Kama umerudia kuusikiliza zaidi ya mara kumi piga like ya nguvu hapa R I P PREZOO
@palagway5914
3 жыл бұрын
@Kase Winston it song,hiindo nyimbo yakuomboreza Kwan saut sahh,amen.
@onesmongenzi3471
3 жыл бұрын
One six, brother wewe ni hatari, Mungu azidi kukubariki
@mcfallenmacha9611
3 жыл бұрын
Dah Bonge la Ngoma, Huyu mwamba alopiga hii chorus is Dope
@williamschangala6200
3 жыл бұрын
One six nouma sana
@davidwalalason7630
3 жыл бұрын
One six the Best lyricalist
@ikungasyamwakitalu6540
3 жыл бұрын
Bonge la chorus
@yohanamichaels
3 жыл бұрын
Ila one six we Jamaa hapana brother ur Jus Killing in every Chorus bro damn R.I.P Uncle Magu
@irenebarton235
3 жыл бұрын
Hiyo corus hapana yan ndo imeniliza mpka kamas,R.I.P LEGEND PRESIDENT DR.JOHN JOSEPH POMBE MAFUFULI daima tutakukumbuka baba
@eliaschilemu8066
3 жыл бұрын
Hii ngoma Kali bonge la kolabo, One 6 wewe jamaa ni fundi sana koras inaniliza sauti yako hakuna tz
@vladimirputn1809
3 жыл бұрын
R .l.P Dr john Joseph pombe magufuli pumzika baba Twajua tutakukumbuka Daima😭😭😭😭
@mtalianoofficial2147
3 жыл бұрын
Vocals za huyu kaka..waaaaah ..klaa kama kawaida umeifanyia mauaji biti
@alverztv6272
3 жыл бұрын
Hivi kweli unaenda baba ... Rest in peace jembe , jemedari vita umevipiga ..... 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@derrickdeo9137
3 жыл бұрын
ila one six aliekuloga cjui nan mbona unajua mpaka kero ila dah! kuna m2 kashikilia nyota yako c bure bt one day yes R.I.P Champ 🙏😥
@raymondsamson6543
3 жыл бұрын
One 6 atari, kala always the best
@dvjmiloow6604
3 жыл бұрын
Kaka najua hii umefanya haraka , kuwahi Msiba, But this song ina hitaji Proper video ni nyimbo kubwa sana.ni nyimbo ambayo ni kama maktaba ya vizazi vijavyo. pls shot video yenye kuelezea hayp ulio yaimba. #MyFuturePresident.
@titomsami4737
3 жыл бұрын
R. I. P JPM. One six umeliza kwenye corus
@chibodee447
3 жыл бұрын
Kaka kala the best emcee mwenye alisifiwa na mama samia na anko magu
@danielwilfred2609
3 жыл бұрын
RIP to our former president, Kama mmenotice one six anakuja kwa kas sana amna kiitikio alichoznguaa Big up kala for the collabo + one6
@irenelicky5901
3 жыл бұрын
You will always be my favorite Artist,.... Rest in Paradise soldier🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@stephenmwanzake
2 жыл бұрын
Yani ngoma hii nimeitafta sana, niliicheki mara ya kwanza Kwa Wasafi Tv. Napenda hiyo violin Kwa umbaaaali, Bars na Vina mia Kwa mia, heshima kala One Six chorus punch hatari, hizo background vocals zinazama sana. #RiPMagufuli, mziki huu utaishi. More Love from Kenya 🇰🇪
@johnmwidete5499
3 жыл бұрын
One six is new king of chorus
@gladymsuya1310
3 жыл бұрын
jamn hii nyimbo n nzur one six 🙌
@abduldandy3077
3 жыл бұрын
Nyimbo bora ya maombolezo,heart touching 💔 #like kama imekugusa👍
@samwelimadaraka4358
3 жыл бұрын
Like kwake one six
@ridermc7734
3 жыл бұрын
Wakwanza ku watch GONGA like
@ramdhanzuberi5522
3 жыл бұрын
ameee nakukubali Sana kalajelemih
@ramdhanzuberi5522
3 жыл бұрын
unajua kaka unnatural sana
@eggysulle7988
3 жыл бұрын
Jmn one six saut unatuliza mno mhhh mashair ya kala apana😭😭😭
@noelmtafya5707
3 жыл бұрын
Rest in Power JPM
@nazalenolupola1932
3 жыл бұрын
Hv uy one six kabilagani da mwamba anajua mpka kero duuuuuu ongera broooo
@paskaziambokeji2130
3 жыл бұрын
One six uko vzr jmn
@georgewilson8944
2 жыл бұрын
Mgogo
@leonardkabuti6932
3 жыл бұрын
Kaka kala hii ngoma ina ujumbe kuliko zote zilizo tangulia
@allymwananyamala4386
3 жыл бұрын
Nyimbo zote walizo mwimbia hayati jpm hii nyimbo ni namba moja
@jutzmuzickenya
3 жыл бұрын
This is the song that should be trending at number one ,good song
@goodlucklinus141
3 жыл бұрын
So much pain men!!! This song is killing us Softly ....Bonge moja la ngoma ...Rest Easy King Magu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇻🇺🇻🇺🇻🇺🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fabianmallya1446
3 жыл бұрын
Good Music speaks to the soul. I like this song so much.
