Kutoka geita nimewafatilia kwa uzuri nawapenda bure mm ni dada Esther
@mapishifoodlife
8 ай бұрын
karibu sana
@esterboniphace7076
8 ай бұрын
Aya jaman nawapenda
@jumadaud3117
27 күн бұрын
Niko moshi, na mimi napikaga ivi ivi
@mapishifoodlife
26 күн бұрын
karibu sana
@esterboniphace7076
8 ай бұрын
Upishi wenu ni rahisi Sana hasa upatikanaji wa viungo ambavyo kila mtu anaweza kuvipata lakini pia chakula kinakua kizuri na kitamu😊
@mapishifoodlife
8 ай бұрын
karibu sana pia asante kwa kuliona hilo
@esterboniphace7076
8 ай бұрын
💪pia una sauti ya mvuto kwangu,hautumii muda mrefu Sana ktk mapishi uko straight to point,una upishi shirikishi unauliza sisi tunapikaje kiukwel huna ubinafsi mm nawapenda kila nikipika pishi lenu nyumban kila mtu anafurahia chakula changu, Asanteni sana ndiyo maana nakufatilieni
@esterboniphace7076
8 ай бұрын
Kwani ninyi mnapatikana wapi?I mean mahali mlipo
@mapishifoodlife
8 ай бұрын
asante sana kwa kutufatialia, tunakukaribisha kwa moyo mkunjufu
Пікірлер: 31