Anna diba kakupenda kwel yani kakuelewa kinyama afu unazingua unaleta pigo za kumpenda devis yule ni ni mchenjuaji tu ngoja aichape ndiyo utajua ww sipenda penda ulitaka ndoya yanin lamata eeeeee ebu msevu diba hapate kamazi kengine ili kamchalenji Anna muuni Awe anapooozea engine dakitari gani anasema mwamba asile mzigo mwezi weeee iyo aipo bhana diba jiongezeeee
@PriscaPius-rd3nk
2 күн бұрын
Anna sasa anakera sana aisee mume afanyiwi hivo hata kama ni ualisia ila sio huo wako,, kama unataka kumuua muue ajue sio kumfanyia mwenzako ujinga mbwa wewe nakuchukia sana anna
@OrestaNyoni-z2f
Күн бұрын
Anakela sio kidogo
@leahmanase1034
3 сағат бұрын
Ndio maana inaitwa acting,character yake inataka awe hivyo.! Kwahyo punguza ushamba, chuki,makasiriko, njaa kali inakusumbua ndio maana unasema unamchukia..kakojoe ulale.
@heavenmakulila2028
Күн бұрын
Jamani tuandamane Anna arud kuwa kichaa ili apunguze kutukela wanyakyusa
@jennymabula9973
Күн бұрын
Mwambieni kaka yenu atafute hela. Mwanaume mwenye hela hafokewi 😅😅
@EsterMajaliwa-u3b
2 күн бұрын
Huyu Anna mbona ndoa yenyewe anaipelekesha jaman😅
@EvalineMakaya
22 сағат бұрын
Ann kama mamake ndoa awawezi ni kuradarada tu mm naona hawache diba mtoto wa kiumaskini peke yake arundi uko kwao mashion akakae uko ndio hapate time nzuri ya kujitawala na kufanya vile anataka 😢😢😢😢 hapo diba akuna ndoa ni machozi na stress tupu😢😢😢😢 upo diba
@Microsoftt-i9h
Күн бұрын
Full twaipata wapi
@MedyNasr
Күн бұрын
Aseee kweli moyo ukipenda umependa ila siku ukichoka anna anna utakubar
@NeemaMichael-e7b
7 сағат бұрын
Lamata naomba anna alud kwenye Hali yake ya zaman ya kichaaa tumechoka drama zake
Diba Acha izo babu huyo mkande maana usiku anakunyima mboga bado anapanga kama yeye ndiyo mme au kukununua nyumba yeye ndiyo inakufanya usiwe na saut mbona wakat umemteka alikutiiii kila kitu mpaka mboga alitoa kaza kama mwamba
@OliverJudeey
Күн бұрын
Aloooo weee aloooh tenaaaaa
@theresiamethod6224
Күн бұрын
Lamata hapa umekosea hii scene ingewahi kuisha tu, maana Ana angepata anachostahili na Diba aachane naye ndo ingenoga ila kila siku Ana kumtesa Diba tuuuuuuuuuuu
Пікірлер: 28