бұрын
@@gracegrace6200 umeona sijui wanajikuta wakinanani kwenye vyeo vyao awajawai fikili dunia mapito cheo chake mwisho duniani tu kwamungu atakijutia icho cheo mana akuwatendea aki binadam wezie kwakujivunia cheo chake
@teddytedy248
2 жыл бұрын
Kama kuna kitu Mungu anakichukia ni majivuno,hakuna chenye mwanzo kikakosa mwisho,
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Kwani uongo hamlipi kodi, kmb inauma eeeeh 🤣🤣🤣🤣
@benedictoryona9186
2 жыл бұрын
Aaaaaaaaah aaaaaah eti yesu katembeaa na mkewakeee,yesu akurehemu
@rhodawilly5083
2 жыл бұрын
Kumbe na ww umesikia Yesu kuwa na mke. Huyu jamaa kapagawa na ukweli aliosema Silaa
@kiuremvungi1123
2 жыл бұрын
Sijaelewa kama Yesu alikuwa na mke, naomba mnieleweshe....
@kiuremvungi1123
2 жыл бұрын
Huyu mheshimiwa spika, tunaomba atuweke wazi kama kweli Yesu alikuwa ameoa kwa maana hili sio jambo la Kibunge.
@thadeipeter2592
2 жыл бұрын
Uyu Mzee anadata walahi !
@rhodawilly5083
2 жыл бұрын
Dakika ya 6:18 kwenye maongezi ya Mh. Spika sijamuelewa kabisa ama ni masikio yangu yanashida maana nimesikia kama Yesu alipotembelea na mke wake. Au nimesikia vibaya Jamani?
@sayunimtey4916
2 жыл бұрын
Nafikiri ameteleza alitaka kumaanisha Yusufu na mke wake
@travismichael5190
2 жыл бұрын
🙆🙆🙆kwel kasema 🤣🤣🤣
@lawrencealoyce7280
2 жыл бұрын
labda waangrikana wana yesu wao alieoa 😂😂
@mwauratesha3758
2 жыл бұрын
Haelewi
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
Basi mie tena niliamini kuwa yesu na mkewe 😆😆😆
@omaryjuma8002
2 жыл бұрын
Wabunge vilaza tu nyie endeleeni kutetea ugali amtaki watu waseme ukweri
@kwilasacharles1747
2 жыл бұрын
Mzee wa kanisa alituficha kumbe Yesu alioa ni yupi muongo kati ya Askofu na mzee wa kanisa😂😂😂
@laurentraphael5470
2 жыл бұрын
Mzee wa kanisa kilaza Sana.
@emarrgeorge8536
2 жыл бұрын
Inauma so Kidogo,, Sipat Kapicha Hii chanjo ingekua Lazima..Sie wengine si tungeenda Ishi Porini Jmn,, Coz Ukisema Uhamie Kenya Ama Wapi, ndo kwanza Unaanzanayo Mpakani...Daah!!! Nashusha Pumzi Yenye heruf 6 (R.I.P JPM)
@piusraymond6177
2 жыл бұрын
Kweli spka hatuna
@deniszimbihile2505
2 жыл бұрын
Akuna kitu apa R.I.P magu
@sidodeni3468
2 жыл бұрын
Silaha amewavunjia heshima kwa kusema ukweli jamani daaah
@martinegeorge4696
2 жыл бұрын
Waonyeshe salay slip zabunge lakini mbona wao hawajapewa waongee Kama wabunge wengine duu
@myfetty1960
2 жыл бұрын
Yesu yupi uyo alietembea namkee wake ww baba
@ZINDUKAMUISILAMU30
2 жыл бұрын
Yesu kaowa
@mamawadudu48
2 жыл бұрын
Mungu aturehemu sana. Hujui kuwa Dini na Mungu ni vitu viwili tofauti? Unaweza ukawa muumini mzuri wa dini yako lakin ukawai humjui Mungu. Mungu ni mtakatifu hapendi dhambi.