@amanhauli7032
3 жыл бұрын
One 6 corus imesimama watu wanazimia uko kwa feeling za hiyo corus big up broo
@matogwa_art23
3 жыл бұрын
One six by moja ya vocalist wazuri tanzania 🇹🇿
@imanijohn9032
3 жыл бұрын
Rest In Peace Magufuli
@bakarininga4100
3 жыл бұрын
One six
@joemariki8872
3 жыл бұрын
One six, chorus killer
@bakarininga4100
3 жыл бұрын
One six
@enerlisaedward8098
3 жыл бұрын
Ipo siku Dunia itatambua uwepo wako kala elewa ww ni zaidi ya msanii
@officialSkuBy
3 жыл бұрын
Chorus hii usipojikaza inakutoa machozi sanaa
@steringnswana1133
3 жыл бұрын
One six asee Jamaa unajua bonge la ngoma R.I.P magu
@palagway5914
3 жыл бұрын
One six ninoma Sana anaimba sana
@pendondossy4181
2 жыл бұрын
One six mpk Amelia
@richvanrobby
3 жыл бұрын
Umefanya moyo wangu uumie mpaka basi JPM alikua mtu wa watu kipenzi cha watu mtete wa wanyonge japo binadam hatujawai kukamilika kwa kila idara hila mungu ailaze roho yake mahara pema peponi🙏🏽🙏🏽😭
@r_media8022
3 жыл бұрын
One 6 sijawain kuona anakosea mwny kiitikio uyu jamaa 🔥🔥🔥🔥
@_.andy1andy685
3 жыл бұрын
Vocalist @onesix. Rest easy champ
@Toddax_Tz
3 жыл бұрын
Fam
@vinmasoud7275
3 жыл бұрын
One six ,the chorus killer
@komboomar8275
3 жыл бұрын
*Huyu One six ameshindikana dunia mzima kwa kutembea na chorus yaani jamaa anauwa hatari*
@marthabubele4989
3 жыл бұрын
Dah i feel this song too damn much... Listening to it now. Touching.. r.i.p to all our loved ones..
@bigitwo4004
3 жыл бұрын
Nice kalla,,,you killed it bro
@dianasamweli8519
3 жыл бұрын
Wosia wako baba unanichoma adii rohoni ivi kweliiii unaenda aaaaaaaa baba unaendaaaaaa🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@mwalysmodel8232
3 жыл бұрын
ONE 6🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@osiahstimah
3 жыл бұрын
One six kafanya nilie duuuh #rip mguuuu
@husbaroonlinetv8813
3 жыл бұрын
Bonge la chorus
@mohammedallysingano5771
3 жыл бұрын
Rest in peace ,🙏🏻
@rosemaryminja5813
3 жыл бұрын
🇹🇿💔🙏Rest In Peace Our President One Six Chorus imenigusaa sana😢
Huyu ONE SIX ana roho mbaya sana, kamfanyia unyama Kala jeremiah, kamnyang'anya wimbo
@youngrappertz1754
3 жыл бұрын
Dah kaka kalajelemaya huu wimbo unanitoa machozi kila napousikia
@BabaDmD
3 жыл бұрын
Aliesikia sauti kama ya jux gonga like...
