From kenya here ,,currently in Oman,,nakufuatilia sana brother
@masamycharamba-vb8ws
6 ай бұрын
God bless you brother EBM. unatupa elimu safi sana. Next video talk about temporary work visa au summer camps plz. 🙏🏿
@enemtatuka5863
6 ай бұрын
Asante Sana wajina wangu Mungu atubarik tushindee
@clevermngao7565
6 ай бұрын
Tupo pamoja Mr. Ernest Makulilo! Let us pray together!! Bila shaka Host haitakuwa na shida kwani tunaye ndugu EBM hapa 😂
@reinart2700
6 ай бұрын
Aksante sana EBM
@joycebenjamin6017
6 ай бұрын
Ahsante kwa maelezo mazuri👍🏻👏🏽🙏
@BaigonMacha
6 ай бұрын
Asante sana ndg yangu
@EBMSWAHILI
6 ай бұрын
Karibu and all the best kwenye results
@AbdulSinga
6 ай бұрын
Ebm naomba uniangalizie niliaply pale kwako mlimani pls
@jaropthebilldone1652
6 ай бұрын
Asante kaka EBM nimekupata
@frolahsaloon2506
6 ай бұрын
Asante kwatarifa
@muhammedjuma8966
6 ай бұрын
Asante sana brother ebm
@DorcasLoy
6 ай бұрын
Asante kaka EBM
@Chidyadams
6 ай бұрын
Asante sana Mkuu
@EBMSWAHILI
6 ай бұрын
Karibu
@kakamkuu5383
6 ай бұрын
Asante sana mkuu Makulilo Kwa information iliyo nyooka ila ninaswali kidogo kama niliomba nikapata nikajipima vigezo kwa mda huo nitakuwa sikidhi vigezo kwa mfano fedha ya kuandaa safari sina au elimu yangu naona kikwazo Kwa sasa work experience yangu naona haitakidhi vigezo je naruhusiwa kuomba mwaka mwingine tena?
@razoindeed8228
6 ай бұрын
Shukran
@elogevyizigiro1157
6 ай бұрын
Asante sana
@mpembutvchannel9258
5 ай бұрын
Allah anibariki inshallah
@lusiyasalum375
5 ай бұрын
Kaka ebm naomba unisaidie kuangalia confirmation number yang imepotea kwenye cm nyengine
@gospelonlinetv3696
6 ай бұрын
Mungu afanye Njia
@nehemiahparadox8488
5 ай бұрын
Unawezaje kumuangalia mtu?
@patrickmwaniki1943
6 ай бұрын
Barakiwa
@jayakoba7774
5 ай бұрын
Vizurisana mzee baba
@YoungblitzDaBling
5 ай бұрын
Mm kwenye simu yang inakataa ku load
@GodfreyMdemu-uw2lv
6 ай бұрын
Respect mkuu
@annahmukai7775
6 ай бұрын
Mungu wangu nisaidie
@ahmedalfan8075
6 ай бұрын
Brother nakutext kwa email but tex haziend tatizo nini
@salummohamedisaidi8806
6 ай бұрын
Kaka naomba kuuliza ivi ikitokea mtu na mkewe wote wameomba arafu mke akashinda ila mume akakosa ila changamoto ni kwamba mke yeye ajapata elimu ya A level na hana work experience yoyote ambayo ipo kwenye system ya selekali ni mama tu wa nyumban ila mume yeye anayo elimu ya A leval sasa hapo je mke atapata viza au hatopata na je kwenye interview wataenda wote au ataenda mke peke yake???samaani lakin kwa swali langu mkuu❤
@johnsonmsoma5743
6 ай бұрын
Mbon kama hapa mwisho kauli imekanganyika , ata kama umepata apply Tena atakama umekosa apply Tena???
@DMujuni
6 ай бұрын
Sorry Mkuu kwa huo mkanganyiko ila anachojaribu kusema ni kuwa unaweza ukashinda ila case number yako ikawa ya mbali kiasi kwamba unaweza usiitwe kwenye Interview ndio mmna anasema hata kama umeshinda ww omba tena maana inaweza kutokea lolote kama ilivyotokea kile kipindi cha Covid-19 au kile kipindi Tanzania ilivyowekwa kwenye Travel Ban, so mkuu hata ukikosa omba tena na ukipata omba vilevile mana sio makosa kuomba tena uku ukiwa umepata🙏
Пікірлер: 38