Mbona unaachia nyimbo mwisho wa mwaka si ungesubiri January 2023 ili kuanza msimu mpya nyimbo mpya,
@ablejay6678
Жыл бұрын
Kelele zinazidi acha na biti iongee angalia nyimbo km ya George makula _magereza bonge la song na ujumbe mkubwa
@topmanyota6760
Жыл бұрын
Simamia kwny kisukuma bro make kweny matanda tunafuataga vionjo vya kisukuma tyu tukitaka kiswahili tnaendaga kwa kina diamond
@deoluyelela9770
Жыл бұрын
Juma Marco uko vizuri Mimi muuza matunda kahama Mimi pianimo kwenye video yako kiufufi nyimbo inaujumbe
@EnockKambale-mr7nj
Жыл бұрын
Ok nyimpo nzuri saana
@aronmvembezi4375
Жыл бұрын
Hongera j
@AllyRamadhan-ng9no
Жыл бұрын
Uko vizuri
@farmerlee8593
Жыл бұрын
Oj
@BrightSanaaTabora
Жыл бұрын
Nice Brother Good Job Respect Kwako Director Migera na juma marco kwama andalizi makubwa
@mashannapapaaa9582
Жыл бұрын
Safi
@AkimuMuheka
4 ай бұрын
Kali san gosha
@HasnMagar
5 ай бұрын
Nawakuballi sana wamayo hongerenisan wazkuma wote mkata kwao mtu mwaa
@jumamarco
Жыл бұрын
asante sana mashabiki zangu kwa ushauri wenu nitaufanyia kazi kwa badae kiswahili nitakipunguza nikiimba tena
@gorestudio1962
Жыл бұрын
Tuwaishie kazi mzee lakini mzee maana tunateseka Sisi warusha nyimbo
@justinemolla2632
Жыл бұрын
Wewe ni msanii watofauti sana wakusikiliza ushauri
@pauloenockjr8603
Жыл бұрын
Jeimo nakupa ya vizuri nikiwa Morogoro dumila
@musasamwel5544
Жыл бұрын
Ngudu tunakusuburi kwa hamu big
@kideboy01
Жыл бұрын
Hizo nguo za rangi nyingi hazifai kuchezewa nyimbo za kisukuma kwn Zina rangi inayo onyesha (uchafu)
@kakolaonlinetv7272
Жыл бұрын
Kazi iko poa ila kiswahili kisizidi Sana kwa sababu mashabiki wako ni wasukuma na makabila mengine ila Sana wasukuma halafu ujuwe watu huwa wanapenda Sana kisukuma chako kaka kaa ukijuwa hilo halafu nakale kasaut kayule biti huwa kana leta laza kar Sana kwenye nyimbo zako ushauri tu kaka ila nyimbo iko poa Sana💓💓💓💓💓💓💓🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻💓💓💓👍👍👍👍👍
@edwadcoplo674
Жыл бұрын
Live 💪💪
@boazimaganga
Жыл бұрын
Kakolao huyu NI msanii wa kitanzanzani usimfanye aimbe kwa ukabila hii NI nchi ya watnzania haiimbi kwa faida ya wasukuma tu acha ujinga siku ingine usiludie kuongea ujinga zako
@mwelimazozo
Жыл бұрын
Kweli washabiki wake wasukuma
@miburoconsta3766
Жыл бұрын
Pooo ^✓.hhhj L
@kakelaTV
Жыл бұрын
Kakela wa kakela mtoto wa mbeshi bweya lwezela juma Marco umefunika. Sana sana sana sana Hawa madensa umewatowa kongo yan hatali
@pauloenockjr8603
Жыл бұрын
Nakubari juma Marco karibu sana Morogoro
@johnkassanga1776
Жыл бұрын
Kazi yako safi sana umeimba umetulia sana
@yohannajr9558
Жыл бұрын
Ujumbe mzurii sana mungu azid tu kukulinda na kukutangulia ktk kaz zako 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 ##Ntuz boy og @✅
@shamilakalinga437
Жыл бұрын
nimekuja kusikiliza huu wimbo baada ya kukaa miaka 4 nikiwa hapa oman 😢 wallah nimekukumbuka mno mama yangu 😢😢
@kideboy01
Жыл бұрын
Ndekubhona natena mhayo gete
@MjBingwa-e5i
9 ай бұрын
Sana kaka huu wimbo nimeupenda sana
@amossdeus4312
Жыл бұрын
nakubal
@dannykirimba1439
Жыл бұрын
Nimeikubal ngoma ya watafutaji
@samsoniembasi114
Жыл бұрын
Nimependa kazi yako enderea kutoa vitu vizuli juma marico
@theosphilosazpilicueta920
Жыл бұрын
Hongela sana juma kwa kazi yako nzuli big up sana
@Josephsiyabo
8 ай бұрын
mc Jose siyabo mjuu wa Mzee siyabo
@charlesmboje5413
Жыл бұрын
Hongera sana mr Juma Marco kwa wimbo mzuri uliotukuka!.
