😢😢MA SHAALLAH. SAIYID WANGU AIDARUSI Asante kwa maneno kuntu
@abdallahhalifa5860
Жыл бұрын
Mashallahu Allah awabariki Masheikh wetu wallahi Kalima mzuri ikianzia kwa Al Allama Sayyid Al Hassan ikimaliziwa nakijana wetu Mashallahu Sheikh Sayyid Idarus Alwy Mzee Mwenye Allah awajaalie Kheyr
@eshasalim1471
Жыл бұрын
MashaLLAH MashaLLAH Allah awabarikiye ndoa Yao na Awajaaliye mawadah wa Rahma Ameen yaaRABB
@hutiswalehe2444
11 ай бұрын
Jamaa ni mshia ila ana ilim nyingi sana cjui ni kitu gn kimempeleka ushiani
@jailaniramadhan1788
Жыл бұрын
ahsantum
@ashrafkhamis-du7rr
Жыл бұрын
Mabrouk Alf mabrouk
@AnoeshiMohd
11 ай бұрын
Mshia huyu!!!
@abujamalaalghammawiy7470
Жыл бұрын
Huyu Aidarus si ndio yule mshia??
@huseynmaitaya9002
11 ай бұрын
Hatushangai hili sindio kawaida ya masufi kuwafanyia waislamu tadliys udanganyifu huyu ndie walio kua wame kaa kikakao na akina kishki kuusema ushia leo kiko wapi Aidarus huyo hapo yupo nae
@abujamalaalghammawiy7470
11 ай бұрын
@@huseynmaitaya9002 Kwani wasio masufi hawakai na makafiri kabisa?? Hata answar kina kishki, masalafi kina mafuta na wengine hukaa na makafiri kabisas sembuse mashia ?
@huseynmaitaya9002
11 ай бұрын
@@abujamalaalghammawiy7470 sie sio answari sie masalafiy, kwanza utambue hilo, na kuna tofauti kubwa tu kati ya watu wawili hao , na la muhimu si kumuangalia kishki wa mafuta kwa sababu hawa nao ni watu watakao ulizwa juu ya matendo yao , sawa yawe mabaya au mema, na kukosea kwao Ikawa ndio yafaa wengine kuyafanya makosa hayo kwa kua eti nao wana yafanya hayo makosa , halafu , wasema kasimu mfuta akaa na makafiri ! Wapi onyesha video yeyote ikionyesha hilo , halafu pia, wewe haujui mashia ni makafiri sasa makafiri wapi hao unao wa sema , ukafiri wao sikiliza masheykh zako wakisufi wakizitaja sababu za ukafiri wao kama vile Muram mziwanda, Na huyo Izzu diyn wa Mombasa na hata huyu hapa kiufupi masufi nyie ni punda tu wa mashia wana pupandeni (kukutumieni kwa haja zao ) muda wowote wanapo kuhitajini , isipokua mara nyingine mna kata kamba ndio inatokea nyie kuwasema na kuwashambulia , kwani umesahau kikao kilicho lalika mwaka jana au mwaka huu mwanzoni dar es salaam na mashekh wakisufi pamoja na huyo kishki wa mchongo maana nae ni mwenzenu tu, na wengine wengi wakuto mombasa , leo ime kuaje wana karibishana kwa mapenzi makubwa kiasi hichi , halafu Wallaah wewe leo utaweza kukaa na mtu anae kutukani mama yako kua ni malaya? na kumuita , baba yako kafiri , Na kusema pia mama yako ni kafiri mtu wa motoni? Na hali ni muislamu! Bila shaka hata akikualika huwezi kwenda bali hata , ange kualika rafiki yako ukamkuta huyo mtu hapo nadhani kwa mtu alio sawa kiakili na kifkra hawezi kuendelea kukaa katika mualiko huo, sasa huyo ni mama yako Na baba yako, je mkeze mtume Allaah awaridhie wanatukanwa na mashia na mnawakumbatia kama hivi nakushirikiana nao Tena si kushirikiana katika mambo ya kawaida bali ni katika mambo ya kidini ambapo ili dini yao ikamilike ni wamkufurishe Abuu bakar, Na Mama yetu (sie Masalafiy) ndio ni mama yetu kwa babu sio tunampenda kila atakae mpenda na kumueshimu na tuna mpiga vita kila anae mchikia na kumkoea heshima na adabu, na yeyote atakae muunga mkono, kama nyie masufiy , Allaah aamiliane na nyie kwa uadilifu wake
@huseynmaitaya9002
11 ай бұрын
Kwa haya sasa ukuondoa ushabiki utaona kua nyie masufi, hamumpendi mtu, bali ni madai tu mwapenda ubwabwa , ndio maana kwanza mwawaenzi maadui zake na maadui wa familia yake ( mashia) na kuwatetea kama unavyo fanya wewe kime kuuma nilipo onyesha ubaya wa kukaa nao, ambapo halijakuchukiza jambo lao la kumtukana Mama wa Waumini Aisha Allaah amridhie, sasa mapenzi yenu masufi yako wapi kwa mtume, waongo nyie , au mapenzi yenu ni kukata viuno na kula ubwabwa ? Acheni uhuni nyie katika dini dini yetu si ya kukata viuno peleni hukooo makanisani , mnako semaga eti haleluya maana yake ni laa ilaaha is llaah , duuuu nyie masufi mna mabalaa mara mitano ishindwe kwa jina la Yesu salaa lah kwa hiyo mara mko kwa wakiristo mara kwa mashishia na wote hawa ni makafiri kwa mijibu wa uislamu, utake usitake,
Пікірлер: 15