Focus ni hali ya kutulia au kushikilia au kufanya jambo moja mpaka likakamilika bila kuingiza kitu kingine katikati. Wale wenye uwezo mzuri wa kufocus katika mambo yao wanaweza kufika mbali sana kimafanikio. Lakini habari mbaya leo hii ni kwamba watu wengi sana wameshindwa kabisa kuweza kufocus na jambo moja mpaka likatimia na kuwa ni watu wenye kutaka kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja na matokeo yake ufanisi unakosekana kwenye katika shughuli zetu nyingi.
.
Jifunze leo namna gani unaweza kuongeza au kuboresha focus yako ikawa maradufu na Ezden Jumanne.
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
Web: www.swahilivoiceovers.com
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @mediacraftstudiotz
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ @learn2earnclass
.
VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
swahilivoiceove...
.
KUJIUNGA GROUP LA VITABU:
- Pata faida za kwenye vitabu kila wiki.
- Jifunze kwa audio zenye quality nzuri.
- Kama huna muda wa kusoma "jiunge fasta"
Tuma ujumbe huu "SPN BOOK CLUB"
Kwenda whatsApp No. 0759 191 076
Ada ya group hili: 2,000 TZS kwa wiki.
.
KUPATA MATANGAZO:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: voiceoverswahili@gmail.com
.
.
#ongeza #focus #yako
Негізгі бет JINSI YA KUONGEZA FOCUS KATIKA MAMBO YAKO
Пікірлер: 32