Hawa wote ni wale wale jola moja mishono tu tofauti
@hanifa9153
Ай бұрын
Aki woiye waone ata aibu tu waache vita coz ata mtoto mdogo anajua kinachofanyika GAZA ni DHULMA💔😭😭😭😭😭
@MohammedBwanga
Ай бұрын
Kauli za viongizi wa marekani kwa usalama wa Gaza ni km kichwa cha habari ya ukimwi ktk gazeti,Wana mioyo ya kikatili kuliko wanayoyaongea kw watu.
@Teslatizo-gcb
Ай бұрын
Dah! Kaka sky yaan huy mama simuamin hta kdg naon anaigiz 2 ili apat kura basi lkn manen yke yte aliyoyasm yaan sichukui ht nen mja kwa kwl.
@AFRICA_D669
Ай бұрын
Huyu Dada katili anatafta kura
@JohnCage-we6tp
Ай бұрын
Kumbe hat marekan ikifik kipindi cha kampeni na wao wanakua wadogo
@nassorsalum9200
Ай бұрын
Anatafuta Kura Tu uyo mshenzi wote lao moja
@jumakassim8718
Ай бұрын
Swadakta
@Brunotarimo10
Ай бұрын
Nakubaliana na ww mama Ila urais ushindi. Kutoka Gikombaa nairobi
@baloziwamamtukuna5722
Ай бұрын
Saw msee
@subrynerysegerow1323
Ай бұрын
🤣🤣🤣
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
😂😂😂
@Yotekwayangagood5610
Ай бұрын
Marekani hawezi muacha muiziral nikama babake😂
@felisteronesmo3091
Ай бұрын
Watu hawaelewi, utaskia Mmarekani anasaidia mu'israel.. hawajui analipa fadhila kwa walimu wake, maana mu'israel ndo uchumi wa marekani, istoshe deni lake la Taifa matajili wakubwa wanaoidai nchi ni wayahudi, .. Yani mu'israel anahitaji silaha toka kwa wadaiwa wake ila kwa lugha lakuomba ndio maana ombi lake haliji kukatawaliwa ..
@ibrahimyahaya9404
Ай бұрын
Safi sanaa
@yassinmohamed8241
Ай бұрын
Mbwaaaa huyuuuuu bibi tena nifala sanaaaaaaa
@GabrielSky64
Ай бұрын
Ogopa Sana Mtu anaitwa mwanasiasa hasa akiwa anaitaji , madaraka
@AFRICA_D669
Ай бұрын
😢😢umeonae
@IveenEmmanuel
Ай бұрын
Uyu mama ni hatari kubwa ndani ya nchi za Africa..kama akipita kuna hatari kubwa kubanwa kwa uchumi wa nchi zinazotumia dora kwa kutekeleza mipango mikakati yao ya nchi...#skyKumbukaIli
@franktangeki9342
Ай бұрын
ACHA UZIRO NA UONGO WAKO
@IveenEmmanuel
Ай бұрын
@@franktangeki9342 sawa
@subrynerysegerow1323
Ай бұрын
wote ndo wale wale
@muttae2
Ай бұрын
Sidhani, make Nchi kama Russia, China na India wanataka kutumia pesa yao ili waue Dolla, Kumbuka Chinq kwa sasa inaongozo kuingilia uchumi wa Africa hivyo Dolla inaweza kuuliwa hata huku Africa. So lazima marekani na Washirika wake waendelea kutafuta jinsi ya kuimarisha dolla kwa Africa n.k
@IveenEmmanuel
Ай бұрын
@@muttae2 mmarekan bado anashikilia uchumi wa nchi nyingi za Africa japo china inatumia nguvu kiasi na kutoa mikopo isiyo bana sana katika riba..kumbuka Kuna nchi nyingine Africa hata pesa ya china hawaijui lkn ukiwapelekea dora wanaililia sana
@ShekhMufyd-mn9zn
Ай бұрын
Mbwa nyinyi marekani hautaki kukaa kimya huku anapeleka silaha
@ninjaisma7983
Ай бұрын
Kama kweli watasitisha bac mola atawabariki inshaallah kheir mana sisi kama waislam duniani tumechafukwa hatari na lazima tutalipiza kwa uwezo wake Allah
@mudriqahmed3666
Ай бұрын
Huyu ni njia yakuombea kura tu lkn akiingia ataendela kutoa misaada vita viendelee
@hamoudcreator6343
Ай бұрын
WAMESHAIHARIBU PALESTINE, WAMESHAWAUA WATU KIBAO 😭😭😭 LEO HII WANAKUJA KUTUAMBIA UTUMBO HUU, ETI OKTOBA 7 , WHAAAAT... WASHENZI NYIE....
