Safi sana fundi kwa darasa lako Mungu akubariki sana
@jacoblawrence5266
5 ай бұрын
Ahsnt sana kaka Kwan unanifinza vitu Virginia sana
@mstafaadan2506
2 жыл бұрын
Asante sana ndugu mpendwa kwahayo video elimu nzuri Sana ubarikiwe zaidi
@thomasminzi1609
2 жыл бұрын
Daaahaaa kaka nakpat vzr Sana maana kuna vitu vingine ndio nimevifaham kwako
@salehehassan2553
2 жыл бұрын
Asante Sana Mwalimu unanifunza vitu vingi saaana
@hassanaboud8442
Жыл бұрын
Shuran Sana kaka kwa kutufunguwa macho
@jifuzeumemebyhopper7911
3 жыл бұрын
Nakubali Sana unacho fundisha mung atakufanikishia zaidi
@abdulukwachu4447
6 ай бұрын
Mwanangu ndio unanisema KZitem 😅😅😅😅😅
@user-to6ss1sq5d
8 ай бұрын
Mwamba wee hua mkali Sana nakuelewaga maelkezo yako mnooo
@mwanatz5980
Жыл бұрын
Asante Mwalimu.
@hanskessy7152
2 жыл бұрын
God bless you
@lewismwinuka5718
2 жыл бұрын
Asante sana mkuu
@engineertarimo7345
2 жыл бұрын
Bro pamoja na maelekezo yako mazuri, inakupasa utupatie sababu ya Ac electric system circuit yake inapasa ijitegemee. Kwa sababu ukimwambia mwanafunzi asichukue umeme kwenye lighting circuit pasipo kumpa sababu wakati anajua akifunga hivyo Ac inafanya kazi
@abdiomari6903
4 ай бұрын
Nimekusoma mwalimuu
@starnelywaweru613
2 жыл бұрын
Habari ya mwalimu Jina ni starnely kutoka Kenya.....natuma ombi langu utuletee.darasa la installation of CCTV tafadhali
@marifundi1074
2 жыл бұрын
Ok
@ramadhaniamanzi6636
3 жыл бұрын
Kaka waya Ambayo inatoka kwenye bod inakua 2.5 au 4ml?
@ramadhaniamanzi6636
3 жыл бұрын
Sawa mwalimu
@ramamchina4730
2 жыл бұрын
Nataka nifunge mwenye eleza mm ndo nata nifunge
@muhitajihachoki2956
3 жыл бұрын
Nimekuelewa mwalim
@ndikumasabodiegovevo9091
2 жыл бұрын
Sauti ndogo kaka
@ushangabakari5801
3 жыл бұрын
Ac inatumia waya saizi gani
@fundiumeme-siasa.2692
2 жыл бұрын
4mm² au 6mm²
@aliymbarouk2538
Жыл бұрын
4
@khaaridlibukula7052
6 ай бұрын
Ila ww ni mchoyo kaka,una wivu wa mtu kufanikiwa.Wewe upo mtandaoni unalipwa pesa kwa viewers,acha uongo bhana.Mimi ni fundi umeme nafunga AC na hizo water heater zaidi ya nyumba 8 na zinafanya kazi vizuri
@darasalaumeme7421
6 ай бұрын
Anza na wewe kutokua mchoyo uanze kufundisha Sasa.
@raphaelsukari3098
6 ай бұрын
Watu wengine bhn! em 2tolee uchawi wako apa....mbona wengine tumeelewa
Пікірлер: 27