Ila dada Joy Mungu akusaidie aisee, me mwanaume aliyetoboa maskio, akajichubua, anavaa Helen, nywele breach, anavaa suruali iliyo chanwa chanwa magotini aisee hapana Kwa kwel, namshukuru Mungu amenipa mwanaume niliyekuwa namhtaji🙏🙏
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Mwambie akuoe sio wapenzi tu ndio itapendeza zaidi mpenzi wa kweli hukuzawadia ndoa sio akuchezee mamy
@gradnessshitindi3694
2 жыл бұрын
@@maryamalli9090 amenioa dear tuna mtoto kabisa🙏🙏
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
@@gradnessshitindi3694 hongera yako mamy mungu awadumishe katika ndoa yenu Amiin
@gradnessshitindi3694
2 жыл бұрын
@@maryamalli9090 🙏🙏🙏🥰
@misschagga8042
2 жыл бұрын
Basi kina diamond waliotoboa kina konde boy na wengine huko hawawezi kuoa kisa hereni na bleach, rasta, matatoo weee upo dunia ya kizamani ya ukolonii utumwa huo endelea kua mtumwa.
@adijaniyonkuru9731
2 жыл бұрын
Nice Joice Kiria ❤️❤️❤️
@erickmichaelmugele2107
2 жыл бұрын
Wanaume wanaume tubaki wanaume,walioamua kuanza kushare hisia na mitindo na wanawake waendeleee..... Na ngumu sana kuelewa Akili ya Mwanamke,Ngumu sana....kikubwa ni kushukuru Mungu kama unaweza kuwa na machale yakutosha
Here! Hujakoma ee ! MPE hiyo namba ya Siri . Siku utaenda bank ukute kweupe ndo utaelewa. Ndo itakua hujui.
@ladyt1471
2 жыл бұрын
Dada Joyce kuwa makini na huyo mkaka hiyo hereni tu nina mashaka nae
@hamisimuhunzi7916
2 жыл бұрын
mhusika hana mashaka nae wewe mashaka ya nini!! kabiliana na ya kwako kabla ya kuuliza ya wengine
@glorymsopa4221
2 жыл бұрын
Dada joyce sijui maisha yk ya nyuma kwajinsi ninavyokuona heshima yk mshauri atoe hiyo ereni
@shamimushittindi1418
2 жыл бұрын
Mmh Ina kosa gani wenye heshima zao ndio hao kutwa kulala na mashoga hebu tulia wewe
@mamamzury1369
2 жыл бұрын
Kwani lazima avae hereni jaman.kama ana hofu ya Mungu atoe hiyo hereno
@rendozrendo7804
2 жыл бұрын
Mmmmh Joy hivi Kuna mapenzi kweli siku hizi?? Kuna chang's moto Sana dada kipenzi.
@Oye494
Жыл бұрын
Mi nawapenda saana. Ichi kipindi nikitamu sana.