@@mwawekomiuda9779 jibu swali walivyofanya ugaidi na kuuwa raia wasiokua na hatia walitegemea majibu gani?
@mwawekomiuda9779
Ай бұрын
@@hamoudcreator6343 WALLAH M'mungu anawaona na hakuna hofu hesabu yao iko kwake na iko karibu kufika.
@worldhappiness1181
Ай бұрын
Kwan lazima muuane, watu zaid ya laki 5 washakufa, na bado mnachochea. Vita haziishi, na hata zikiisha mwaka ulhuu zitafumuka tena cause tayar vizaz vinazaa kisasi. Tafuten njia sahihi, sio uchochezi.
@brianbaltazar6198
Ай бұрын
Uraaaaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
@RehemaAmour
Ай бұрын
Acha tuone mi niliiangalia hii live ila naona km anaongea hivi ili kujipatia kura katika uchaguzi unaokuja apo mbele
@ramagwama
Ай бұрын
Swadtka apo nikujitaftia kura
@IveenEmmanuel
Ай бұрын
@@RehemaAmour uyu mama anaushawishi mkubwa sana nchini marekani.sikiliza speech zake na fatilia midaharo yake utajua nachosema..Trump hawezi fua dafu hapo..Maana mama anapoint na anayo nguvu inayomsupport nyuma yake..baada ya matokeo utarudi kuniambia
@RehemaAmour
Ай бұрын
@@IveenEmmanuel sw acha tuone namjua vzr uyu nishamfatilia historia yke yote toka alipopendekezwa na joo
@RehemaAmour
Ай бұрын
Vita tu viishe walipo Gaza ni watu km wao na sisi pia sote ni binaadamu unaondelea kule ni unyama Israel 🇮🇱 ina haki ya kujilinda km wanavosema Oct7 hawakua na haki iyo??? walikua wapi??? ni walishindwa vita cku ile na hao raia wanaosema wameuliwa ni wale waisrail waliokua na silaha walijibizana na hamis na kuuliwa hakuna raia asiekua na silaha aliekufa cku ile kimsingi cku ile walishindwa vita Israel 🇮🇱. Ndo wakaamua kufanya unyama sasa
@RehemaAmour
Ай бұрын
Hao Israel 🇮🇱 kuwahamisha wapelistina katika makaazi yao na kuwauwa ni jambo la kawaida Ata kabla ya Oct7. na ndio maana hamas wakafanya shambulio lile katika maeneo ya wapalestina waliofukuzwa na kuuliwa.
@user-st1zs1ng2x
Ай бұрын
Hamass sio magaidi Bali nyie ndio magaidi na Israeli ni wavamizi.. So how mwiz awe na haki ya kujilinda 😳😳 mnatuchosha na ngonjera zenu wallah 😢😢... Tushajua duniani hakuna haki watu wa Palestine tumemuachia mwenyezimungu yeye ni mjuzi wa Kila jambo
@MzeeKigogo_
Ай бұрын
Hamas ni magaidi
@user-st1zs1ng2x
Ай бұрын
@@MzeeKigogo_ wewe ndio gaidi
@mtulivu-ir1nq
Ай бұрын
Wanafiki sana hawa mbwa 🙌🙌
@mlelwatv5831
Ай бұрын
Wanafki hawa jamaa sasa silaha wanapeleka za nn 😂😂
@user-to4jw7tm1j
Ай бұрын
Ni wanafk washenzi
@noahlameck1564
Ай бұрын
Wanafiki hao
@festohaule9716
Ай бұрын
Ni aibu Kwa Israel miazi bila kukomboa mateka zaidi ni kuuwa Watoto na Akina Mama..Jeshi la Ardhini ni kugumu sana maana kira mtu ni mjusi wa kutumia Bunduki!!!!!Vita iishe na Marekani iinde Mataifa Mawili kama ilivoiunda Israel mwaka 1948!!!!!
