Wow ujumbe wa moto huu... Mimi ni mkristu lkn umenikonga moyo wangu Sana.... Mwenyezi Mungu akutunze Sana 🙏
@HalimaSaidi-jo9ng
6 ай бұрын
Swadakta Allah akulinde kwakilajambo
@husnaameen9309
2 жыл бұрын
mashaAllah ustadhi wewe ni doctor ., mashaAllah nimepata mume mwema mwenye hizi sifa ulizosema mungu aniwekee mume wangu inshaAllah 🥰
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Maashallah Allah awadumishe
@lkshmykomar5472
2 жыл бұрын
Amina Yarab alamin
@hasnaally1713
2 жыл бұрын
Mashallah hungera mama
@user-pj8ed9kn6g
2 жыл бұрын
Mashaallah habbity Allah awadumishe kwenye ndoa yenu🤲🤲
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Amiin Allah atuekee waume zetu na atulinde na hasad, amiin.
@goldenqueen4484
2 жыл бұрын
Sauti ya Othman Michael imefanana sana na ya Othman maalim ....kuitofautisha ni uangalie kuskiliza tu nafkria n yule mwengne ..Mashallah Allah awaeke miaka mingi inshallah mashekhe wetu .....Tuna jifunza umu umu kw hutba zenu ..JAZAKHA-ALLAH KHERY ❤❤
@sitiabubakar2892
2 жыл бұрын
Yaani Kwa audio nashindwa kuwatofautisha
@goldenqueen4484
2 жыл бұрын
@@sitiabubakar2892 umeonaeee 🥰
@fatmakhalef3450
2 жыл бұрын
Mashaa Allah kabisa sana tena
@khaashfarfarid4221
2 жыл бұрын
Jmn naomba no yake sh othmn
@bintykigan9285
2 жыл бұрын
Sana tena
@hasnatyoficial6056
2 жыл бұрын
Daaah hii imenigusa sanaa nimegundua mume wangu anatoka na mdogo wangu wa kuzaliwa nae hakiyamungu roho imeniuma kupita kias na nasema kutoka moyoni namchukia mdogo wangu na mmewangu ad siku ntakayo kufa Allah anisamehe
@fatmakhanii1676
2 жыл бұрын
Pole sana msameh japo hutokua nae karibu Allah nawe atakusameh pengine ni mtihani tu huo ulompitia binadam hatujakamilika inauma sana
@rehemasoud7805
2 жыл бұрын
Msamehe sanaa na muombe mungu akuepushie na hilooo
@mealisuleiman4020
2 жыл бұрын
Msamehe mdogo wk ni shetwani amempitia hata yy mwenyewe yuwa juta kutenda hicho kitendo
@fatmakhanii1676
2 жыл бұрын
@@mealisuleiman4020 kabisa
@ismailowino2866
2 жыл бұрын
Subhanallah,pole sana ukhty.Mimi naelewa unachopitia ila wasamehe wote kwa maana hii chuki itakuumiza nafsi.
@dismassamwel7130
2 жыл бұрын
Hii elimu nzuri nimeipenda sana,hakuna kitu chenye mtihani kama ndoa au mahusiano,yanahitaji subra na msaada wa MUNGU
@salumkifan3637
2 жыл бұрын
Nkweli kaka
@user-ws9ek8dj5n
2 жыл бұрын
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH TABARAKA ALLAH sheikh wetu kipenzi #othmanmichael kwa kila ilmu tunayo pata kupitia kwako MWENYEZI MUNGU akupe uzima na maisha marefu,ummah mzima atupe maskizano,uaminifu,mapenzi,kuongozana,atuongoze katika swiratal mustakeem na atujaalie mwisho mwema Amiin ya Rabbil Allamin
Allah aniongoze niwe wa kulizika kwa mume wangu inshaallah na ndoa yetu iwe mpya kila iitwayo leo na niwe mke mwema yarrabi mwenye busara aman na upendo na huruma pia kwa mume wangu
@kisunaomar3138
Жыл бұрын
Hakika wanawake tunatakiwa tujue nini ndoa,upi uzito wa ndoa na mume ni kitu gani..Allah atujaalie ndoa zilizo jaa mawadat,sakina.atufanye wenye kuridhika,na tuwe tulizo kwenye macho yao,tusio na waume Allah atujaalie,na walio kwenye ndoa ziwe zenye kheri.darsa zuri mashallah
@shefumasanja-wn6lj
10 ай бұрын
Asante
@mariamyoyote8172
2 жыл бұрын
Shukran shekhe jazaka'Allahu kher minal dunia wa akhera 🙏🙏ujuwe shekhe hivyo unavyozungumza napata fikira ya kuolewa niishi Kwa mapenzi mema na mume wangu lkn bado Allah ajanipa na nipo kazini wallah naogopa pengine nikaingia kufanya Mambo mabaya kabla ya ndia kwasababu hivyo unavyozungumza namna bakiluishi Kwa upendo kunakitu kinanijia na ninaogopa lkn itabidi nianze kufanya Ibaada na kuomba utulivu na kujizuia haya matamanio ninayo yahisi ya Allah nifanyie wepes katika Hilo pia shekhe niombee shukran shekhe balakaallahu fihiii
@reemareemo2698
2 жыл бұрын
Pora ata ange mpiga tuu asira ziishe
@tawaqthabith1689
2 жыл бұрын
Inshallah mola akujalie
@monicawanza9911
2 жыл бұрын
Am a Christian but listening to you teaches me alot 👌,am even dating a Muslim soon to funga nikha😊
@rahmatahmed1871
2 жыл бұрын
MashaAllah karibu katika uislam mammy
@aaa64sa13
2 жыл бұрын
MashaAllah!!!