@donjb3178
2 жыл бұрын
Umeongea point kubwa sana
@susankilimtali5025
2 жыл бұрын
Siku zaja mnafanya yasiyofaa Marehemu mlimuunga mkono kwa yale aliyokataza kufanyika tanzania leo mnajifanya manunda Mungu awarehemu pia spika kumbukeni wanaoumia sio nyie mnaolipwa mishara kuna watu wanalipwa viposho na hata havitoshi kukidhi mahitaji yao ila haohao wanaumizwa nchi haijengwi kwa siku moja mnafosi watu kufanyiwa yasiyofaa
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
Hakimu Wa haki yupo naye ni mungu pekee kumbuka kwa mungu hakuna rushwa, rushwa ipo duniani na uwonevu upo duniani ila akhera hakuna HAYA so tumuwachie mungu atatenda inshalah
@gracegrace6200
2 жыл бұрын
Hawa ni wasaliti wakubwa. Wamelifanya bunge kama mali yao binafsi. Kwa mala ya kwanza Watanzania wote tuombe mabadiliko ya katiba ili watu binafsi waweze kupigania ubunge bila chama tuwaindowe hawa nyang’a wanaowatia watu kichefu chefu.
@kenedikuyava6262
2 жыл бұрын
Mhh ila sikuzote ukwer hupingwa Ila gwajima na jelly msinyamaze kusem ukwer niher wanadamu wakushushe cheo ila uheshimike mbinguni
@shabanimsonga6339
2 жыл бұрын
RIP HAMZA
@hawamabira1499
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@aminatanzanya7475
2 жыл бұрын
😄😄😄
@whatisthetruth.8793
2 жыл бұрын
Huna mpya Ndugai , mnaendesha nchi kiimla , bila kuwepo uwazi na democracy ya kweli. Mnaendesha nchi kishenzi sana
@muddysasma3037
2 жыл бұрын
Mimi naona kama watu hawajielewi alipokuwepo magufuli nyote mlikuwa pamoja na magufuli na mkawa mnachekeleA na kumuona ni mjeda haswa ameondoka leo wengi mumemgeuka mpk mnawasulubu akina gwajima.God forbid awasamehe wote wasiojielewa
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
Na wameyumba ila wanaojiona wako sawa,, asaivi hakuna hata hoja za mana bungeni wa naongea pumba tu,, hoja zisizo za msingi kwasasa ndio ziko bungeni loh hatari, na hizo chanjo Sasa Ukichanganya usaliti na chanjo wewe hapo sijui unaitwa mkorogo wakina gani sjui
@194summer
2 жыл бұрын
Yesu hakua na mke umekosea omba radhi mh spika
@teddytedy248
2 жыл бұрын
Mungu atusaidie,maana dunia hii,tunajifanya tunamjua ila hatumjui kabisaa,Maisha yetu ni mafupi sana
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
Nashangaa wale wanaokufa ndio wema wale kama wakina nungai ambao ndio kama Hawana faida ndio wa nabaki loh nisamehe mungu wangu
@EMMANUELCHINE
2 жыл бұрын
Mungu atusaidie...
@dianafredrick2092
2 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu spk wetu was bunge wasikupe presha bure
@abelabuza3863
2 жыл бұрын
Uongozi ni suala pana jamani hasa inapokuwa siasa...hatuwezi jua mkweli ni yupi..mungu atusaidie sana
@mligoreginah6210
2 жыл бұрын
Spika achauongo Yesu hakuoa utatuonesha mkewake. Kweli nawe shetani tuu.
@ramseyhusseinkhamis8258
2 жыл бұрын
Hajui kitu huyu
@enockwear7820
2 жыл бұрын
Wazifa wake ni kubwa sana yl ni manpower gwaji oyeeee
@antonymasamaki8659
2 жыл бұрын
Mmh unaliaibisha Kanisa Yesu hakuwahi kuwa na mke unafiki unakutafuna Spika!!
@kamilusmgaya4806
2 жыл бұрын
Huyu speaker amejariwa kichwa tu lakini hakina kitu
@gustavompemba1781
2 жыл бұрын
Asilimia kubwa ya wabunge Awamu hii wanafiki
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
Sana
@credo7837
2 жыл бұрын
Ayo wamekuw waongo sana mbn sijaona hiyo clip anatolew njee
@simonnick1242
2 жыл бұрын
Heshima bila kula zetu mnategemea kupata kwanye familia zenu na kama zinawatosha mbona mnagombea ubunge? Wengine nyumba nzima mama, baba , mtoto kweli hiyo mlisoma peke yenu
@muddysasma3037
2 жыл бұрын
Msimuongeze mama kwenye mambo hayo wakati bado hajaaambiwa wala hajalazimisha mtu kuchanja
Nini maana ya heshima? Na unapovunjiwa heshima ni lazima ujitetee,,Yesu alitemewa mate na kudhalilishwa na alinyamaza kimya,nawatakia heshima njema wote wenye kustahili heshima!
