Mi nadhani ungekuwa nao siku zote Wala usingependwa hivyo ilokiwa tuu njia ya Mungu kuonyesha upendo wake kwako 🥰
@fatma1456
Жыл бұрын
Hayo ni maoni yako.kwni kila mtu anaroho ngumu kama ww😅😅
@stellamwasha1409
Жыл бұрын
Hivi mnakurupukiaga wapi
@marykatoba1440
Жыл бұрын
Una mawazo mapana wewe
@maryhanspeter8459
Жыл бұрын
Hakika brother Mfinanga hongereni sana Kwa kumpàta Dada yenu naa inatia moyo inafurahisha na inaonyesha ni jinsi gani mlikua hudhuni yakutoonana na dada yenu hamkumjua alipo hamkujua yuko hai au laa kweli ni jambo MUNGU aendelee kuwapa Moyo wa upendo huo.
@jtheophil5499
Жыл бұрын
Hongera sana dadangu mwenyezi mungu ametenda kwa wakati.Wakati wa mungu ndio wakati sahihi.
@stellakusaga4916
Жыл бұрын
Pia dada Angel abarikiwe sana ktk juhudi za kumuomba mungu amkutanishe na mamake,kweli nani kama mama!!!!!haijalishi walipotezana kwa namna gani hawa wandugu but ndo wakati sahihi wa Mungu kuwakutanisha,wakati wa jambo ukufika hakuna wakuzuia
@valenakomba9218
Жыл бұрын
Wanafanana na mama japo Mama ni mweusi. Hongereni Sanaa.
@anitamahwago4374
Жыл бұрын
Tyggffvvv
@blandinamwarabu5025
Жыл бұрын
Mama yenu ndio alikuwa na tatizo hakutaka mkutane
@ayshamahariq6665
Жыл бұрын
umeongea ukweli ndugu yangu🤔 yaan huyu mama anaroho🤔
@monicaalex1948
Жыл бұрын
Kumbe na we umeona eeh
@monicaalex1948
Жыл бұрын
Yan hat vibe lake si lile la kiiiivyoooo mtt ndo anafurah sana
@deboramassawe5143
Жыл бұрын
Yaani kwakweli huyu mama ni BOMU.
@ashuuuaisha9122
Жыл бұрын
@@deboramassawe5143 😂😂😂😂😂
@christaoman8890
Жыл бұрын
Hongera san ndugu kuonana tena❤❤
@asiamohd5516
Жыл бұрын
Pua zimefanana sana
@mwajumahamisi2006
Жыл бұрын
Bol huyo kaka kaeleza kidogo lakin hilo mama ni jangili halina hata furaha
@jasmineedamu6089
Жыл бұрын
😂😂😂😂Jangili tena😁
@catherinenjeeri649
Жыл бұрын
😂😂😂
@jamilahabibu9299
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂yooo
@alhabsi6430
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Mbona umenichekesha jangili haaa🤣🤣🤣🤣
@HidayaKarim-wy9yc
Жыл бұрын
Umefanana na dada yako kabisa ongera sana
@marundakisaka2637
Жыл бұрын
Ukweli hakuna sababu ya kutafuta mkosaji hapa, cha kufanya ni kushukuru Mungu na kuendeleza maisha
@jonamnyone8014
Жыл бұрын
Sijaelewa jinsi walivyotenganishwa ila nahisi aliindoka na baba, yaani baba na mama walitengana. Nadhani taarifa haijakaa vizuri kipi kiliwatenganisha, je alipotea? ama alichukuliwa na mzazi mmoja baada ya kutengana....
