Asante Sana nimebarikiwa je unavitabu vya mafunzo iliniweze kununua nakujifunza zaidi
@officiallugano8991
11 ай бұрын
Nimekuelewa sana kiongozi
@jbclassic538
3 жыл бұрын
Pamoja sana kaka Somo Zuri sanaaa By Mwl Kimaro... S/M Itongowa
@tilaboymatata3411
Жыл бұрын
Hongera sana kaka
@RithaTlatla-bt7pk
Жыл бұрын
Kaka Soma nzuri Sana naomba namba yakutengeneza unga wa mtoto kuanzia miezi 6
@kharidmushangan3320
2 жыл бұрын
Nimekuelew mnoo barikiw sanaaa duuh
@joycejumanne8209
2 жыл бұрын
Naomba kujua namna ya kuandaa unga lishe kwa kutumia mchanganyiko wa mahindi, uele, soya na ufuta
@ceciliaezuperance6018
2 жыл бұрын
Habari, ukitaka kutumia ufuta badala ya karanga, ni asilimia ngapi ya ufuta utatumia, ukitaka kutumia mbegu za maboga?
@marypartson8409
4 ай бұрын
halafu kuna mjinga mmoja alisema somo la hesabu halina umuhimu 😂
@VailethPeter-fb9kt
9 ай бұрын
Asantee
@ibrahimtsuma9178
Жыл бұрын
Jamani naomba mnisaidie... hii nafaka ya ulezi ni ipi?
@lilianshayo9848
8 ай бұрын
Ninahìtaji kutengeneza unga wa lishe kwa mtoto mwenye miaka 2.na miakà 5.
@estherlameck6491
Жыл бұрын
Heloo naomba contact nahitaji somo private asante
@allyraymond175
2 жыл бұрын
Yaani mfano mahindi mtama ulezi karanga soya na mhogo
@lilianshayo9848
8 ай бұрын
Ila hawatumii soya lishe
@renathakayson5102
3 жыл бұрын
Je naweza kuchanganya vitu vyote kwa pamoja?
@kadeshatv5196
3 жыл бұрын
Unachanganya! We zingatia vipimo! Ila kwa lishe ya mtoto kama unataka uweke karanga nakushauri unga wa karanga andaa pekeyake, na uchanganye unapopika tu!
@ginajohn1515
Жыл бұрын
Formula namba ngapi au lishe namba ngapi ndo nzuri kwa biashara
@lucysanka2570
2 жыл бұрын
Naweza weka nini unga Wa lishe usiharibike haraka
@bituloboniface4479
2 жыл бұрын
Hivi lishe za faa kwa mtoto wa umri gan?
@kadeshatv5196
2 жыл бұрын
Ndugu! Mtoto akifikisha miezi sita anatakiwa kupata chakula cha ziada! Huku akiendelea kunyonya hadi miaka miwili. Lishe ni aina ya chakula ambacho kimebeba virutubishi muhimu katika mwili. Hivyo ni muhimu kwa lika zote. Sema uandaaji tunatumia formula kulingana na umri na afya ya mtu
@shufaamushil8886
2 жыл бұрын
Asante. Inafaa kwa mtoto pia?
@kadeshatv5196
2 жыл бұрын
Yes
@elmaezrapeter4635
2 жыл бұрын
Habari yako Je soya sio nzur kwa mtoto wa kiume???? Naomba unisaidie apa
@yustacostantine6709
2 жыл бұрын
Ngano ni nzuri sana
@rebecadavid9194
3 жыл бұрын
Mahindi ni yale meupe au ya njano?
@kadeshatv5196
3 жыл бұрын
Ya njano ni mazuri zaidi, ila ukikosa hata meupe yanafaa tu
@endeshyamat6773
Жыл бұрын
Hapa kwenye hesabu sasa oho
@lutfiyahhumaid7477
2 жыл бұрын
Mtoto wa miez kwanzia 6
@lutfiyahhumaid7477
2 жыл бұрын
Samahan naweza kupata nmba ako
@habibaumar2639
2 жыл бұрын
0.75 ndo kilo ngap?
@irenetarimo7363
Жыл бұрын
Robo tatu
@allyraymond175
2 жыл бұрын
Nikitaka kuongeza nafaka
@lutfiyahhumaid7477
2 жыл бұрын
Nahitaji kutengenexa unga wa uji weny virutubisho vifuatavyo Mchele Ngano Soya Almond Pumpkin seeds Karot Natumia asilimia ngap kweny hivo vitu
@janetkalinga1204
Жыл бұрын
Mzima Kaka naomba kuongea na wewe kunakitu nataka kujifunza vzr
Пікірлер: 37