Keep it up OMO wewe ndio nahodha wetu na Allah atakusaidia... Allahumma ameen Allahumma ameen
@mukhtaromar-g5p
4 ай бұрын
tunakupenda tunakukubali kiongozi wetu ❤❤❤❤❤❤
@salyali7807
Жыл бұрын
Maneno mazima OMO... you are the best of the best
@alexmalindo8179
Жыл бұрын
Ila viongozi wa Tanganyika hawa watu munawan'gan'gania wa nini, yaani hakuna tunacho pata kwao zaidi ya mipasho , jamani hata ndo zinavunjwa ikibidi na CCM musome alama za nyakati, muungano hautufai tena , zaidi wazanzibar ni wabuguzi kwa watu wa Tanganyika. Ila bado tunawataka wa nini viongozi someni alama za nyakati. Muungano uvunjwe Tanganyika hatuutaki.
@AliSalim-yu4mo
Жыл бұрын
Zanzibar wabaguzi!kama kudai haki ni ubaguzi na iwe hivyoo!
@JumamahindaKhamis-xk1de
Жыл бұрын
Hashuolo chogolo
@salyali7807
Жыл бұрын
@@JumamahindaKhamis-xk1de 🤣🤣🤣
@AliSalim-yu4mo
Жыл бұрын
Tumeburuzwa siku nyingi na tumevumilia sasa eti kuna wapuuzi wanasema Zanzibar wabaguzi!duuu!lkn Watanganyika wanavyosema Wanzibari Wawili wanataka kuuza mali za Tanganyika!hii kwao ni sawa! badi kama ni hivyo na iwe hivyo
@oliviaseth4652
Жыл бұрын
Hakuna tunacho pata wa bara, tuvunje tu muungano
@HamadiZakaria-dd7vv
Жыл бұрын
Endelea baba makamu wa kwanza tunakutegemea
@mimiraia2531
Жыл бұрын
Sanhedrin tu kuwa; NJE YA MUUNGANO, PEMBA NA UNGUJA HAZIWEZI KUWA IMARA KWA HIYO ZANZIBAR YAO. WABAGUZI WAKUBWA HAWA,
@alluabdallah6893
Жыл бұрын
ubwa wewe imesimama katavi iweje ishindwe pemba pak wewe
@mwigaadam1179
Жыл бұрын
Maneno kuntu❤❤❤
@KhamisiKhaji
Жыл бұрын
Kuchaguliwa kila siku inachanguliw lkn hawatoi kila siku kesho kesho mpaka viongozi muhimu wakufa km uchanguzi kweli waje wasimamizi wa njee kusimamia lkn kwa sisi haiwezekani
@chumhaji6787
Жыл бұрын
Hovyooooooo
@Khamisalih4g
7 ай бұрын
Ww una adabu, hujuma inafanywa tangu kuundwa kwa CCM, ww hujui ki2 kaa kimnya ci uko tayary kula udongo SC 2natafuta basmat 2le
@oliviaseth4652
Жыл бұрын
Hatutaki muungano sisi watanzania
@mimiraia2531
Жыл бұрын
Wanahamu kubwa kurudi kwenye utumwa wa WAARABU wa Oman. HAWANA lolote MIDEBWEDO HAO. FULLY OF BOOSHITS
@alluabdallah6893
Жыл бұрын
hio ndio amali yenu kuchukia uislam
@Khamisalih4g
7 ай бұрын
Bora kurudisha utawala wa Oman 2takula tende na maziwa kuliko kukaa na wanyamwezi tukala sembe bila mboga na tende zime stawi uku heheee we kaa2 apo ulime mahindi
@bekabeka-ww2mn
Жыл бұрын
broo unaongea kama mwanasheria , siyayasa Zanzibar utamfajamu,kwenye uchaguzi , ila mpitwa wako sayari nyengine
@daimothman1045
Жыл бұрын
Tunaiman na ww rais wetu mtarajiwa
@chumhaji6787
Жыл бұрын
Yagujuuuuuu
@godwinkileo7702
Жыл бұрын
Mimi nataka muungano uvunjike hata sasa hivi
@salyali7807
Жыл бұрын
🤣🤣🤣 ama kweli ushachokanao
@khatibal-zinjibari6956
Жыл бұрын
MUUNGANO MWISHO CHUMBUNI
@KhamisiKhaji
Жыл бұрын
Kidogo kidogo tukiitia mikononi bandari na mengine yatakuja tu
sisi ndio tunaomba zaid kuliko nyny wachafua Zanzibar
@Khamisalih4g
7 ай бұрын
Sisi 2naomba kama leo uvunjike mana makanisa yamejengwa kwa ajili ya wata ganyika madanguro, mabaa,,na mabalaa mengine asilimia 80 wanao ongoza ni watanganyika😋😋😋😋
@Khamisalih4g
7 ай бұрын
Sisi 2naomba kama leo uvunjike mana makanisa yamejengwa kwa ajili ya wata ganyika madanguro, mabaa,,na mabalaa mengine asilimia 80 wanao ongoza ni watanganyika😋😋😋😋
@rashidhamad3308
Жыл бұрын
Mbona inaganda
@simonikulwa9375
Жыл бұрын
Muhimu kuwa na Katiba MPYA NI SURUHISHO.