@zainabwage4658
Жыл бұрын
Baba na mama walitengana na baba akamuomba mwanae amlee alikuwa na umri wa miaka2 hawakuonana tena mpk sasa mtt anamiaka 41
@emmycharles8463
Жыл бұрын
Natamn kujua pia chanzo chake ilikuwa nn
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@emmycharles8463 baba alitaka mwanae ndo akamuacha yy akaondoka
@happymilangasi5904
Жыл бұрын
@@emmycharles8463 story kamili ilianzia leo tena kipindi cha clouds kiko hapa youtube jaribu kusearch utakiona
@VeronicajTemba
Жыл бұрын
Ww hujafuatilia tulia
@naimarishedy1523
2 ай бұрын
Hakuna mkamilifu duniani mama asilaumiwe kikubwa ni ibafa kumshukutu mungu🙏
@aminamavura6834
Жыл бұрын
Enjoy yeye mweupe jamani sijui Kafaanan N mshua
@leokamil6284
Жыл бұрын
Huyo ni Kaka wa Mama mdogo
@sifaupindo
Жыл бұрын
Baba ake ni wasingida
@Luckyme-b4i
Жыл бұрын
Huyu mdada anaupendo ❤️ Angela. Hana haja ya kujua walitengan kwa lipi yeye anamtak mama ake bas
@alhabsi6430
Жыл бұрын
Masikini anafuraha kweli
@jovanafidelis2802
Жыл бұрын
Dah wamefanana sana dental formla aisee.mdomo ni sawa sawa
@ayshazambia6509
Жыл бұрын
Mashaallah mungu mkubwa sana
@ifadatalizam8607
Жыл бұрын
Huyu mama sjui km sio mchawi mn hta yale mapenzi ya mama kwa mtt hana….mama mtt wako miaka 40😥😥hta kwa kusota angefika dar lkn mhhhhh Allah anisamehe kwa kumwita mama wa watu mchawiii lkn ht km sio mchawii ila na features za kichawi
@jamilahabibu9299
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅🫵
@praygodmtui1407
Жыл бұрын
Be blessed mfinanga family vyote Kwa vyote mnajitambua Ila ni uzembe wa wazazi tuu pia shule imechangia na nyie mkafikia malengo yenu
@hawaamohammed6687
Жыл бұрын
Huzuni kubwa sana imechanganyika furaha nashangwe kubwa
@humphreymkony8915
Жыл бұрын
Mungu ambariki sana huyu mdada.
@danieljoseph1610
Жыл бұрын
Alipotea vip? tupe mkasa mzima!
@saumusalimuhassan2499
Жыл бұрын
Mashallah, Mashallah
@sianamushi3574
Жыл бұрын
Mungu azidi kuwakutanisha nawengine tena
@MwanaishaHemed-xi6rj
Жыл бұрын
Mungu mwema 😍❤️
@ukhutfatumah1154
Жыл бұрын
Mashallah mbk nimelia kwa furaha jmn
@achouraachoura5763
Жыл бұрын
Kaka kafanana na mamake masha'allah 💓
@leonardinabalenzi4005
Жыл бұрын
Hata Angel namna anavyotabasam anafanana nao 😍😍
@sabihahamadi2287
Жыл бұрын
Mashaallha mwenyezi mungu ni mwema
@nantaembanusurupia5674
Жыл бұрын
Mmefanana sana hasa pua😂😂
@sifatiiman
Жыл бұрын
hata lips
@marundakisaka2637
Жыл бұрын
Mnafanana sana aisee, Mungu awalinde
@victormtauwa4687
Жыл бұрын
Naomba no zenu
@preciousprince9159
Жыл бұрын
Naombeni namba ya clouds
@hildaernest1090
Жыл бұрын
Ila mama mzazi wa enjo anamoyo kabisa kweli uzae mtoto uumpe baba sio mbaya ila toka hapo ata usifatilie mtoto wako ata kumuona jamn,uyo mama anajikaza ila aibu anayo sana ni vile tu mtoto anahamu nae,,,mama ulieingia leba jmn utafutwe na baba je itakuwaje,Pole enjo kwa kumpt mama ako
@christophernzige3913
Жыл бұрын
Mungu awabariki wote
@salimmwinyihaji7172
Жыл бұрын
Hatari hii. Imagine hawa ndugu wangekua wapenzi😢
@zuweinaalhabsya8773
Жыл бұрын
Mashaallah wamefanana Sana
@zuzuutv8782
Жыл бұрын
wanafanana saaana, dental formula sasa aisee
@jovanafidelis2802
Жыл бұрын
Kabisa,
@judithhmakao
Жыл бұрын
Hongera kukutana