@mariamjack9471
2 жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema inshaallah
@khadijaangore4408
2 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah. karibu kwa dini ya haki.❤❤❤❤💞💞💞💞💞😘😘😘
@yussuphsultan1400
2 жыл бұрын
Mashaaa Allah....Allah sw akufanyie wepesi....ingia Kabisa kwenye uislamu Ili ujifunze na ujue jinsi ya kuomba dua jambo lako liwe jepesi Kwa idhni yake
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Allah Akujaalie umri wenye heri nawe uwwmrefu uzidi kutuelimisha. Allah atujaalie tuwe wasikivu na tusiyoolewa Allah atupe Mumewema lnshallah🤲
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Amin yarab
@arafakassela5398
2 жыл бұрын
Yani nampenda shekhe Othman kwajiri ya Allah akuweke zaid iliuzid kutuhelimishe
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Kabisa Amin
@georgetavalentine4686
2 жыл бұрын
Mafunzo mazuri 👏👏👏 though am a Roman catholic
@salmahanai3601
2 жыл бұрын
shekhe umeupamba.moyo wangu kwa maneno mazuri maashaallah
@ismailowino2866
2 жыл бұрын
Masha'allah, jazakallahu khayr Sheikh.Yaani hii darsa imenigusa mahali duh!
@fatemafatema4780
2 жыл бұрын
Mashaalla mashaallah sheikh Othaman unamafunzo mazuri sana .yaret ingekuwa nusu ya watu wanafuata basi uhasama na ugonmvi ndani ya nyumba usingekuwepo mungu akubarik.mungu akupe uzima wa afya.hata usemaji wako sheikh wewe mtaratibu sana.nampa hongera sana mkeo.mungu awajaazie kila lenye kheri na nyinyi ameen
Asalaam Aleykum sheikh Othman Asante kwa yote. na utuwombe kwa Allah, tufiko kwako mashalla
@aishahamadi9261
2 жыл бұрын
Maashallah umetujeja Sana ustadh ndoa nyingi zinayumba kwasababu ya uzinifu Ila Allah atuongoze katika njia zilizonyooka na ftatilia nikiwa uganda
@sabraabdilnasir8826
2 жыл бұрын
Nikweli kabisa uwoga hawana watu wala imani
@sharifaabdi9501
2 жыл бұрын
Kwa kweli yote ni mitihani ya dunia2 hiyo Allah atujaalie minalfaidhina.Pia shekh wetu kipenz tunaomba dua kutoka kwako Allah atuepushe na mabalaa mazito kama hayo na pia atujaalie katika waja wema inshaallah
@mahmoodalghefeili5370
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@zainabmaulidi9846
2 жыл бұрын
MASHA ALLAH sheikh wetu Allah Akujalie umri mrefu wenye kheri tuzid kunufaika
@alhabsialooshi9315
2 жыл бұрын
Mashaallaaa shekh alla ukupe mwisho mwema ila mm mumewangu aliniacha kwatara3 mpigo ila nashukulu na baba yangu alikua mcha wangu alinipa somo na sikuweza kushawishika kurudiana tena mpaka leo hii ninamiaka10 sijaingia kishawishi kuludi kwake
@najuf8021
2 жыл бұрын
Allah akuhifadhi kwaajili yetu shekhe mchanganyiko ule wamafuta ALHAMDULILAH umenisaidia
@rahmamohammedmohammed7987
2 жыл бұрын
