Daaaah 2011 tuliogelea hapa aiseeee,,maji ya chumvi na kuna bata mto,,nyani wapo mpka raha
@beatricekalamata9029
10 ай бұрын
Labda ulioga panatitia sana uliogeleaje??????
@NeroForte_
Жыл бұрын
nice brother nice.
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Apo jamani panatisha Sana kwa kuliangalia kwa picture sa ukifika unaweza usiludi
@tzobedytzbedy9775
4 жыл бұрын
Naona Africa
@nyamwendamassamba4885
2 жыл бұрын
Mimi nimekwenda Ziwa Ngozi kutokana na hali ya ukungu sikuliona ziwa ikabidi nishuke chini mpaka ziwani nikaone na kuchota maji. Ilituchukua zaidi ya saa moja
@DavidFaiton
3 жыл бұрын
Nimefika mwaka jana hapo panatisha mno aise mwiili unasisimka naturally
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Mimi hata bule siendi apo
@edgaredward3490
10 ай бұрын
Hapo hadi majini wapo hiyo siyo sehemu yakuchezea jamani 😢
@mudyguymnyama8500
3 жыл бұрын
tuschoke kwenda
@omarymakota2276
5 жыл бұрын
aisee pazuri sana
@lovenessibrahimu6730
4 жыл бұрын
Nimekumbuka Study Tour Geography
@barakajpilly6900
5 жыл бұрын
Du zamani wakat nikiwa mdogo mbeya tulikuwa tunadanganywa kuwa il ziwa lilihama na linamaajab sana pia walituambia kuna bata anaishi ktkt ya maji
@lovenessibrahimu6730
4 жыл бұрын
Rungwe Limebaki Shimo Mlimani Ni Kweli Lina Maajabu Hawaogi Hayoooo Maji Yake
@barakajpilly6900
4 жыл бұрын
@@lovenessibrahimu6730 du kumbe kwel niljua uongo bhana
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Itakua kweli hata Mimi niliwahi kusikia hivyo
@barakajpilly6900
3 жыл бұрын
@@andulilemwakihabha2048 itakuwa kweli
@crystalseth9108
5 жыл бұрын
like ramani ya Africa
@ezekiaomary9761
5 жыл бұрын
inapendeza mbeya yetu
@daudinyello4033
5 жыл бұрын
DUBAI....!!!....MR LUPEMBE UMECHAPIA AFRIKA KUNA DUBAI?
@kingswebe3251
5 жыл бұрын
Mbona linatisha sana
@israelsalim4322
5 жыл бұрын
mbeya yetu juuuuuuuuu
@lovenessibrahimu6730
4 жыл бұрын
Halitishi Ni Mzuri Ila Mpk Ufike Ziwani Kuna Steep Slope Balaaaa Kushuka Chini Hatushuki Na Viatu Tulitumia Soksi
@bungemwinuka447
3 жыл бұрын
Ziwa linavutia
@2003silla
5 жыл бұрын
ni wilaya ya mbeya na siyo lungwe
@musasamwel9578
5 жыл бұрын
hiloziwa liko mbeya vijijini sio wilaya ya lungwe kutoka iwalanje kufika kwenye hilo ziwa nikilometa kama 10
@saromekamwambi6689
5 жыл бұрын
Ni wilaya yalungwe sio mbeya wilaya yalungwe imeishia namba wan ko hili ziwa liko upande wa rungwe wewe, mkoa wambeya
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
@@saromekamwambi6689 kweli kabisa
@christopheragenmwaimise7911
2 жыл бұрын
Ni wilaya ya Rungwe brother
@gabrielcathabet1787
3 жыл бұрын
mbeya yetu
@mariamukasyupa2782
5 жыл бұрын
Duuh
@manfredmlelwa5108
5 жыл бұрын
liko mby vijijini sio rungwe
@gastonmahenge602
5 жыл бұрын
Wilaya ya rungwe
@seciliamwaibanje7168
5 жыл бұрын
can mby ytuuuuiiuuuui
@lovenessibrahimu6730
4 жыл бұрын
Chanzo Chake Ni Mlima Rungwe Haki
@shedrackmwaipopo9427
3 жыл бұрын
Mpakan na mbeya vijijini
@omarymakota2276
5 жыл бұрын
tunashukuru mbeya yetu media mjawahi tuletea habari za kubabaisha
Пікірлер: 38