@jacksonwilson5772
Жыл бұрын
Mi nmependa huu upendo jamani. Ama kwa hakika huu ni wakati mwafaka wa kukutana na ndugu zako. Huenda msingetengana nao huenda ata wasingekuzingatia, mshukuru MUNGU kwa wakati huu sahihi kabisa na kwa upendo wa ndugu zako, familia zingine ndugu wangevuta midomo iyo adi ingewaanguka kwa kuchukia.😂
@bahatirobert1009
Жыл бұрын
Wamefanana sana
@eashaeasha9776
Жыл бұрын
Haswa mdomo mbaka Meno ya mbele
@andrewlimbe-vo8tg
Жыл бұрын
Aah hapo kuna kitu hakiwekwi wazi ,frankly speaking kuna matatzo kwa wazazi ,haiwezekani miaka yote hio mama hakumtafta mwanae pia mtoto alikua hamtafti mama yake,,lait kama mgeweka wazi kila kitu,,mgeisaidia jamii ,
@gloryndakidemi3243
Жыл бұрын
Teacher mfinanga hongereni
@collinmhema5443
Жыл бұрын
Naomba namba za huyo dada nimpongeze
@marthajohn9120
Жыл бұрын
Raha sana kumshukuru Mungu wote mko wazima na kuonana tena
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
Mapenzi ya mama yake aliyokosa akiwa Mdogo hawezi kuyapata tena it is too sad, Tz mngetunga sheria ndoa au mahusiano yakivunjika mtoto abaki kwa mama maana mtoto ni wa mama Ukiangalia kwa undani ni mama ndio anajua nani ni baba wa mtoto, na hamna mwanaume au mwanamke wa kambo anaweza kumpa mtoto upendo wa mama kama mama yake wa asili. Kuna kitu cha kujifunza hapa . Baba yake huyo alifanya kosa kubwa kwa kumkosesha mapenzi ya mama yake
@georgekibassa4720
Жыл бұрын
Hapana. Hapa naona baba ni mtu mwenye roho nzuri sana. Inaonekana mama ndiye aliyemsusia baba mtoto akaondoka. Baba huwa hawazuii watoto kwa mama zao ila mama huyu anaonyesha alijenga chuki kali sana kwa baba hata hakutaka akae na alama yoyote ya kuwaunganisha na huyo baba. Akina mama walivyo na upendo kwa watoto angalia hakuweza kutaka kujuwa mwanaye yuko wapi kwa miaka 41 hiyo siyo kawaida. Ni kwasababu ya chuki aliyokuwa nayo kwa baba wa mtoto. Mimi nasema Baba wa dada huyu ni mtu mnzuri sana. Kwanza angemkataa dada huyu tangu mimba hadi kuzaliwa mtoto
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
@@georgekibassa4720 unaongea usichokijua tunaongelea miaka ya zamani mawasiliano ya ovyo haki za wanawake zilikuwa hamna , huwezi kujua huyu mama alitishwa nini au alifanywa nini na huyo baba , lazima kuna sababu kubwa ndio maana kama imekuwa hivyo . Mama amesema alimtafuta mtoto wako ili alishindwa kumpata na huwezi kujua msongo gani wa mawazo huyo mama amepitia
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
@@georgekibassa4720 huyo baba hana roho nzuri angekuwa na roho nzuri amgemtafuta mama wa mtoto mtoto akiwa mdogo ili mtoto apate malezi ya mama yake wa kweli na sio mama wa kambo !
@mabrozacpmstancesa1207
Жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 Kulingana na stori alivyoongea dada baba aliwahi kukutana na mama wizarani lakini mama hakuonyesha haja ya kutakakujua mwanae alipo maana hakuchukua Ata contact ya baba
@donaldnzigo1730
Жыл бұрын
Arusha banaaaaa.kwa mtukio tu aaaaaa mko vzuri
@marykatoba1440
Жыл бұрын
Na wanafanana midomo na meno ,damu nzito sana
@EzekielMichael-mv8ij
Жыл бұрын
Naomba namba ya adija
@janemhangomhango5841
Жыл бұрын
Wanafanana kumdomo
@anethmollel6564
Жыл бұрын
Watoto wake wako wapi????
