Hakuna mfanyabiashara ambae anaanzisha biashara akiwa na mawazo ya kushindwa katika biashara yake, ingawa wote tumeshuhudia biashara zikianzishwa na kufa kabla hata hazijawa na mizizi.
Ungana nami katika episode ya leo tujifunze namna ya kuanzisha biashara imara ambayo itadumu kwa muda mrefu na kuleta faida kwako na kwa familia yako.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
#malengo #fursa #ujasiriamali #mafunzo #tanzania #biashara #daressalaam
Негізгі бет Jinsi ya Kuanzisha Biashara inayodumu kwa muda mrefu - Misana Manyama
Пікірлер: 22