@gladysmbulla5441
2 жыл бұрын
Shida ni kwamba Wakiume wa kibongo wakipata wanawake wanaowazidi umri unaenda kwa mengi La kuchunaa n.a. sio mapenzi wachache sanna sana true love
@johnbatashaka8181
2 жыл бұрын
Mungu atuhurumie sana. Yaani ninyi mnaulizwa mwawezaje kuwa na ndoa 2 kama wakristu? Halafu mnajifanya ķuja na mistari ya biblia ya kudànganya, Nyie Mungu anawaona wapuuzi nyie. Hapo mnasumbuliwa na tamaa za mwili tu ambazo zina mwisho wake.ok, go on
@user-pz5pw8lu6s
2 ай бұрын
Nataka namba ya Joyce kiriya
@shamimushittindi1418
2 жыл бұрын
JOYCE UNACHOONGEA NI UKWELI ARON NI KIJANA MZURI SANA NA MPIGA KAZI MZURI SANA NA AMETOKA FAMILIA YENYE HOFU YA MUNGU SANA.HONGERA JOYCE MUNGU AMEKUSIKIA TUNAOMJUA ARON SINCE ARUSHA TUNAELEWA
@ruqaiamohammed345
2 жыл бұрын
Pendanani joy hivyo hivyoooo
@hannajoseph645
2 жыл бұрын
Mmmmm hereni tena Askofu ooo
@robinmlilo3547
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣mm huyu mtu aijue password yang bank oneee
@hidayaswai3119
2 жыл бұрын
Halloo huyu kaka ana akili mingi mno. Big up Aaron Joyce hubby
@rosemiho2670
Жыл бұрын
Dada Joyce hivi baba wa mtoto haliyemleta Duniani au anamcare mtoto au watoto na mke
@zuenahamoud1532
2 жыл бұрын
Mmmhhhh
@ainesndosi4759
Жыл бұрын
Dida mswahili sana jamani
@simonballu1124
Жыл бұрын
WEWE JIKANYAGE TU LAKINI HAO WATOTO SIO WA HUYO KENGE AENDELEE KUVAA HELEENI NA USHOGA WAKE HANA CHAKE.
@ElizabethMgeni
6 ай бұрын
Usiangalie makosa madogo madogo ya mtu, Aroon ni mtu wa hatima ya Joyce hata kama anavaa heleni, Moyo wake wa upendo ni zaidi ya hizo heleni mnazoziona
@badmanno.1650
2 жыл бұрын
Jamaa anajimaliza... Subiri tuone mwisho wake
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Hakuna kujimaliza Wala kujianza hakuna mapenzi siku hizi
@mariamswedi1140
2 жыл бұрын
Mwanamke nani mwanaume nani hapo mtumishi anavaa hereni
@huldamichael4445
2 жыл бұрын
Joyce dada yangu huo mkono wenye Pete, saa na kucha unauonea sana,mkono uko busy kweli....hahahahahaaa
@abdallahkihanza482
Жыл бұрын
Nisawa mchunfaji anaishi na hawara?
@hidayaswai3119
2 жыл бұрын
Wanawake nadhani mnaelewa Aaron unaongea
@careenpatrick2759
2 жыл бұрын
Bado wew mbwa watapasua hicho kichwa na bastola kiherehere
@erickmichaelmugele2107
2 жыл бұрын
Huyu ni kofi la kisogoni tu,bastola anapigwa kisu haswa
@misschagga8042
2 жыл бұрын
Halafu ni mwanamke wewe duuu kweli utumwa hauishi.
@careenpatrick2759
2 жыл бұрын
@@erickmichaelmugele2107 😁😁😁😁
@careenpatrick2759
2 жыл бұрын
@@misschagga8042 utumwa upi sasa vitabu vya mungu ndy muongozo wa maisha yetu, sa kama ww utapingana na maagizo ya mungu sawa we pingana nayo
@misschagga8042
2 жыл бұрын
@@careenpatrick2759 unajuaje kama Mungu ndio kaandika?ulikuwepo wazungu ndio wametuwekea haya yote hata yesu unaemuona hakua mzungu alikua mwafrika tukabadilishiwa tukawekewa mzungu mtaliano chunguza sio unakurupuka ndoa ni maelewano ya wawili na Mungu anabariki sio mmoja kua mtumwa kwa mwenzake hajasema hivyo.
@ainesndosi4759
2 жыл бұрын
Makubwa
@warakawayohana2896
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣aliye olewa ni nani hapo?
@Jamila-cz5ge
2 жыл бұрын
Wambea wasafi ndokazi yen
@shalomkubali4884
2 жыл бұрын
Hamna mwanaume Wala Askofu shogatu huyu
@happyelias9465
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣hongera dada joyce
@hawaomary2782
2 жыл бұрын
Dada hakumi huyu
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Mpenzi huyu noma ni sharo kweli
@glorymsopa4221
2 жыл бұрын
Hakuna mchungaji anavaa ereni huo ni ushoga tu hana jipy condoo wanajifunza nini kwako
@nurdinkisaria9476
2 жыл бұрын
Huyu mwanaume au mwanamke?