@Adizowamachale
Жыл бұрын
Sema Wazazi
@MasanjaMchember
2 ай бұрын
Egix
@MasanjaMchember
2 ай бұрын
Masanja58
@EdwardJohn-qs4pk
Жыл бұрын
Mungu akunyoshee mikono katka kaz yako
@benjaminmungambi
Жыл бұрын
Nakukubali sana juma nikiwa lungalunga kenya
@djbudeba1979
Жыл бұрын
Salute,🎧🤝🤝🤝
@tithombeya5779
Жыл бұрын
Safi Sana kijana kipaji unacho kaza buti
@mwelimazozo
Жыл бұрын
Kazi kweli hongera
@brandkomanya6064
Жыл бұрын
Njoo bas bariadi simiyu
@NicolPascal
Жыл бұрын
Wawwwww 👁️🥰😗😗😗🥰
@jumamarco
Жыл бұрын
naomba sana mashabiki zangu muniunge mkono muwe Muna subscrebes ili mm nikitowa wimbo ukufikie wewe halaka maana chenel yangu bado haijakuwa
@ablejay6678
Жыл бұрын
Kelele mwamba kelele piga li song kam hili Balance Ujumbe na Bit ya kutosha
@jeniphajackson362
Жыл бұрын
Juma uko vizuri nataka nije kchexa
@jeniphajackson362
Жыл бұрын
Nataka nije kucheza
@emmanuelpaul8637
Жыл бұрын
Juma Marco hapo umegusa sana ninoma piga kazi
@mashannapapaaa9582
Жыл бұрын
Umejitahidi Sana huwa nakuelewagasana Kaka hadi
@kwigemadito3698
Жыл бұрын
Love juma uko vinzuri broo kz iendelee songa mbele ngoma Kali sana hongera sana kaka ake kiswahili nilunga ya taifa tu
@GerardMwanzalima
2 ай бұрын
Nahitaji kuidolwod hii nyimbo kwa Vidmet itawezekana?
@mpuyamasende639
Жыл бұрын
Vizuri but nyimbo zako za pnd 2015 ndo nyimbo asa
@GerardMwanzalima
2 ай бұрын
Kuna baadhi ya nyimbo hujaziachia
@febronierirabakina1000
Жыл бұрын
Asante kwawimbo mungu akubariki
@jumamarco
Жыл бұрын
mashabiki zangu bado kazi zinakuja nzuri sana naomba muniunge mkono kuikuza chanel yangu wewe kazi yako ni kusubscirabes ili mm nikitowa Kila wimbo ukufikie wewe mapema
@mashikuwilliam3015
Жыл бұрын
Juma asante sana kwa juhudi kubwa kama hiyo nakuomba kitu kimoja tu usimtukane msanii mwezako
@nkwabitz233
Жыл бұрын
Juma marcoooooo🎉
@joaonelitopundopundo1031
Жыл бұрын
Viva África 🌍
@simbalife241
Жыл бұрын
Nakubali sana Juma Marco
@jamesmuchati964
Жыл бұрын
Nice music good permance keep it upp guys
@emmanuelmswahili3162
Жыл бұрын
J mambo vp? Prado ya ding vp ulichemka kuichukua?
@arnoldsimomo4208
Жыл бұрын
I love the way thy are dancing
@deonatuscastory
Жыл бұрын
Powa
@daviessichinga
Жыл бұрын
From Zambia 🇿🇲 ♥ Tanzania 🇹🇿 music too much though I don't get the language one Africa
@CosmasmCheyo-qk5fs
Жыл бұрын
Pongez mzazi unatisha
@shimaysphehumukiza4857
Жыл бұрын
1
@MasanjaMchember
2 ай бұрын
Egi si
@twhasabaly1909
Жыл бұрын
Mavecha sana
@sidoniodosanjospereiramaia6143
Жыл бұрын
Bom
@haliidiswila
8 ай бұрын
Lakidube
@charlyngimbi3516
Жыл бұрын
hello hello viva tanzania musik de juma marco ici se charly de bundes mes felicitation du courage mbote mingi naba dancese na yoi
@sidoniodosanjospereiramaia6143
Жыл бұрын
Juma
@josekuna
Жыл бұрын
sim na nossa música muito bem
@josekuna
Жыл бұрын
❤
@bornbanda7464
Жыл бұрын
nice
@isaiahmakala3523
Жыл бұрын
Ajiu7k
@peterseleman6140
Жыл бұрын
Punguza kiswahili kamanda unapoteza maana asili ni nn
@shimaysphehumukiza4857
Жыл бұрын
À
@jthedjmusicngudukwimbatv7707
Жыл бұрын
Nice song
@minanielie8484
Жыл бұрын
Nakubali kaka kwa ujumbe mzuli burundi tunasema ongela sana
@labaikakamara9140
Жыл бұрын
Rosia ugran
@AbdulhamedAbdul-gg2vm
Жыл бұрын
Regista se muita falha yotube
@luisjaimejaime6978
Жыл бұрын
Boa música
@JonathanSibande
11 ай бұрын
Gdhjd
@NyalobiJSumbuka
4 ай бұрын
Uko vzr
@senisusanilugoye3812
4 ай бұрын
Kaka achana na kiswahili nyimbo ya asili ndo inakua safi maana kuna mabibi hawajui kiswahili wanatusumbua kuwatafasilia mimi niko dar lakini napenda sana kuwawekea nyimbo za kisukuma bibi angu akiwepo
Пікірлер: 99