@ahmedalbalooshi8518
Жыл бұрын
Simon,ni sawa lakini itafuatwaa?Hii iliopo inapinduliwa bila kujali
@muzneali4747
Жыл бұрын
Hovyo kama mchuzi WA Jogoo
@AbdulKarim-n4u
Жыл бұрын
Choyo hicho kwani kukoment kibubu tu hicho utaelewa 2
@omarhusna1766
Жыл бұрын
😅😅😅😅❤❤❤❤❤😂😂❤❤
@mwajumahajji-bw5iv
Жыл бұрын
Wamegeuka samaki walana wao kwa wao bi samia chapa kaz
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Hamna kitu hapo
@akaumbo9433
Жыл бұрын
Kapilima acha ujinga
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@akaumbo9433 Hahahaha,,,Acha ujinga
@ramadhanmussa673
Жыл бұрын
Ali juju maneno tele unaongea usilolijua
@salyali7807
Жыл бұрын
Anaporoja utumbo tu
@mayoangimba-kc2gx
Жыл бұрын
Muondoke hatutaki mnatufilisi nyie makenge
@alijuju8697
Жыл бұрын
Hayo ni maneno aliolishwa today ndogo hadi hivi sasa watu hawastaajabu kusema muungano wa zanzibarl na Tanganyika uvunjwe. OMO hujui thamani ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ndio maana unapenda kuropokwa c ovyo ovyo. Kupatikana kwa muungano ninkazi kubwa imeganywa na wazee wetu hapa Zanzibar baada kuoka kwenye utawala.wa kishezi wa waarabu wakiongozwa na ufalme Hivyo kuupinga Muungana ni dalili tosha za utawala wa kiarabu na ufalme. Wengi wa hao.wapinzani wanachembe chembe za kupenda ufalme na ndio wamekuwa hawalani usiku na mvhans kuukataa muungano na kuwabeza watu wa unhuja nakuona wao wspemba ni watu wamaana kumbe hata mfsnye.kitu gani bado nyinyi no KUTU la ngombe. Wewe sabuni ya omar kama ilivyo jina lako ndio hivyo ulivyo puvu la sabuni ya aina ya omo. Tokea uwe makamo wa kwanza wa rais Huna jema kwa uliolifanya kwa wananchi kazi yako matusi kuikebehi serikali inayokulisha wewe pamoja family yako basi hata hilo linkushida kumshukuru bosi wako aliekutoa kwenye mjaa. Hebu omo kuwa mwenye fadhila Acha siasa za chuki,aliyekunyanganya tonge sheni kiboko yako aliweka Beach ukawa kula yako ya shida lakin huyu jamaaRais Mwinyi amakiurejesha kwenye mchezo na kukupa namba ya kucheza baki ili uilinde Zanzibar lakini wapi wewe umekuwa wa kwanza kuibomoa Zanzibar kwa visingizio vvisinvyo natija. OMO KAA UKIJUA FANYA HUJUMA WEWE NA CHAMA CHAKO KUMUHARIBIA MWENZAKO ALIYEKUTOA TONGA HADI KUFIKIA HAPO ULIPO NA UKUMBUKE KWAMBA MUNGU YUPO NA ATAKULIPA WEMA NA MAOVU YA MENGI MABAYA UNAYOYATEKELEZA KINJUME NA BOSS WAKO Inawezejana timiza wajubu wako
@salyali7807
Жыл бұрын
Slavery intellectual ... unadhani kufika hapa kafadhililiwa sio his right yake... nyie ndio wale hata mifahamishwe vipi hamtofahamu akili zimedumaa kwakukamdamizwa nakubururuwa kama watumwa
@JumamahindaKhamis-xk1de
Жыл бұрын
Kwa akili yako uyu omo Ni fukara Kama ww naona hii ccm ndio inamchakaza kabla hajawa makamo haendeshi ata spacio gari take ya thamani ya chini Ni juke kakojoe ukalale uko wee
@shaabanmakame2690
Жыл бұрын
Maandishi marefu uelewa ma muandishi ni 0.5%😂😂
@khatibal-zinjibari6956
Жыл бұрын
Bora Waislam kutawaliwa na Waislam wenzao kuliko kutawaliwa na Makafiri wageni.
Пікірлер: 58