Baba mm nakupenda sana mafundisho yako yanarejesha amani moyon mwangu
@annachachage4931
4 ай бұрын
Ashukuriwe MUNGU aliewalinda mkarejea nyumbani salama,na zibarikiwe familia zenu na watoto kwa uvumilivu wanawakosa muda mrefu,yote kwa yote tutaendelea kuwaombea, YESU KRISTO awatunze,mimi nabarikiwa na huduma yako,pia najiskia fahari kua mwanafunzi wako,
@AzAz-sy6zp
4 ай бұрын
Amen ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho Asante sana
@zawadimwangupili4518
4 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji unanena kweli
@kanyaombewekab2738
4 ай бұрын
Amen amen mtumishi.
@ShabaniGuillain
4 ай бұрын
Bwana akubariki sana
@fenellalilian4590
4 ай бұрын
Amen baba nashukuru nimebarikiwa
@zipporahmibei9007
4 ай бұрын
Amen Amen glory be to Jesus an thanks for the word of God be blessed
Пікірлер: 12