@eliaschilemu8066
3 жыл бұрын
Jux hawezi panda hapo kwenye kweli unaenda baba unaenda hiyo tunaita Head Voice jux hawezi kusukuma hagh pitch
@johnsilima1629
3 жыл бұрын
@@eliaschilemu8066 da huyu mwamba nimemkubali aisee kwa chorus hii hadi machoz yananilenga
@charlesnginila3334
3 жыл бұрын
Huyu jamaa analeta ushabiki wa kitoto,hapa tatushabikia ubana upua jinga wewe shenzi kabisa
@charlesnginila3334
3 жыл бұрын
Kaimba nn jux sikuizi anabebwa tu ,kajinga wewe kumanyoko,kashabikie choo sie tuna msindikiza magu ,akili zako kama za tundulisu
@BabaDmD
3 жыл бұрын
@@charlesnginila3334 wewe haujielewi man umeona Mimi hapo nimesema ameimba jux au nimetolea mfano Mbona unakuwa kubwa jinga rafiki angu Alafu ujue wee ni msela mavi tu nilidhan unaakili ILa ukikua Utaacha tu Pengne Akili ya utoto inakusumbua ndo Mana unatukana ovyo ovyo tu bila mpangilio Malaya wewe... Kila comment unataka uliply
@leonardsutta5596
3 жыл бұрын
1_6=Kaua kinyama alaf kinyamwezi sana
@nehzreal7445
3 жыл бұрын
Jamani One six mbna kama vile ben paul....enway mr.storytaler wa bongo kazi nzuli
@davidkamando9630
2 жыл бұрын
Daah.... Basi tu kwakweli.... 🥺🥺
@saluten5926
Жыл бұрын
Dah Kala NAKUBALI KINOMA kaka
@abdulazackabdul1894
6 ай бұрын
Endelea kupumzika kwa amani Hayati John Pombe Magufuli
@godrickmigella9451
3 жыл бұрын
Daa One six umeimba corus kali sn
@24worldnewzupdates71
3 жыл бұрын
Daaa gani kalla na One six hatariiii,weka like kama unawakubari hawa jamaaa
@ephesongailo8564
3 жыл бұрын
One six wewe Ni mnyama, Jeremiah tunakujua kitambo hatunashida..... Maaana kitambo madini unatema. RIP JPM
@samorasamsonmazira9795
3 жыл бұрын
Hongera sana Kala, wengine wameimba nyimbo wameimba zinao kufa baada ya maomboleze lakini wewe umeimba nyimbo nzuri yenye ujumbe mzuri inayo ishi na inaweza kumfaa yeyote.
@violintz
3 жыл бұрын
Sixxxxxxxxx onee
@doreenituwe197
3 жыл бұрын
This is a very nice song. Well done!
@ahimidiwembonica6164
3 жыл бұрын
🔥 r.i.p baba yetu
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
3 жыл бұрын
R.i.p #JPM 😭😭😭😭😭......... Wosia
@patrickdonald336
3 жыл бұрын
Damn one six, chorus zako ni 🔥🔥🔥
@Bonifacemagus
Жыл бұрын
Hiyo chorus blood daaah, nakosa la kusema. Ila mzee acha akapumzike milele najua huu ujumbe vitakuja kusoma vizazi vingi sana huko mbele ili kujua alikuw mtu wa aina gan, kifupi alikuw mtu wa aina ya mbinguni over.
@fredyrobert8751
3 жыл бұрын
unajua sana kaka, RIP JPM.
@isakaramadhani613
3 жыл бұрын
One six daaa unanizidishia machozi
@robertbungera510
3 жыл бұрын
Daaah wimbo wa hisia hadi machozi yanatoka kwa kweli big up kala jeremaya
@godfreylekasango3789
3 жыл бұрын
One six!! 🔥 R.I.P Magu
@williammakoye9229
2 жыл бұрын
Mama kashafeli huku, rip Magufur😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@dadyshunaydah9421
3 жыл бұрын
Chorus Kubwa Sana Chorus Killer Moja Sita📌
@mkingasana400
3 жыл бұрын
Rip jpm our prez
@mjubamasawe3723
3 жыл бұрын
Ivi kweli unaendaaaaah
@jeremiaholtetia1435
2 жыл бұрын
Mungu akulinde sana my brother
@deogratiouswestornwipson3201
3 жыл бұрын
Pengo la Steve Rnb ni One six kwenye chorus
@boyjopar8717
3 жыл бұрын
Huyu Six kwann hapewi heshima!😩😩😩
@kurunziborastar8183
3 жыл бұрын
Very touching brother.nakukubali sana
@sidesuleiman3903
Жыл бұрын
Umetishaa sanaaaaa haishi laza mpaka kesho brother we ishi tu huna bayaaa
@makonyolanyoni6778
3 жыл бұрын
Heavy duty vibes
@ipyanamwansasu8567
3 жыл бұрын
Nan kaskia kama mm... Sauti ya one six inaanza kufanan na ya jux kwa mbaali
@testerguy4101
3 жыл бұрын
R.I.P BABA JPM 😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kingsuleiman7201
3 жыл бұрын
Nyimbo Kali ya maombolezo tukiacha unafiki
@bongorekodi3242
3 жыл бұрын
Dar. one six unajua mpaka BA's mpaka machozi
@kibegicomedian1096
3 жыл бұрын
😭
@oscarmenas950
3 жыл бұрын
One sex umeimba kwa isia Kali mpaka unatuliza daaa kwaeli baba
@williamnyolobi6841
3 жыл бұрын
koma one six hi nyimbo nibora kuliko zote za maombolezo
Пікірлер: 271