Asante kwa somo zuri Mimi naomba utoe na maelekezo ya kutengeneza biskut kwa kutumia makapi ya soya
@jeremiamichael8031
3 жыл бұрын
Waoooow asant Sana dada ake nilikuwa nahitaji Sana hili somo
@beatricemtena2819
Жыл бұрын
Hongera elimu nzuri sana nimepends
@sharifasalumu1548
3 жыл бұрын
Asante Sana my dear
@forhimchannel5965
Жыл бұрын
Asante sana nimependa na nimetengeneza. Je unaweza kuweka vanilla? To add the test ?
@MariaFashion-yt9cl
4 ай бұрын
Asante Sana yanachukua mda gan kuiva 🎉
@MarthaWambura-kz5xb
Ай бұрын
Asante
@marrygicho4050
Жыл бұрын
Kazi nzuri nimesaidika sana
@CarosKitchen
Жыл бұрын
Karibu
@aishahussein3879
4 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Aisha Hussein welcome dear
@parkergriffin4388
3 жыл бұрын
Instablaster.
@doryadolf3551
Жыл бұрын
Asante Kwa SoMo nzuri je waweza kupikia uji au kugandisha
@agathajoram8637
3 жыл бұрын
Ahsante dear mwanangu alikataa kunyonya nikawa nampa ya ng'ombe sasa ntatengeneza mwenyewe Mungu akubariki
@CarosKitchen
3 жыл бұрын
Amina nawe asante kwakuangalia
@NazarethLevoso
17 күн бұрын
Safi sana je haya mahare soya ni haya ya kawaida?
@CarosKitchen
13 күн бұрын
Hapana ni tofauti
@posianostephano3001
2 жыл бұрын
Asante kwa elimu
@alphaachannel5439
3 жыл бұрын
Somo zuri kweli ahsante dada
@sabrinaanicety7517
4 жыл бұрын
Piga kelele kwa caro akeee 👌
@magrethlihiru5187
2 жыл бұрын
Asanteee🙏
@ashadaudynjokii3636
Жыл бұрын
Asante sana
@mabellyimo2941
4 жыл бұрын
Asante sana kwa kushare hii recipe.. Ni kwa muda gan umechemsha hayo maziwa
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Mabel Lyimo asante maziwa haya unachemsha dk 45 moto mdogo mdogo
@mubarationtv8162
2 ай бұрын
Naweza kuweka sukali?
@consolataedward7554
2 жыл бұрын
Somo zuri ila unatakiwa kutumia kitambaa cheupe wakati wa kuchuja na sio kitambaa Cha rangi tumia cheupe na kiwe Cha cotton..
@nsajimoses6781
11 ай бұрын
Ni kwel inabidi atumie kitambaa cheape tena anaweza kununua nusu. Ila video nyingi nimeona wanasema chifone ndio nzur kuchujia
@saumjuma7546
4 жыл бұрын
Ahsante sana
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Saum Juma karibu sana
@arnoldluwibwakila3458
4 жыл бұрын
Nzuri sana hiyo ntaijaribu.ila Dada angu yanakaa muda gani hayo maziwa kabla ya kuharibika
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Arnold Luwibwakila siku 3 na yakialibika inakuwa mtindi
@arnoldluwibwakila3458
4 жыл бұрын
@@CarosKitchen Anhhaa Ok, Na Je for those who produce for commercial the soy milk can last up to more than 6 monthes which chemicals they are adding on it and how much.
@arnoldluwibwakila3458
4 жыл бұрын
@@CarosKitchen manaa pia bottled soy milk yapoo yale yanayouzwa hata supermarket
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Arnold Luwibwakila weka kwa box ambayo haipitishi hewa pia hao wanaweka presavertive ndiomana
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Arnold Luwibwakila yamewekwa chemical ndo maana sio organic
@CatherineMassawe-pb2jd
7 ай бұрын
Oky
@batsebamkambu7718
Жыл бұрын
Unaweza kutoa siagi?
@mariajames5729
3 жыл бұрын
Asante kwa kutuelekeza
@forhimchannel5965
Жыл бұрын
VIP kuhusu biscuit za hayo mabaki ya Soya?