@loishiyesamwel1374
Жыл бұрын
Hapa mwenye tatizo ni huyu mama ,kwani si alijua ni Nani alizaa naye? Alikosa utu huyu mama
@lightnessmariki4313
Жыл бұрын
Midomo yenu inafanana sana.
@erizahashimu2100
Жыл бұрын
Hakuna kama mama jamani
@elieneapalangyo6938
Жыл бұрын
Lakini kuna sehemu ambayo mambo ni safi kwa upande mwingine hizo shangwe siyo za kawaida
@masoudmasasi1801
Жыл бұрын
Dada anaonekana mambo safi
@mwanjinzara8009
Жыл бұрын
Hivi kwan wamezaliwa baba mmoja au ndo wamekutana kwa mama
@theafricaiknow6615
Жыл бұрын
Wakati Angel anazaliwa tayari mama yake alikuwa na watoto watatu. Angel ni wa nne kwa mama yake na ni wa kwanza kwa Baba yake
@aishaomarry6996
Жыл бұрын
Ka Enjo kanadeka hako damwanii.
@annamitumba3981
Жыл бұрын
Sema ungekua huna sura ya pesa usingependwa hivyo😂😂😂😂😂😂
@masoudmasasi1801
Жыл бұрын
dada anaonekana mambo yake mazuri ana sura ya pesa ahahaaa
@KADALAtv255
Жыл бұрын
Kwani mlipotezanaje? Mimi siwaelewi miaka miwili aje?
@user-zm8nr9hu7i
Жыл бұрын
Sasa hao watu mpaka miaka arobaini jaman
@GsmtzOriginaltz-fo8yy
Жыл бұрын
Uyo sister mbona mzur ivyo
@masoudmasasi1801
Жыл бұрын
halafu ana miaka 43 ahaha
@jamilahabibu9299
Жыл бұрын
Sana❤❤❤❤
@majigwajohnsonndillah2405
Жыл бұрын
Hayo ni makosa ya Mama yenu palikuwa na tatizo kubwa kati ya Mama na Baba yake
@modestamanyerere3545
Жыл бұрын
Mama ndiyo akupenda kumutafuta motor wake mungu akubariki Dada kwa upendo wa kuwatafuta ndugu zako
@njuka3515
Жыл бұрын
Hata mimi nashangaa kwanini hata mama asimtafute huyo mtoto?
@salummbunga4167
Жыл бұрын
@@njuka3515 mama alisema kuwa alikutana na baba angel wizarani baada ya miaka minne ya kumuachia mtoto so akamuulizia kuhusu mwanawe lakini baba angel akawa na majibu ya kurusharusha mwisho akamkimbia, hapa inaonesha baba ndio tatizo
@WaziriRamadhan-ML
Жыл бұрын
Kumbe ni mtoto wa mama mkubwa na mdogo!mi nilijua ni ndugu wa kuzaliwa tumbo moja
@Mpakauseme
Жыл бұрын
Ni ndugu hao wa kalibu sana na tazama sura zao wote jinsi wanavyofanana
@hellendaniel3809
Жыл бұрын
We nae kiazi
@monicambuya-sq9ms
Жыл бұрын
Kwani ilikuwaje miaka 40 mama na mtoto wasionane?na mama yake alimuacha wapi?
@easternyerembe7271
Жыл бұрын
Yamenikuta hayo
@monicambuya-sq9ms
Жыл бұрын
@@easternyerembe7271 pole
@verombwambo3703
Жыл бұрын
Wanafanana sana midomo
@sifatiiman
Жыл бұрын
kabisa
@wettykznznhuioploko1571
Жыл бұрын
Kaniuzitu ajavuwa mewani
@AK-rd5zr
Жыл бұрын
Hawa mandugu nikwamba wako na baba tofauti ama babayao ni mmoja?
Пікірлер: 127