Mwalimu Joram nakukubali Sana,nipe bei ya kila kitabu naweza mwakani jalali akijalia nami nipate kimoja nikuze ulumbi
@benmbwele
Жыл бұрын
Jitihada za kutokomeza kiswahili kasuku, kiswahili Shelabela zinahitaji utondozi wa mara kwa mara kwa usimamizi wa walumbi. Hakika kiswahili sanifu na mufti kinaleta chata na tandwa zilizojaa tabasamu taanusi.
@salumazizi7217
17 күн бұрын
hahahah hakika na wewe umeshakuwa ni mlumbi mbuji. Yaani sikutarajia kuwa Joramu kumbe ni mwanasayansi kindakindaki japo amekuwa ajuwali katika kiswahili mufti
@kabhikachambala3392
Жыл бұрын
Safiiiiiiiiiii.... Mungu awe nasi wakati wote. Kiswahili ni lugha muhimu sana.
@mawandayalughatv
Жыл бұрын
Joram you are a powerful speaker. Keep on.
@wazambulitv5735
9 ай бұрын
Morning Greetings/Salam ya Asubuhi 😃💯 Chewa nana (Good morning madam) Chewa Nina (Good morning mom) Waambaaje? (How are you) Answer/itikio la salam Chewa (Fine) Sina la kuambaa/Salama (Fine thank you)
@EmmanuelBass-jr4nl
4 ай бұрын
God bless you bro
@mohamedkondo-tq2bm
Жыл бұрын
Sheria bela.mimi napenda niwe Mlumbi mdogo wa kiswahili.
@soundmale
Жыл бұрын
Kumbe diamond alitumia kiswahili fasaha ..nana
@FurahiniJM
Жыл бұрын
Joram una burudan sana 😄🤣😂😆 thanks
@PaulNgusa
Жыл бұрын
Safiiii brooo
@joramunkumbi
Жыл бұрын
TAANUSI = a kupendeza
@abdulrazakabduljalil664
9 ай бұрын
I want to learn Kiswahili from Nkumbi.
@mohamedkondo-tq2bm
Жыл бұрын
Huyu jamaa namkubali sana kwa udondozi wake
@petermakondo109
Жыл бұрын
Hii ni hazina kwa Taifa. Serikali inapaswa kuitumia katika kukuza lugha yetu ya Kiswahili
@thomaskiponda6079
Жыл бұрын
ASANTE JORAM. MTAALAM.
@joramunkumbi
Жыл бұрын
KUZA MLUMBI
@jeremyleakingpen1565
Жыл бұрын
Naeneza kiswahili hapa Kenya,
@georgemassebu2083
Жыл бұрын
Serikali inatakiwa kua inanasa mapema vijana kama hawa na kuhakikisha hawapotei na kuchukua mawazo yao dhidi ya anacho kijua wakifanyie kazi, kitaifa na kimataifa
Пікірлер: 23