@monicaidaffa7634
4 жыл бұрын
Hongera teacher Carol
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Thank u bebe
@highonebalo8289
4 жыл бұрын
Thank you Carol Bless u!
@nasilayona6515
3 жыл бұрын
Chai inapika
@fuchijonas258
4 жыл бұрын
jinsi ya kutengeneza mtindi wa maziwa ya soya
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Nitafanya soon dear
@williamkajituel219
3 жыл бұрын
Asante sana je unatengeneza vipi cookies kwa hayo makapi?
@hajramuhidini3264
3 жыл бұрын
Kuna sehemu niliona comment ya mtu inasema kwamba soya sio nzuri kwa watoto wa kiume inasababisha baadae wakose nguvu za kiume je kuna ukweli wowote katika hili maana natamani sana kutengeneza lakini nikifikiria hii kauli tu nachoka
@CarosKitchen
3 жыл бұрын
Sio kweli kabisa
@ironefacemsovela4504
3 жыл бұрын
Yanafaa kuopewa mtt Wa miez minne?
@CarosKitchen
3 жыл бұрын
Ndio
@pendobugalama953
Жыл бұрын
Roboya soya inatoa maziwa kiasi gani?
@victoriamichael9663
2 жыл бұрын
Nataka kutengeneza cookies Kwa kutumia makapi ya soya Nakupataje?
@CarosKitchen
2 жыл бұрын
Hello inawezekana
@miraclesshauri8414
5 ай бұрын
Jewaweza weka sukari
@CarosKitchen
5 ай бұрын
Ndio
@miraclesshauri8414
5 ай бұрын
@@CarosKitchen je unaweza kutumia pasipo kuchemsha?
@rebecahuberth2630
2 жыл бұрын
Ukitumia soya iliyokobolewa je inafaa?
@CarosKitchen
2 жыл бұрын
Ndio
@nsajimoses6781
11 ай бұрын
Je unaweza kumpa mtoto wa miezi 2?
@CarosKitchen
10 ай бұрын
Ndio
@paschalinahharis9604
4 жыл бұрын
Safi sana
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Asante dear
@salmaiddi5766
3 жыл бұрын
@@CarosKitchen ŕĺ
@MariaPeter-r2h
3 ай бұрын
Naomba kujifunza kutengeneza maziwa ya soya ya unga
@shadrackmasumbuko9025
4 жыл бұрын
Tuelekeze jinsi ya kutengeneza maziwa ya ulezi
@sophiamasawe6852
2 жыл бұрын
😁😁
@victoriamichael9663
2 жыл бұрын
Unaweza kuhifadhi maziwa haya fresh kwenye fridge
@CarosKitchen
2 жыл бұрын
Kabisa
@mwaminichussu4678
4 жыл бұрын
Caro hayo maharage ni kiasi gan na maji pia nitaweka kiasi gan ili mchanganyiko utokee hivo
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Mwamini Chussu maharagwe ni nusu maji ni lita 3
@rosastephano3750
2 жыл бұрын
Hayo ni maharage ya soya haya ya njano kawaida au ni soya lishe?
@aproniapontion4595
2 жыл бұрын
Lishe
@abellangaiza7940
3 жыл бұрын
Vipi naweza kusaga nijihitaji kutumia naweka kwenye maji
@CarosKitchen
3 жыл бұрын
Ndio
@ibrajuma2701
Жыл бұрын
soya inayofaa kutengenezea maziwa n ipi kati ya maharage ya soya yale ya njano au ni ile soya lishe ambayo inakuwa n ndogondog au n ile soya lishe kubwakubwa au ni soya lishe iliyo kobolew naitaji kujifunza
@kajennykandagu9498
3 жыл бұрын
Nauliza inasaidia kukata kilo ama kuongeza?
@CarosKitchen
3 жыл бұрын
Maziwa ya soya hayaongezi wala kupinguza kilo
@bintikisisa6663
4 жыл бұрын
Nataka ntengeze meng je kuhusu kuhifadh yasiharibke inakuwaje
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Binti Kisisa weka kwenye vyombo visafi weka kwenye fridge
Пікірлер: 85