Thank you so much to show me how to make it God bless you because you help me to no how to make chicken famu 👍
@johnsenerwa7293
5 жыл бұрын
Asante sana Ndugu kwa kazi nzuri, natamani nikutembelee hivi karibuni kwa majaliwa yake Mungu.
@iddysaidy2506
5 жыл бұрын
asante somo nzuri
@koffipaul7265
Жыл бұрын
Greetings Sir! Thanks a lot d'or this demo, particularly the transformations of the kerosene lamp! I really appreciate even if I do not understand the language! Thanks!!!
@judithiwakaroyo8694
5 жыл бұрын
Asante Sana Kwa somo zuri
@nshomajuke2553
4 жыл бұрын
Safi sana, hongera kwa ubunifu
@rebeccampeta6650
5 жыл бұрын
elimu nzuri sana
@user-ty5mt2vt5w
6 ай бұрын
Ubarikiwe na mashine bej gani
@asheryissa6100
5 жыл бұрын
Ma.shaa Allah
@dominickmartine9249
5 жыл бұрын
Asante kwa somo mashine ni bei gani nipo karagwe kagera
@Drawing_Pictures_with_me
5 жыл бұрын
Anaeleza vizuri sana
@oneworldonesun9146
Жыл бұрын
Nashukuru sana
@Dprophil
3 жыл бұрын
asante sana
@sadasada1291
4 жыл бұрын
Asante san kaka yang
@ashrazzubery1589
2 жыл бұрын
Sh ngap unauza
@user-xb3cg8cq1q
4 жыл бұрын
🍎🏘🍓 зор жаксы
@BofuMlanzi
Ай бұрын
Wewe ni miongoni mwa walimu bora kabisa mfano wa kuigwa.
@kajomalee1459
5 жыл бұрын
saluti Baba nimejifunza vingi
@desiregakufi1220
2 жыл бұрын
j'aime
@erickjonas877
3 жыл бұрын
Asante
@eriagabriel7283
3 жыл бұрын
Nashukuru mafunzo yako sana
@erickjonas877
3 жыл бұрын
Naomba Naomba zako nije unifundishe boss
@desiregakufi1220
2 жыл бұрын
asante
@abrahamsingano5372
4 жыл бұрын
Inauzwa shs ngapi
@aymandjibreel8278
5 жыл бұрын
Elimu nzuri sana ila video za jinsi ya kutengeneza hiyo mashine sijazipata zote
@brightonshakila6406
5 жыл бұрын
Watanzania tupambane namna hii ...big up
@josephnjellah280
4 жыл бұрын
Harufu ya mafuta ya taa haiathiri mayai.
@romeocasoy4861
4 жыл бұрын
We need english explanation for the benefit of people
@bahatikimanywa5939
3 жыл бұрын
Mwanzo ni somo la Mashine, mwisho somo la chemri😂😂😂😂😂😂😂 which = 0
@fettyrajabu8878
5 жыл бұрын
kaka hongera sana kwa ubunifu uliotukuka. Watanzania tunaweza.
@nzabamwitafrancois1839
5 жыл бұрын
Nashukurusanaunaweza sana nawombanamba yakoya wstp
Nashukuru sana kaka kwa ujuzi wako ulo nao.Mimi Niko Dodoma nahitaji hiyo mashine je nitapataje na ni shilingi ngapi?
@yunusmatakara6639
4 жыл бұрын
Hujatufunza kutengeneza machine umetufunza kutengeneza cemli nahilo hali kuwa somo letu
@muhammedwakif6216
5 жыл бұрын
Weewe kiboko
@gwakisaezekiel2576
5 жыл бұрын
upo wapi mie naitaka iyo
@videombalimbali1681
5 жыл бұрын
kamauna jibu mashine bei gn
@lembrispetro1743
5 жыл бұрын
Ndugu zangu tapambaneni
@kuluthummmetisha4630
5 жыл бұрын
Nimefaidika sana na vitotoleshi hivi kwani ninavyo namshukuru mungu hata vifaranga vyake hukua haraka
@aminaramadhani9388
5 жыл бұрын
Umeinunua kwake sh ngap
@mariammulavyo216
4 жыл бұрын
Namba haipatikani mbona
@rosekishengere7258
3 жыл бұрын
Je kama nina mashine yangu moto hausambai kote waweza kunisaidia kutengeneza.
