mzigo Ni mzuri kwa namna ulivyoupamba Ila tazo Ni garama zake yaaani Bei hajataja Sasa tutanunuaje?
@victoriabuzare5659
Жыл бұрын
Nimemfurahia sana mtaalam
@maduhumyno8222
4 жыл бұрын
Nimezipenda pump zenu lakin mbona namba zenu hazipatikani?
@bintiiddy7043
4 жыл бұрын
Sasa hizo mashine mnauza Bei gani pamoja nahyo mipira ?
@barnabamassae9312
4 жыл бұрын
Na vile visima vya m150 tutumie pumpu Ipi?
@masalumchenya1157
3 жыл бұрын
Kwa Dar es salaam mnapatikana wapi
@ramadhaninaswadi1090
4 жыл бұрын
nahitaji hii pamp mavuno iko beigani?
@mhogomchungu7168
4 жыл бұрын
naomba price listing ya pump zenu
@daniellepari4525
Жыл бұрын
Pampu nzuri sana natamani kujua bei ya pampu mkombozi
@LusekelokyambaKyamba
Жыл бұрын
Hiyo nimekupenda mawakala wenu wapo hata sumbawanga
@fortunatus09lupenza76
3 жыл бұрын
namba za mawasiliano na bei
@rebecakwaleka8029
5 жыл бұрын
Ungeweka bei ya kila pump Ili mtu aone anaweza kununua ipi kulingana na uwezo wake
@arnoldmlokozi5642
5 жыл бұрын
Rebeca Kwaleka karibu tutakuhudumia vyema kabisa piga namba 0800110036 huduma kwa wateja
@saidramadhan1555
4 жыл бұрын
Number hazipatikn
@tadeustemba4549
4 жыл бұрын
Namba wanazionyesha hapo au mnamagengeza
@kelvinchisongela870
2 жыл бұрын
Mnaongetuuuu bei hamtaji ndo shida
@kashindekalungwana8588
Жыл бұрын
Pampu za jua
@fridayjohn2714
4 жыл бұрын
Namba mbona haipatikani
@MISHIONARYSHUKURU
5 жыл бұрын
Nimuhim sana hiyo nipe contact
@arnoldmlokozi5642
5 жыл бұрын
God First karibu simusolar. Piga bure 0800360011
@latefalatefa2664
2 жыл бұрын
Mbona hamjatwambia kama zinauzwa shingapi
@finiasmkulia6160
4 жыл бұрын
0800110036 Naomba kuwasaidia wanaohitaji hizi pampu pigeni namba hiyo inapokelewa haraka na utapewa maelezo mazuri zipo kuanzia m1 hai m 18 na zinafanya vizuri sana
@fdltvtv3914
4 жыл бұрын
Nzur nimezipenda mnapatikana wap
@OG_20
4 жыл бұрын
Karibu sana tafadhali piga namba hii bure 0800360011
@marcuskapinga4017
6 жыл бұрын
Mpo sawa mnapatikana wapi
@arnoldmlokozi5642
5 жыл бұрын
Marcus Kapinga tuko Mwanza Musoma Dar Morogoro Arusha Dodoma na mikoa jirani ya hiyo. Kwa maelezo zaidi 0800110036
@mbwetanyama1490
4 жыл бұрын
Toeni na bei bc
@selemanihussein5073
4 жыл бұрын
Kiukweli huo wimbo unanikera hadi natamani kuvunja simu yangu kila nikiusikiaga chaajabu sasa nikitaka kukasirika naendaga kuusikiliza huu wimbo sasa nakasirika mno.
@Pihansmo
2 жыл бұрын
Nyie hamweleweki mnaficha bei
@saidijafari2812
4 жыл бұрын
Maelezo meengi mpaka swali la nyuma linasaulika kujibiwa
@allyfaki8773
4 жыл бұрын
Hiyo ndogo kiasi gani
@muhdinmohammedi68
Жыл бұрын
Good
@hezronmwakyeja
Жыл бұрын
Kilimo
@jayotv2024
3 жыл бұрын
Mkombozi wa kilimo
@noelporcalp7980
2 жыл бұрын
Naitama hio inayotumia maji
@sharizammk
3 жыл бұрын
Apa lah...... Hahahahhahahahha.
@abdullipunjaje9603
5 жыл бұрын
Bei vp
@adenmahondo9555
5 жыл бұрын
Tunazipataje na ni Bei gan?
@arnoldmlokozi5642
5 жыл бұрын
Abdul Lipunjaje Tunatoa bei kulingana na mahitaji na mfumo utakao mfaa mteja tupigie 0800110036 utajuzwa vyema bei na jinsi ya kupata mifumo yetu. Karibu sana
@emmanuelywambura2006
Жыл бұрын
Habari pamp shilingi ngapi
@mariam1chuwa542
4 жыл бұрын
Being jamani za pampu zote
@OG_20
4 жыл бұрын
Karibu sana tafadhali piga namba hii bure 0800360011
@tumainikikaka2323
4 жыл бұрын
Nataka hiyo mavuno
@OG_20
4 жыл бұрын
Karibu sana tafadhali piga namba hii bure 0800360011
@francismagembe9400
5 жыл бұрын
Bei toa
@arnoldmlokozi5642
5 жыл бұрын
Francis Magembe tunatoa bei kulingana na mfumo na mfumo unatofautiana kulingana na mahitaji ya mteja. Tupigie bure 0800110036 tutakupa maelekezo na bei kulingana na mahitaj yako
@lwitikomwangobola7866
5 жыл бұрын
tunaomba bei
@OG_20
4 жыл бұрын
Karibu sana tafadhali piga namba hii bure 0800360011
Пікірлер: 52