Simba imebanwa mbavu na Kagera Sugar kwenye Dimba la Kaitaba Bukoba kwa sare ya bao 1-1, mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara....
Ladaki Chasambi ndiye aliyetangulia kufunga dakika ya 24 kabla ya Obrey Chirwa kusazisha dakika ya 62.
Негізгі бет Спорт Kagera Sugar 1-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 12/05/2024
Пікірлер: 102