@yunusujjuuko6799
2 жыл бұрын
Tangu niwepo hapa duniani cjawai kuona spika mnafika kama ndugai lkn Mungu yupo ipo cku yake
@mtoto_wa_Mfalme12
2 жыл бұрын
It's just the matter of time
@dshadow174
2 жыл бұрын
Sisi chanjo atuitaki jamani kwani shida ipo wapi hatutakiiiiiiiiiiii
@leahmagaiwa9099
2 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Kwaiyo heshima yenu ni kutokulipa kodi na hamtaki watu waseme kweli! JERRY HOYEEEEEEE!
@BIGBOSS-hl3bu
Ай бұрын
SLAA YUPO JUU HADI SASA NI MKWELI
@gmdecoration6044
2 жыл бұрын
God bless lema alisema watakosa wakuwakosoa watageukiana wenyewe Sasa yamekuwa mpaka mkewa YESU sijui imetoka wapi unawataja watu tunao waeshimu wakina mwakasege kwamambo yahovyo tozo nikubwa kweli
@samwelseverine7838
2 жыл бұрын
Mhe, Jerry na ask gwajima watanzania tupo nyuma yenu
@emmanueljackob4414
2 жыл бұрын
Hapo kuna sehemu sijaelewa...... Yesu na mke wake mhmhmhmh
@kamaratungaraza779
2 жыл бұрын
Namkumbuka lema aliwai kusema kuwa ipo siku mtagombana wenyewe na leo yameanza kutimia
@moriscollins4494
2 жыл бұрын
Yesu na mke wake mweeee
@modycadabra8721
2 жыл бұрын
Celew 2025 nipige kura chama gn Mana nikiwaangalia Chadema nawaona wote walewale tuu yan nmevurugwa chama nilikuwa nakipenda hiki lakin mijitu yaliopo sasa hata hayaeleweki kabisa bigup on you mbunge mchungaji na bro Jerry slaa
@shabanadam9150
2 жыл бұрын
Safi sana mh spika
@josephkiwale3495
2 жыл бұрын
Hii nchi kweli niyawadanganyika
@mishecklukali2104
2 жыл бұрын
Wewe sipika acha kupotosha umaa yesu alitembea na mke wake wapi na wapi yesu hakuoa wewe umesoma bibilia gani
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
Lakni mumkumbuke Dunia hi,, wako wapi wenzenu ambao walikuwa hapo hapo Leo hi wako wapi,, chukueni hatuwa kabla adhabu haijafika
@saulonmathias66
2 жыл бұрын
Majitu ya vichwa vikubwa ni shida 2 madaraka ya kuazima ukajiona mungu mwisho wake aibu
We we we, utaeleza vzr Yesu alitembea na mke wapi? Alafu unajifanya eti dini unazijua.
@onemicmedia5153
2 жыл бұрын
Jamani jamani Ndugai Yesu alitembea na Mke wake....
@muhumbilaelly7219
2 жыл бұрын
Yani ckutegemea maneno ya kutoka kwa spika kusema yesu katembea na wake zake daa
@elinajacksonharusha7155
2 жыл бұрын
Jamani kutembea sehemu tofauti tofauti siyo kionesho kuwa wewe ni mwokovu. Wokovu ni kuacha uovu, acheni kumtukana Mungu wetu aliye hai, nyie endeleeni na vimbwanga vyenu tu ila jueni baada ya kifo ipo hukumu. Mungu naomba isaidie Tanzania.
@anordkingstar5793
2 жыл бұрын
Nyie waoneeni tu,,, ukwel siku zote haujifich,,, yani kusema ukwel leo mmemuona adui,,, jaman kwel Tz
@raphaelntabago3149
2 жыл бұрын
Nina uchungu mkunbwa na chama changu CCM 2025 EEE MUNGU ibaliki TZ
@gracegrace6200
2 жыл бұрын
Hauko peke yako. CCM kilikuwa chama cha matumaini baada ya Hayati Magufuli kukisafisha na watu kukipenda. Sasa wanarudi kule kule kwenye siasa za ubinafsi kama Tanzania ni mali yao. WATASHINDWA. TANZANIA NI YA WATANZANIA WOTE.