Nambie namie huo mchanyiko dawa ya nini
@asmaasmi9019
2 жыл бұрын
MashAllah tabaraka rahman jazaaqa Allah kher
@SleepyGalaxy-nw5of
7 ай бұрын
Subhanallah shukran sheikh napenda mawaidha yako course yananipa ujasiri na Aman ya moyo wangu mungu akubarik🙏
@matikamwagilomwagilo531
2 жыл бұрын
Shekhee othmani m.mungu akujaalie kila la kherii ameeen
@bintimossisaidi1443
2 жыл бұрын
Amiin
@khalfansuleiman6206
2 жыл бұрын
MAASHAALLAAH SHEIKH WANGU ALLAAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI NA AKUKINGE NA KILA BALAA
@abubakaryrajabu-fb5sd
Ай бұрын
Inshallah
@lkshmykomar5472
2 жыл бұрын
Mashallahu shukuran shehe wetu Allah atuhfadh na maas ya zina
@saadahydar7106
2 жыл бұрын
v ýcyuucyyuyyyyyyyyyû cuu7uyy7yu77777uu7u7uu7uuuuuuu7c7777777777777777777777777777777777777777777vvv777777777777777777777777uuu
@saadahydar7106
2 жыл бұрын
u juuuuvuuuuuuuu u
@shabaniomary6235
2 жыл бұрын
Sheikh, alhamdulil laahi, Allaah akujaze zaidi ilmu,nakuomba tuletee kisa cha Dhulqarnaini kwa urefu.
@owuorsharon2177
2 жыл бұрын
Nimeguswa sana na mfunzo yako inshallah mungu akujalie
@twahambonde4095
2 жыл бұрын
Shida ya wanaume hawawezi kumsamehe wakisalitiwa ila ndio wanaongoza kwa usaliti......Yarabi tuweke mbali na zinaa
@azizadjumadazuu2731
Жыл бұрын
Maa shaa Allah sheikh wetu tunanufaika na mafunzo yako!!! Allah akujaze kheri
@ramlati7646
2 жыл бұрын
Mashaallah ,ahsante sheikh nimekua nikiishi na kidonda kubwa moyoni sababu ya mume wangu kunicheat ,mda mwingine nlikua natamani nimchome ata kisu au nimfate yule mwanamke na nimue ama nimnunulie wajambazi walahi maana ilikua tukio la ajabu sana kuongopewa na mume akikukukula pesa na hawara huku wewe unaangaika na watoto walahi,mungu anisamehe ,amekua akiniomba msamaha lakini wapi mimi hufikiria hilo jambo ni kama jana, Thanks for the teachings,nimejifunza kusamehe
@janethkibambo3613
2 жыл бұрын
Pole, Mungu akupe neema ya kusamehe
@ramlati7646
2 жыл бұрын
@@janethkibambo3613 Inshallah, ahsante daa
@AMI-ip1lx
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Apo Kwenye Honey Honeyy Honeyyyyyyyyyyy😂😂😂😂😂😂Nimecheka Mie Ila Nimependa Inapendeza
@irenelaizer4789
2 жыл бұрын
Masha Allah my Allah protect you sheikh nimjifunza kitu pamoja sijaolewa ila Allah anijalie mme wa hivyo hakika nitamjali
@D_beauty1
2 ай бұрын
Ya Allah nahitaji msamaha wako yarasulallah 😭nifanye niwe miongoni mwa waja wema na wake wema wenye kuifata dini na kuzipenda na kuziheshim ndoa zao inshaallah 🤲🤲Allahumma ameen
@adamdengu338
2 жыл бұрын
Mashaallah inatakiwa Subira zaidi ktk dunia hii . Na tuliambiwa tuisha nawe kwa makini wanawake . Lakini yanafikanga mwisho na Allah anakuonnyesha yote .