@careenpatrick2759
2 жыл бұрын
😁😁😁hili swali inabidi tumuulize hili paka Joyce
@issazalala4907
2 жыл бұрын
Mbona huyo jamaa simu elewi elewi ivii
@sophiedanny3702
2 жыл бұрын
Naona kama vile dada angu J atakuja kupigwa na kitu kizito vile Kwa baadae
@Jamila-cz5ge
2 жыл бұрын
MWAMBIE HUYO JUMA AJIFUNZE WANAUME WATAKIWA WAWEJE WANAUME. DIDA SAUTI KAMA RAADI JIFUNZE KUJIREKEBISHA
@nickjuma3937
2 жыл бұрын
Yaani Dida ni mswahili sana!!
@rahmatgateka6461
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@dorothtobias8053
2 жыл бұрын
Ndo utajua hujui. Kufanya kosa si kosa. Lakini umerudia Tena. Utajua hujui baadae. Hustuki tu hata watangazaji wanakucheka.. hahaaaaaa
@marygabagambi3342
2 жыл бұрын
Hatari
@Jamila-cz5ge
2 жыл бұрын
HUYO SIO ASKOFU NI MSANII TU ANGALIA ANAVO VAA HERENI ANAJICHUBUA. NICHOKACHOKA
@danielmtanda1223
2 жыл бұрын
😅😅
@shamimushittindi1418
2 жыл бұрын
Humjui Aron tuliokuwa nae tunamwelewa vzr
@listerlujiso6009
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@nickjuma3937
2 жыл бұрын
Matatizo ya Dida ni kwamba ana mambo ya kiswahili Swahili yaani maswali ya kiswahili swahili kucheka kiswahili Swahili!!
@aishachambo8663
2 жыл бұрын
Wote wanawake wamekutana 😂😂😂😂😂
@georgesikazwe5914
2 жыл бұрын
Acha wivu fala ww tafuta wako tumuone
@aishachambo8663
2 жыл бұрын
@@georgesikazwe5914 Tafuta bwana kama unawashwa😏😏😏😏
@careenpatrick2759
2 жыл бұрын
Mwanaume atakuwa huyo,,hilo shoga pumbavu wewe
@elizabethmaleko7887
2 жыл бұрын
Hapa huyu dada kajivunjia heshima kabsa waliokua wakimuona nidada anae jitambua kwahuyu jamaa wana kuona bado unahitaji elimu sio wewe kuelimisha yaonekana kabsa unafanya utoto kweli kabsa unamtambulisha huyu mbele ya wa Tanzania tulie kuamini? kama ungekua nidada yangu walah ninge mtimua mumeo kwangu akija au nyumbani kwa wazazi wasinge kubali hereni zawanawake avae mwanaume tena shemeji hapana pangechimbika jirekebshe dada umetukosea wa tz
@georgesikazwe5914
2 жыл бұрын
Wivu t unateseka san eeh
@omarmkumba3547
2 жыл бұрын
Mchapuko utamjua2 anavyopayuka
@aldeamasuki6196
2 жыл бұрын
Kweli dunia ina mambo Askofu anavaa hereni du Joy ndo yule tunayemjua au
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Hahahahaha😄😄😄😄😄😄😄😄askofu kwani havai herini?
@danielmtanda1223
2 жыл бұрын
@@maryamalli9090 naamin ata akija kuvaa kimini utakuja kusema pia kwn askofu havai kimini😊
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
@@danielmtanda1223 😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔
@kazkaz1943
2 жыл бұрын
Kutoka kwa yule baba mpk kwa huyu mpk bleach ni anguko na kushuka kimapenz
Пікірлер: 83