Mungu amesikia maombi yetu kwa ajili ya taifa letu….siku zote namuomba Mungu atupe viongozi wenye maadili ya ki Mungu. Naamini hata majimbo mengine ya tafuatisha..USHOGA ULAANIWE MILELE YOTE. Amina.
@Brunotarimo10
3 ай бұрын
Big up jamii inafaa kujifunza Amri Kumi za mungu
@kilimanjarotv255
3 ай бұрын
mungu awabariki kwa kweli tz nao waige maana ni jambo la muhimu sana
@Kaambale-ve5el
3 ай бұрын
Wasije wakageuza maneno, yalioandikwa tangu enzi za musa
@benjo_brighter
3 ай бұрын
Ni sahihi kabisa ✔️ Watu wamejisahau kabisa.
@davidwalalason7630
3 ай бұрын
I seriously support on that
@thelonewolf4429
3 ай бұрын
AMEN
@princegerard4704
3 ай бұрын
To Gob be the glory 🙏🙏 Sabato Ni siku takatifu sana japo duniani wanapambana sana kuipinga na kuiua lakini ukweli utasimama daima
@alphamenson3784
3 ай бұрын
Kila siku ni siku takatifu mbele za Mungu.
@mustafamsati9599
3 ай бұрын
Waliopewa sabato ni wale waliokutoka utumwani misri na ulishafutwa je andikogani kwenye biblia limeitaja sanato kua ni jumamos?
@mustafamsati9599
3 ай бұрын
Sabato ya sasa ilianshwa USA na akina mack Mira je yesu aliwahi fika huko akafundisha ? Someni vitabu nduguzangu
@adronicokalumna
3 ай бұрын
Ameeeeeeee kubwaa nani kma mungu bwana😊
@FranckDaniel-cc5rg
3 ай бұрын
Mh hawa jamaa ni wajanja sana izo amri sijui kama ni zenyewe na inawezekana wana mpango mbadala wa kumkaribisha mpinga kristo,hao wanaolazimisha watu ushoga leo hii et wamebadilika kirahisi,yangu macho na masikio
@emmanuelmmbaga5209
3 ай бұрын
Amina leo mmeleta habari nzuri sana kuliko siku zote. ❤️❤️🙏🙏🙏💯
@IshipalemyPasko
3 ай бұрын
Hakuna kitu wanafiki tu hao. Ushoga ndio wanautetea kwa nguvu zote kwao
@trophywilson7211
3 ай бұрын
si majimbo yote
@saidiomar6642
3 ай бұрын
Wanahisi ushoga hautosambaa
@emmadora7848
3 ай бұрын
Huko kwenu umeshasambaa mpaka kinyaa ,ni wehu kuwashutumu wengine Ili haki katika jamii yako tatizo kimekithiri haswa
@mustafamsati9599
3 ай бұрын
Ushoga wataupinga? Uzinzi wanauhalalisha huko kanisani watu wanaingia na wachumbazao je wamewaoa? Mimi siwaelewagi wakrist et amri 10 za mungu wakati wana miungu 3
@MasterOil-qm6vw
3 ай бұрын
Mashoga na wasagaji watapinga hilo kwa nguvu zote
@lizaeli6732
3 ай бұрын
Shida hakuna kazi next year ningehamia huko kabisa
@FahadAbubakari
3 ай бұрын
Kazi zipo wewe tu , kikubwa angalia hela sio kazi
@alzawahirabdallah2299
3 ай бұрын
Watakata kwa sababu wengine wana mungu mmoja wengine wana utatu
@mtzhalisi2232
3 ай бұрын
Mbona wanajitekenya??? Amri kumi za mungu vs kusupport mapenzi ya jinsia moja
@princegerard4704
3 ай бұрын
TZ Hakuna mashoga kwani?? Haimaanishi penye wabaya hakuna wema na wamcha Mungu, kumbuka hata ngoma kali za Gospel na zenye kumtukuza Mungu kwa usahihi ni za hao hao wazungu 😂
@mtzhalisi2232
3 ай бұрын
@@princegerard4704 nlichokuwa na maanisha marekani ni nchi ambayo inasupport kwa nguvu kubwa mapenzi ya jinsia moja... Na mpaka kutoa misaada kwa nchi zinazo support hizo kitu.. Sasa ndugu hapo uoni ni kuleta utani na mwenyezi mungu?? May be amri kumi nyingine ndio wanazomaanisha
@davidwalalason7630
3 ай бұрын
Not everyone in state support it bro some leaders are against it
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
Ww akili yako inawaza ujinga muda wote.Sio kila penye ushoga hakuna watakatifu na wanaomcha Mungu kwa dhati.Tena nikwambie,Marekani ni nchi yenye maadili sana na ina watu wanaomcha Mungu kweli kweli.
Пікірлер: 38