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Amin
@aminataramio8254
2 жыл бұрын
Shukran cheikh wangu mungu akulipe kilishikuwa cha kheri kwako
@saidjumanne6452
2 жыл бұрын
Asante Sana othuman Michael kwa dawa safi mwenyezi mungu akuzidishie maisha maref ilituendelee kupata dawa nzr amen
@julesngama2508
2 жыл бұрын
Haaaaaaaa Nihatari sana Ndugu yangu, bwana Yesu wali muuliza kitu gani tuna weza kuwapa taraka wake zetu . Akajibu mwakizini njo muna ruhusiwa kuwapa taraka
Allah aniepushe siwezi uwa mimi sheikh kasema kweli mwenyezi mungu amjaze kheri
@user-ws9ek8dj5n
2 жыл бұрын
Amiin ya Rabbil Allamin sheikh
@MA-kh2lr
2 жыл бұрын
Subhanallah... Allah atunusuru na vizazi vyetu yaarab.. Ameen.
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
Amin yarab Amin thuma Amin
@yanaclaudine8066
2 жыл бұрын
I'm Christian but u make me cry. May God akupe maisha malefu
@MA-kh2lr
2 жыл бұрын
mwanamke anapenda emotional support... hata tu ile kusaidia watoto sometimes.. ukiwa nyumbani kaa na family yako.. mwanaume akiwa nyumbani kulala asema kachoka. kwani wanawake hawachoki?? ulezi. pia ni kazi kubwa sanaa ya watoto.
@hildaaloyce8043
2 жыл бұрын
☑️☑️☑️☑️☑️☑️
@zakatyzakaty1426
Жыл бұрын
Ni kweli
@sashoright6496
Жыл бұрын
Umegusa panapotakiwa kabsaaa
@fatmasuleiman5376
2 жыл бұрын
Allah barik kwa kutukumbusha na kutufunza maneno , darsa ya hakika na hii ndio Pepo.
@Tv-dl4qj
2 жыл бұрын
MashaAllah sheihk wetu Allah akupe umri mrefu
@masterlava4131
2 жыл бұрын
Kaka Ukutane Na Huyo Mwanamke Nae Anaakiba Ya Fikra,Ndio Unaweza Ukamwambia Mpigie Aje Na Akafanya Hivyo, Siku Hizi Utapata Tabu Aise, Mwenye Haki Ndio Anakuwa Mkosaji Na Mkosaji Ndio Anakuwa Mwenye Haki Hadi Serikalini.Ni Mafunzo Mazuri Kwa Wenye Kujaariwa Amiin.
@kassimmurji632
2 жыл бұрын
Uko sahihi ndugu
@ashafujo3506
2 жыл бұрын
Kisa kizur mashallah, mungu atupe subrah na nyoyo za huruma na mapenz ya kwl, mungu atuepushe na Hali hizi
@saumkhalifan7700
2 жыл бұрын
Assalamualaikum sheikh nnaswali tafadhali je ukiwa umeolewa na umepoteza hisia huna hamu na yule mume unapaswa kufanyaje
@MA-kh2lr
2 жыл бұрын
Choka mimi na hawa wanaume.. 🤦♀️
@aflahabdula4084
2 жыл бұрын
Choka voo ila dawa yao mdogo wangu nikuwapotezeya mimi mume wangu kanifanyia mengi sana mpaka nikajiuliza kwa nini au kwa vile nimetuliya ila sasa nawaleya wanangu tu simuulizi akitoka wala akiingia au anarudi wapi nafanya ule wajibu tu sinahabari na yeye mpaka anajiuliza
@MohammedAli-rh5si
2 жыл бұрын
Jazzaka llahu kher shekhe Mungu akupe umri mrefu na akulinde na kila hasad nakupenda shemela wangu
@aishamunga6667
2 жыл бұрын
Mashaallah. Mashaallah Allah akupe umri na uzidi kutufundisha. In sha Allah. Shukran
@zainamkwizu2942
2 жыл бұрын
Napenda sana mawaidha yako umenibadilisha sana shekh mungu akupe umri mrefu wenye amali njema
@ashajuma1822
2 жыл бұрын
Shukran jazakallahu kheir.. Allah akuhifadhi sheikh
@janemusomba963
2 жыл бұрын
Good teaching thank you God bless you..
