Umenimaliza da John kassim kweli vyote vingaavyo sidhahabu......argeeeeeee
@muhammadnufailmuhammadnufa4261
6 жыл бұрын
Jamn jokha tume kumiss ktk gem au na wewe umeacha bila kujitangaza? Love you jokha
@yusufmzeeyusuf262
3 жыл бұрын
Hapana sijaja kuimba
@sarahjimm6906
8 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana
@melchiadgodwine9192
7 жыл бұрын
mke mwenza jokha na isha
@hadijahaji300
3 жыл бұрын
Nice nzurii
@gracesuleiman7458
2 жыл бұрын
Naipenda siku zote hii nyimbo
@asiahmariam3942
6 жыл бұрын
Masha'allah hongera sana da Joha kwa kazi nzuri
@kombowaura9044
5 жыл бұрын
Wwe Asia naungana naww
@asiahmariam3942
6 жыл бұрын
Da Joha we noma mashairi mazuri sana
@ashuraatanas5967
7 жыл бұрын
Hatari sana wanawake sisi mhh
@ustadhlecky7608
8 жыл бұрын
binti huyu alitunukiwa na sauti ...achana na jahazi taarab
@khayrakombo5258
5 жыл бұрын
nice
@agathazalilo3298
5 жыл бұрын
Mwenzio shapnda mel sixhobokei jahz lkoo 😕😕
@RabiaSimba
7 ай бұрын
Mzee yussuf zishamfika salam zake
@rosemarykenedy8438
7 жыл бұрын
waooooo penda sana ww
@Rahela-u4b
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@edwardwangombe2358
3 жыл бұрын
Safi Sana bunduki ya kichina haina risasi,,,, conspiracy
@nufailmohamed4408
6 жыл бұрын
nakukubali sana jokha jaman ilove you 💋💋❤
@abuwaleed01
5 ай бұрын
Mzee Yusuf hapa alikua hana comeback, ukisikia tatu bila ndio hii. Leyla na khadija walirusha madongo lakini wapi? Mpaka kesho hii ndio ilikua fimbo ya jahazi
@herrychaula4110
3 жыл бұрын
Kweli, hushoboki joha
@mwakush
11 жыл бұрын
Hapo sawa bi Jokha mpashe kinomanoma uko juu sana Tabasamu la kumwagaaaaaaa
@basiliomatanga2306
9 жыл бұрын
great voice Jokha Kassim .... may someone translate this great stuff for me
@kombohasla6952
8 жыл бұрын
kama sauti ya kasuku tishaaa sana jokha
@ibrahimmsafiri2656
2 жыл бұрын
am in love
@stephenobwana8455
Жыл бұрын
Joha kassim
@sumeyahusna837
10 ай бұрын
Joha rudi kwa taarabu umenyamaza
@KweraHamidu
9 ай бұрын
Taarabu. Ninzuri. Sana. Na inaujumbe. Wakutosha
@zuhrahalima5987
7 жыл бұрын
Yaani hii matusi yote ni kwa mzee yusuf ama nani jameni.
@bwantanfumo4283
6 жыл бұрын
jibu unalo.ana bunduki la kichina risasi halina
@hanifajuma342
5 жыл бұрын
hapo sasa.
@khadijahali6856
3 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣hilo ndo jawabu my dear
@asuumzeemtwana
11 жыл бұрын
Peperusha bendera ya taarab uko juu dada
@mariamsuleimanmunguakupeum6552
7 жыл бұрын
nampenda sana huyu mdada kwani yeye uwaga ana pupa alafu ni mstarabu wa kuimba sana
@salammohammedy9316
3 жыл бұрын
Anajisikia sn ndo mn hn papal
@happy9883
2 жыл бұрын
@@salammohammedy9316 muongo ata alingi jokha namjua vzur sana
@mammitomohamed7265
8 жыл бұрын
hehee nalo neno ilo jokha
@fatinasudi1139
8 жыл бұрын
love you jokha kasim
@mwanaishayusuph6646
6 жыл бұрын
nampendaga huyu mdada anavoimba
@jokhakassim4241
5 жыл бұрын
Asante
@marthaemmanuel3323
3 жыл бұрын
Nakupenda jokha
@herrychaula4110
3 жыл бұрын
Kwaumbo ulinivutia, kumbe ushapitwa na wakati
@afallfalbeity1855
8 жыл бұрын
domo raudaku muimbaji joha kasimu
@fatumahamisi1194
7 жыл бұрын
Santhhaaa joha kassim
@Zamda-j6h
Жыл бұрын
Og snaaa🎉🎉🎉
@agent48classified40
3 жыл бұрын
Damn..this taarab they were going soo hard...
@dadimtipodadi2259
Жыл бұрын
Au shobokei zahazi rake Ww ushapanda meli dar
@edsonkahwa6812
8 жыл бұрын
Uko vzr mtoto!
@rosemarybenjamin4333
6 жыл бұрын
Bunduki yako ya kichina ndan risas haina 😂😂
@zuhuraramadhani5731
8 жыл бұрын
jokha wewe nomaa
@mariamsuleimanmunguakupeum6552
7 жыл бұрын
lakini vipi mbona atumsi tena kwani kahacha kuimba kama una ufahamu zaidui nipashe pliz
@yusufmzeeyusuf262
3 жыл бұрын
Hapana sijacha
@kadijahajali3918
Жыл бұрын
Ukitasiri hiyo nyimbo anachwambwa mtu hapo ndiyo hivyo
@kadirisonyo4992
8 жыл бұрын
nahitaji kukuona live
@nasonnyagenda9360
8 жыл бұрын
Duuuuuuuuh kumbe nina shida na wewe jokha
@kithinjiboniface
4 жыл бұрын
Hii ndio maana things on the ground are different fahamishwa
@MjomaMjoma
7 ай бұрын
Naipend san hii taarab
@esthernyokabi832
Жыл бұрын
2023 all gather here
@happyashim6073
4 жыл бұрын
Naomba wimbo wa DOMO LA UDAKU JAMANNNN
@babujayjay7561
11 жыл бұрын
MPE MPE WEWE KWELI MKALI JOKHA KASIM UPO JUU NA KIMAPOZI UNAYAEWEZA NA HII NYIMBO KALI MNO SANAAAA
@aishaally7819
8 жыл бұрын
hapo chacha weweeeee
@mustafakhamismuhammad9367
9 жыл бұрын
Wewe mkali katika wakali dada sasa kazi?
@vicentjohn5900
7 жыл бұрын
nkupendaaaaaa bureeeeee
@fatumahhincha5014
5 жыл бұрын
Vicent John napenda sana nawimbo mzuri kama ww fatma hincha
@resimayahayaresimayahaya2348
7 жыл бұрын
nakupenda jokha
@salmaramadhani467
Жыл бұрын
❤❤❤❤
@ezekielbaga1061
6 жыл бұрын
nikweli kabis hawo mwanao kupapatikia na waonea hurum
@munirakhalidikimaya4267
2 жыл бұрын
Very nice
@rashidhassan9576
6 жыл бұрын
Sauti mwana dada mola kakupa
@bizomakaranga2963
6 жыл бұрын
ham na ww sina,,....bunduk yako ya kichina ndan risas haina
Пікірлер: 170