Dnyota nakukubali sana nipo nazichnga nikija kukuibukia uhakika kakaaa be blessed brother 🙏🙏
@HassanAlly-ge8iw
Жыл бұрын
we nimuoga2 kunam2 anaitwa Jack wa usa uyo ninoma sana niatali nanusu kwanza anajiamin nakila Jambo we ujiamina ila unaweza ongeza2 kujiamin mzee nilicho jifunza mm wazungu kuwa tongoza lais kuliko sis tunavyo fikil Mana wao hawana Mambo meng kama ana m2 atakwambia nakama hana atakwambia
@joe_was_here.
Жыл бұрын
@jack wa USA. mchekini uyu jamaa kwa content zote kuhusu America
@kassimomar2163
Жыл бұрын
jack yuko vyema sana
@deejayassamix4891
Жыл бұрын
Nipe jila lako la inst
@peter4005
Жыл бұрын
Camera low quality bro jaribu kurekebisha hilo
@erickmisilakuba6426
Жыл бұрын
Huyu jamaa kwanza tapeli muongo muongo
@jumannenyabuge83
5 ай бұрын
@@erickmisilakuba6426anapoteza muda nakuongea lisilo elewekaaa ajarib sasa tunasubil
@mylasadick5189
2 ай бұрын
@@erickmisilakuba6426umegundua hilo
@AbediMwanyoka
Ай бұрын
Mm kama ruga inpanda hakuna mzungu wakunishinda kumuapulochi dnyota nitakuja u.s.a mdawowote..nina ndoto na kuja Atlanta . Georgia
@laylathaji3938
4 ай бұрын
Inaonekana dula maisha ya marekan mazuri Sana mwanangu
@jumarashidi835
19 күн бұрын
Ikiwa umeanzisha urafik na mzungu kwa muda wa wiki moja, je unaweza ukamuomba hela na akakupa?
@adamkipenga6512
Жыл бұрын
Muoga kutongoza wazungu
@simbadar
Жыл бұрын
jee ni rahisi kiasi hicho kusimamisha toto la kizungu na kumwaga sera zako?
@mukhtarally5819
Жыл бұрын
Yaaa dullah wew mwaamba sana i give you a salute big man
@dnyotausa6154
Жыл бұрын
Pamoja
@jmasutv2228
8 ай бұрын
Kaka uko vzr proud mtanzania mwenzetu uko USA,,namm nahustle kufika huko
@VictorKangele
Ай бұрын
Asante 🎉😅
@amriseleman9395
Жыл бұрын
Hongera sana brother kwa kushare na sisi maarifa.
@jonfredkewe3451
Жыл бұрын
Respect to be respected
@AbbasHussein-s6n
11 ай бұрын
Nakukubali Sana much respect
@mussahjovinjovin9019
Жыл бұрын
Nakukubali
@chemotokaula-ew1zn
6 ай бұрын
Uko sawa mkuu niko kenya🇰🇪 lete habari mkuu.
@africanboy8112
Жыл бұрын
Nakubali dulla
@dannymziwanda6944
Жыл бұрын
Wa bongo wengi wanapenda mtelemko sana
@mohsenaljahwary5730
Жыл бұрын
Huku Bongo ni shida ukitongoza na ukiomba namba utapewa ila ss ukianza kuchati na huyo Dem aliekupa namba hata kabla hamjazoeana ni mizinga.Madem wa Bongo mjirekebishe acheni njaaa mpk mnakimbiwa.
@cclaudeshilling957
Жыл бұрын
Nakubali kaka tupe maujanja
@dnyotausa6154
Жыл бұрын
Sawa
@maureenmcney-of3nl
Жыл бұрын
Hahhaaaa kwamba mtumbo uooo umenichekesha kaka dulla tupo pamoja
@anjelinakaniki9162
11 ай бұрын
Unisaidie na mm nataka kazi kaka maisha magumu Africa
@GuershomDavid-n1m
10 ай бұрын
Nawapenda sana awo madada wazuri
@ibraimoissiaca6058
Жыл бұрын
Kwenda malekani ndo mafanikio ? Aya Bana me sina usemi
@ismailialiyi838
Жыл бұрын
wemuwoga hauwezi kutongoza uuuyooo
@malkomxtramsanii1144
Жыл бұрын
Uko sawa bro nitafutie line ya kuwapata 🇰🇪
@SHAFIIAbdully
Жыл бұрын
Safisana kaka fanya namimi niingie
@godfreymagehema6282
Жыл бұрын
Sasa mm nataka wakuoa je nifanyaje
@victorswai1469
Жыл бұрын
I suggest utumie lugha yenye staha kutotumia kiambishi "_li"
@OmbeniIbrahim
2 ай бұрын
madem wa bongo wananjaa situkani kweli ilo lipo
@DanielFungo-pt5sd
7 ай бұрын
Mimi nataka kuja huko ila lugha haupandi kiviiile vipi naweza kuja,,?
@humulinyanga1136
Жыл бұрын
Insignia Muda mrefu vitendo hakuna kwann?
@henry7674
Жыл бұрын
Noma Xana🔥🔥🔥
@salumusobo4009
Жыл бұрын
Tupo pamoja sana kaka dulla mda ukifika nitakutafuta kaka
@dnyotausa6154
Жыл бұрын
Sawa
@ImanChannel648
Жыл бұрын
nitumie namba ya mzugu mmoja demu awe mkali
@FatumaKashindi
Ай бұрын
Unaweza kazi kaka
@murhula84neema
8 күн бұрын
Wewe uko mukali sana.
@Osmarnkanjo
9 ай бұрын
Sema brooh wanna gazabu saaana
@josephguerino7416
Жыл бұрын
You ended walking and talking the entire video with no content! Hatujaona unaongea hata na mzungu mmoja
@dilipdab3714
Жыл бұрын
Chek na mie nilikuwa nahitaji viza
@devidshehanga6124
5 ай бұрын
Kaka nifanyie mpango nije huko
@bradleybetino1169
Жыл бұрын
Vipi kaka naezapata kazi ya housekeeping
@MajaliwaKassim-s2m
Жыл бұрын
Nitakupataje tuzungumze
@Mohamedakida-i2r
10 ай бұрын
Poa kk Simba Akida nipo South nitakuchek
@simbadar
Жыл бұрын
bro tupeleke kwenye madodo yaliyojaa uchague kwa uhakika
@MagamboBuchbaruta
5 ай бұрын
Tongoza bac mwamba tusikie
@salumsalum8866
Жыл бұрын
jack wa usa ndio yuko poa we mlamba lips tu mashauz sna Dula mashauz
@pascalnyaseba4301
Жыл бұрын
Bro dakika 44 nothing! Jifunze kitu unatakiwa uwe unajua Sana ndo ujisikie Sasa ww maneno mengi angalia wezako kila mtu anakuambia jack wa USA Sasa ww piga ionekane sio maneno video low quality umezingua huwezi mfundisha mtu kama na ww ujii dakika 44 hata kusema hi
Пікірлер: 183