Allah akuzidishe kheri ukhty, shukran sana I learn a lot from your videos. Love you a lot,
@itsmefathiyaofaromaofzanzi1763
7 жыл бұрын
Amin, am glad I could help. Love you too dear
@mohmedalabre8104
7 жыл бұрын
Basi asnte nimeelwa ndo nilovokua nahitaji kujua HVO nitaomba mungu ishallah asnte sana kwa kunijuza
@vailethelias1229
5 жыл бұрын
Thanks my dear am understanding that issues God bless you
@mwanahamisiramadhani5760
6 жыл бұрын
Assalam alaykum. Wallah tunashukuru sana kwa videos zako, hakika zinatuelimisha, kuvutia na hata kutenda kwa kilichokuvutia.
@itsmefathiyaofaromaofzanzi1763
6 жыл бұрын
Aleikum Musalam, alhamdulilah nashukuru kwamba mnapata japo kidogo. Shukran
@hadijaramadhani1280
6 жыл бұрын
Ahsante mamy
@BillysFamily
7 жыл бұрын
Naaam matunda Yana sukari ila kula kwa kiasi ni kitu muhimu. Hata nyama vilevile. Asante kwa elimu nzuri dada. Ni vizuri kukuona sura mana nilikuwa nikiplay video mme wangu anauliza mbona mtu anaeongea hatumwoni 😂😂😂😂
@itsmefathiyaofaromaofzanzi1763
7 жыл бұрын
Ahsante ni tabu kurikodi kupika kutoa sure maana nafanya mwenyewe kwa simu,
@zeanasalem8678
6 жыл бұрын
😀😀it's true small portion muhim lkn hio calories ndio mtihani kuikantrol.shukran tutajitahid
@itsmefathiyaofaromaofzanzi1763
6 жыл бұрын
Kuanza vigumu lakini after 1 week utaozoea
@BillysFamily
7 жыл бұрын
Hahahaahhahaahhaha kimbunga cha mvua nimejichekea mwenyewe. Yani poleeeee kwa ajili ya mafuriko najua hali ilikuwa tete sana
@itsmefathiyaofaromaofzanzi1763
7 жыл бұрын
Wewe hayo maneno mengine mezea tu maana baadhi ya maneno ya kiswahili ni shida kukumbuka
@aimanali8612
6 жыл бұрын
ahsant my
@sallynznas6461
6 жыл бұрын
Poleee sana habbty
@itsmefathiyaofaromaofzanzi1763
6 жыл бұрын
Tushapoa ahsante sana
@khadijaamour3881
7 жыл бұрын
Pole sana mpenzi
@itsmefathiyaofaromaofzanzi1763
7 жыл бұрын
Mie poa ansante sana dear
@mohmedalabre8104
7 жыл бұрын
Asnte nimeona mbona ninakua nafuatilia sana ila mmi ninachohitaji kujua sukari tu jinsi ya kutengeneza sitaki nitumie ya dukani ila najivunia kujua asngi nivitu ninavovipenda kwakweli asnte
@itsmefathiyaofaromaofzanzi1763
7 жыл бұрын
Mohmed Alabre yaani umekusudia ile ya unga kama ni sukari tu ya kawaida unasaga pamoja Na corn starch kwa kila kikombe 1 Cha sukari utaweka kijk 1 kikubwa Cha corn starch.
@sakynerjuma5405
7 жыл бұрын
bila samahi aunty we missed you
@itsmefathiyaofaromaofzanzi1763
7 жыл бұрын
I missed you all too dear
@mohmedalabre8104
7 жыл бұрын
Asnte ila ningependa utuekeee risipi ya aisingi shuga jisi ya kutengeneza
@itsmefathiyaofaromaofzanzi1763
7 жыл бұрын
Mohmed Alabre Karibu lakini mambo ya recipe utapata kwenye channel yangu ya aroma of Zanzibar nimeweka kila aina
Пікірлер: 27