Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) kamandi ya jeshi la anga (DRAGON FLY) limezindua zoezi la medani katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Zoezi hilo limezinduliwa Oktoba 22, 2022 katika eneo la Mitwero lililopo Manispaa ya Lindi na Meja Jenerali Shabani Balaghashi Mani mkuu wa kamandi ya jeshi la anga, ambapo amesema Zoezi hilo la Medani ni la kawaida ambalo ni mwendelezo wa yale yanayofanyika mara kwa mara kwa wakati tofauti katika maeneo mbalimbali ya nchini na mwaka huu linafanyika Mikoa ya Lindi na Mtwara.
Негізгі бет JWTZ YAJIWEKA SAWA KUMKABILI ADUI, WARUSHA MIZINGA, MAKOMBORA NA NDEGE ZA KIVITA
Пікірлер: 4