@KiongoziMwandamizi
3 ай бұрын
Kumbe Yesu alikua na mke hafu mpo kimya tu😂😂😂
@merrybernad8707
2 жыл бұрын
Mungu we ndounaejua stend na mwisho ya haya pigana mwenyewe Baba
@oseajames270
2 жыл бұрын
🙌
@shaibuhaytham709
2 жыл бұрын
Kumbe yesu alifunga ndoa?hapa hakuna mzee wa kanisa 😂😂😂😂
@mtesigwalulale5867
2 жыл бұрын
Crazness
@rashidihassan8180
2 жыл бұрын
Wakwepaji kod wakubwa wameumbuliwa pov linawatoka hahahaaa
@margarethsolomon9823
2 жыл бұрын
HAYA 🤗 LEO HALI IKOJE¡!! UMEPIGWA na KUSAGWASAGWA na JITU LA MBINGUNI. 🤔
@annamwangaza605
2 жыл бұрын
Au sijasikia vzr Yesu anamkee?
@esauenock2642
2 жыл бұрын
Tunaumizwa mioyo sana mungu. Ivi yesu alitembea namke wake wap??
@RBEhop
2 жыл бұрын
Duuuhhh hapa maswali ambayo jibu inajulikana umekula Ndio unanjaa Ndio sasa Ndio maana yake nini
@hatari9591
2 жыл бұрын
Yesu alitembea na mke wake? Wewe mwongo.
@jeremiahpaul9345
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@sannycpaul9423
2 жыл бұрын
yesu alioa!!!!ebooooo😁😁😁😁😁
@frankmbona5661
2 жыл бұрын
Yesu hakuoa wew Acha kabsaa bwana
@aronmtui597
2 жыл бұрын
Yangu macho
@gidiusthomas6239
2 жыл бұрын
Mbunge zungu kusema wananchi wakatwe tozo kwenye simu si kosa kosa ni jery kusema wabunge wakatwe kodi mungu tulinde
@RD-ml7pi
2 жыл бұрын
Kama ukwel asiseme???
@sudymgeni701
2 жыл бұрын
Mnawaonea wananchi bule.
@deboraezekiel784
2 жыл бұрын
Huyu spika kweli ni dungai anadunga tu ovyo ovyo
@user-zd5pc5nc9c
3 ай бұрын
Leo uko wapi na slaa yuko wapi.
@moriscollins4494
2 жыл бұрын
Kuna matatizo mengi sana ya kujadili kuhusu maisha ya watanzania ila bunge mnalifanya kama la watu wawili
@chekatucomed9141
2 жыл бұрын
Hamlipi kodi wabunge silaa kweli kabisa mwamba sema kabisa
@jimolaruben4860
2 жыл бұрын
Ndugai mungu anawaona nyie haya
@sudymgeni701
2 жыл бұрын
Je? Mnalipa kweli? Tuaminisheni tujue.
@timothmwakakusyu4563
2 жыл бұрын
Hivi Yesu alikuwa na demu, na wakakosa gheto? 🙌🙌🙌🙌 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Ndugai roho mbaya mjinga kabisa wewe mungu atakupa azabu
@godfreydaniel6818
2 жыл бұрын
Kwa unafiki nimewakubali mungu awasaidie sana
@afmabeat9567
2 жыл бұрын
Yesu alikwenda na mke wake wapi!!?
@zena_glamshow9808
2 жыл бұрын
Maskini watanzania waanza kugeukana😂😂😂
@officialsayvent648
2 жыл бұрын
Kumbe inawakela vijana typo tutashindana bado 2po na jerry pamoja na gwajima boy msema ukweli ni mpenzi wa mungu namkmbka jpm
@omaryyusuf9405
2 жыл бұрын
Enzi za jpm mulitiwaa gundi midomo sasa imeeachwaa wazii munapayukaa tuuu asante muhemiwa spikaa watanyookaa kwa mihemuu walioyonayo asante mheshiniwa rais kwa kutekele majukuyakoo
@bestscene5730
2 жыл бұрын
@@omaryyusuf9405 na mbowe 😂😂 vp rais yuko wapi kutetea haki? Acha UDINI
@frankfrank2600
2 жыл бұрын
Sisi watanzania sijui tunashda gan
@filexgallas3562
2 жыл бұрын
ila kikweli uyu ndugai tumemchoka ila ilikuwa kosa letu kuamini nakujaza ccm bungeni
@luzigakapande6921
2 жыл бұрын
Tunawasubili 2025 sijuwi mtasemaje labda CCm mtapata viti 100
@deboraadolfu4011
2 жыл бұрын
Hizi mamlaka mtaenda kujibu kwa Mungu hamtaki kuambiwa ukweli nyie nani bwana lipeni kodi ya kaisari mpeni kaisari acheni wizi lipeni kodi mtalaaniwa na Mungu na ww ndugai Mungu anakuona utaazibiwa hapa hapa duniani
Пікірлер: 502