@oneworldonesun9146
Жыл бұрын
2022 October nimepata somo
@maximiliannorberth471
5 жыл бұрын
part 4 naomba utume ili tuone namna ya kutengeneza
@alexsangandele8934
3 жыл бұрын
Nahitaji taa ya chemri ndogo, je nitapata?.
@jacklinewesonga7267
2 жыл бұрын
Vifaraga vikiwa ndani ya mashini viweza kupumuwa ama haviwezi
@hassanulimbo5139
4 жыл бұрын
Nambazake ameweka hapo anae Itaji zaid amchek inbox
@johnjm3858
5 жыл бұрын
Mashine bei gani???
@veronicakashumba5116
4 жыл бұрын
Mna
@jacklinewesonga7267
2 жыл бұрын
Joto Lina fa liwe kiwango ganani
@zakariamofati7572
5 жыл бұрын
Mwenye swali lolote anaweza kunipigia kwenye namba hizo zinazo onekana hapo mbele.
@maximiliannorberth471
5 жыл бұрын
malizia namna ya kuunganisha hivyo vifaa ili kupata mashine kamili,,
@MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.
5 жыл бұрын
Nakushukur Sana Ndugu Nakufuatilia Kutoka Saudia Ila Naomba Kuuliza Utakua Nayo Mashne Yenye Kutumia Umeme Na Solar Mafuta Pamoja Na Ges Na Iwe Na Uwezo Wa Kubeba Mayai Elfu Kwenda Juu kama Ipo Bei Yake Inakuaje???
@ezrayusuph9413
5 жыл бұрын
Kazi nzuri sana. Nimekubali ubunifuwako uko juu sana kaka. Ongeza juhudi utatukomboa vijana.
@fidesmamuya3502
5 жыл бұрын
safi sana kaka mungu akubarik sana
@mwanamkasisuleimaniikosawa9582
4 жыл бұрын
Ningependa kuanzisha ufugaji wa kuku
@veronicalema5280
3 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu nzuri, Nawezaje kupata mafunzo zaidi jinsi ya kutengeneza Kitotolesheo hicho cha mafuta ya taa?
@veronicalema5280
3 жыл бұрын
Nimefurahi sana , kwani umejibu kwa sehemu swali langu La utotoleshaji kwa kutumia vifaa rahisi vinavyoweza kupatikana ktk mazingira yetu Mungu akubariki
@elishakiprotich4979
4 жыл бұрын
sijakupata kwa whatsapp
@aminaramadhani9388
5 жыл бұрын
Mbona mim nilinunua kwako machine hiyo ila haifanyi kaz vizur??????
@hassanmagere8368
5 жыл бұрын
Hongera kwa ubunifu wewe uko wapi? ili nipate namna ya kusafirisha mimi nimteja
@sebastiankaaya4083
5 жыл бұрын
arusha unapatikana wp
@josephndibusa4134
4 жыл бұрын
Unaongea saaaaaaana
@zatwaacademy8860
5 жыл бұрын
mashine hiyo ni bei gani?
@romeocasoy4861
4 жыл бұрын
You’re talking wint nonsense brother
@albertchuma4313
4 жыл бұрын
@@romeocasoy4861 what nonsense are you referring?
@minamax6843
5 жыл бұрын
Nahitaji unapatikana wapi
@didas-arrogantchristian2593
3 жыл бұрын
Nawasalim baba naomba kujiunga nanyi tafadhali from DRC kalemie namba whatsapp +243815155652
@videombalimbali1681
5 жыл бұрын
kaka ivi ukiulinzwa unajibu au
@muhammedwakif6216
5 жыл бұрын
Hajibu wala hasomi
@videombalimbali1681
5 жыл бұрын
Anadharau
@aminaramadhani9388
5 жыл бұрын
At a kuwa si mkweli
@dothomwandaliw4057
3 жыл бұрын
Hapa ni kwenda kununua tuu km hapatikani au hujibu bas twendeni sidoo tukanunue natumaini kila mkoa ipo dar ipo barabara ya kwenda airport
@pedroestrada5690
Жыл бұрын
andaa bañarte no teemtiemdo nada
@maheshkhuman2880
4 жыл бұрын
If u don’t want to share the design don’t upload such videos
Пікірлер: 82