@philipsenge2222
2 жыл бұрын
Mashauri mazuri kabisa,ila wanawake ni wabaya sana,ni kuishi ishi tu kwa kupitiza muda,ila wao siyo watu wazuri
@gracealexander1450
Жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA SHEKHE KWA UJUMBE HUU NIMEJIFUNZA KITU KIKUBWA MNO AMEEEEEEN
@khmysnassry8733
2 жыл бұрын
Kweli kbx ustadh
@azizatimimi7147
2 жыл бұрын
Allah Akupe afya na umri uzidi kutuelemisha kwa mawaidha
@saidesalimo9032
Жыл бұрын
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿não dormo bem ate ouvir sua voz em mawaidha
@yasalaam590
2 жыл бұрын
Mashaallah hayo mafundisho kwakweli ni muhimu mno ndoa skuiz ni nyingi hazina mapenzi bali ndoa skuizi zina machozi ubabe ruu kwenda mbele subhana llah inshaallah kwa mawaidha haya wawe ni wenye kuzingatia amiin
@mwinyisaumu
2 жыл бұрын
Subhana Allah tuombee Sisi mabinti tupate rizki Za ndoa tunusurike Na zinaa
@omaryramdhani9823
2 жыл бұрын
ماشاءالله حياك الله أحسن الحياة وطول العمر
@mwanasitisalim3606
2 жыл бұрын
Nimejifunza Mambo makubwa na muhim usiku huu Asante sana
@saumusanjiama6991
2 жыл бұрын
Shukran sana ustadhi Allah tuepushe na mitihani hio yarrab
@rehemamkumbo6746
2 жыл бұрын
Safi sana shekh barikiwa kwa mafundisho mazuri mwenyezi mungu akujalie kheri
@bas2823
2 жыл бұрын
Now u know how to talk sweet issues for both of the males n females.👌
@mamakebiasha4807
2 жыл бұрын
True
@lorraineatieno6544
2 жыл бұрын
Masomo ya kiislamu👌mashallah..licha ya mimi kuwa mkristo. Nafaidi maana naishi karibu na msikiti. Mafunzo mazuri.
Shkhe othman napenda sana mawaidha yako nishkhe mwenye hakma sana allha akuhifadhi
@MA-kh2lr
2 жыл бұрын
Wanaume hawa wako wapi 🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️ Subhanallah... mwanaume siku akikupa wallahy paka unashangaa badala ya kufurahi maana si kawaida yake. ht pocket money hupewi.. upo tu walete wa ration upike ule una pakulala.. yani wajib hakuna zile extra za kufanya mwanamke akakupendaa kweli kweli yani. watu waishi tu.. sjui sababu ya watoto? 🤦♀️💔
@yassirhamed9905
2 жыл бұрын
Allahu barick sheikh wetu uzidi kutupa elimu
@alhajjngoliomahmud6657
2 жыл бұрын
Mashaallah tabaraka rahman. Barakallahu
@user-oh8cw3jp7h
23 сағат бұрын
Asante kwanafundisho mazuli shehe🎉🎉❤❤🎉😢😢
@goodlucktemu3149
2 жыл бұрын
Funzo mke wa mtu sumu usijaribu.
@abdaladelo371
Жыл бұрын
Mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu
@cishahayoali1136
2 жыл бұрын
Asante sheikh kwa kutuzinduwa!
@bjzee1981
2 жыл бұрын
Itakua huyo mume alikua hamridhishi. Ka oa wake wawili kwa tamaa wakati nguvu zakutosha hana
@fatmainahemed2783
2 жыл бұрын
Wanaume wote wangekuwa hivyo kusingekuwa na talaka coz ukifanya hivyo hata mwanamke anaona haya kufanya maovu
@amyna2024
2 жыл бұрын
Allahu Akbar Allah atuongoze n avizazi vijazo....amiin
@ummynyevu1027
2 жыл бұрын
Tusameheane Mara Saba sabini
@rukialugenja1183
2 жыл бұрын
Masha allah nimejifunza meng allah akiuzidishie kher insha allah
@arafatmbitha5602
2 жыл бұрын
A. S. W ustadh othman mungu akuzidishie uzidi kutuelimisha katika mambo ya kishetani kama hayo🙏🙏🙏
@jumamohammed2748
2 жыл бұрын
Hakika nakupenda kwa ajili ya Allah(sw). Allah(sw) akupe umri mrefu wenye kuleta manufaa haya ya kuelimisha umma
@jescahariri5811
2 жыл бұрын
Nimependa sana haya mambo ni ya kweli kabisa
@gloryarcard3144
2 жыл бұрын
🥰🥰🥰nimeipendah osters mungu akubariki ila cyo kwa wanaume wa sikuizii yaan toka nimeolewa cjui zawad yake yaan yote uliyoyaongea hajawah hata kuyafanya🥰🥰🥰nicheke tuu ila n shidah
Пікірлер: 469