@hafeedh2452
Ай бұрын
Dunia ya wanafiki tu viongozi karibu wote wanafiki sana
@salimfaraj5509
Ай бұрын
Wanafiq wakubwa wakati marekani inapeleka silaha wewe ulikuwa wapi usipinge unaona karibu na uchaguzi ndo unasema maneno hayo mshenzi kabisa
@johnsonzuma4932
Ай бұрын
Hana jikosha hana tafuta kura huyo nyani...
@KhamisBeja
Ай бұрын
Maneno sio vitendo
@hubman6780
Ай бұрын
Ni walewalee wemaaa wemaaa ku...nyoko.Aliimba Dr. Remmy
@thelonewolf4429
Ай бұрын
Mashoga lao ni moja hawawezi fanya chechote zaidi ya uaji tu Mengine ni maneno tu kama kawaida yao
@ndiiyolazaro1125
Ай бұрын
Hio ni siasa tu hakuna lolote wao ndo wanafathili hizo vita
@Yayouselim
Ай бұрын
Wasitufanye Watoto wapuuzi hao , kwani huyu na biden wanatofauti gan
@abdulrazack9577
Ай бұрын
Alikuwa wapi
@valerianchamlungu7268
Ай бұрын
Kwan now c makamu wa raisi nini amefanya.. Na juzi tuu hapo netanyahu alikuwa anahutubia senate......
@subrynerysegerow1323
Ай бұрын
naomba mungu asishinde huyu mwanga
@mwawekomiuda9779
Ай бұрын
Kiukweli siamini maneno aloyasema huyu mama hata kwa mfano. Hakuna makubaliano ya aina yyte. Lkn hapa tunapita tu.
@inocentlema5574
Ай бұрын
Tamthilia hiyo, ni kama umwambie mtu nipige picha nikijifanya naangalia juu. Wote wanawaza kitu kimoja na Benja
@omarmohammed5157
Ай бұрын
Lao moja tunawajuwa vizury nyie devils
@hamzakimaro3764
Ай бұрын
mayahudi ni viumbe waovu ktk uso wa dunia!! hawana huruma,wanajiona wao ndiye wenye haki ya kuwa na uhai ktk dunia hii!!
@StephanoMoses
Ай бұрын
Sawa ila uraisi hushindi bila kumuua trump . Af marekan kuongozwa na chupi bado sana
@mozamoza3960
Ай бұрын
Ana tafuta kura Hana lolote
@Fgldesigns
Ай бұрын
Kumbe hamuwezi kuwazuia ila una ahidi kutokaa kimya tuu.!?
@bishweko
Ай бұрын
Tatizo hapo ni Pentagon ndio wanafadhiri hiyo vita.
@JeanMalilo
Ай бұрын
😃😃 ptgn hawa huahawa jiusishi na vita wewe mbumbumbu
@bishweko
Ай бұрын
@@JeanMalilo Amka ktk usingizi wa kifo ww.
@hamoudcreator6343
Ай бұрын
SIASA NI USHETANI SANAAA... LEO HII, KWASABABU TU ANATAKA KURA.. ANAJIFANYA MALAIKA.... SHETANI MKUBWA MAMA WEEE
@johnekidor4147
Ай бұрын
Kamala Harris nimesikia sauti akiniambia utakuwa rais
@AgnessNesphory
Ай бұрын
Siku zote alikuwa wapi
@iddikimia4951
Ай бұрын
Hawezi kwani sasa hivi ana nafasi gani ni wazi wamekwisha pora ardhi ya wapalestina kama walivyofanya mwanzo wezi wakubwa na wauwaji wakubwa
@martinisadru9899
Ай бұрын
Na inatakiwa wauwawe WOTE kuanzia mimba watoto hadi wazee,,, Quran ya muhamadi ndio imesababisha machafuko, na waparestina kuangamizwa,,, sababu Quran inasema kiyama hakita simama, mbaka waislamu kuwa angamiza mayahudi wote,, sasa kama una akili fuatilia nani ali anza uchokozi dhidi ya mwenzake,,,waislamu wana ing'ang'ania jerusalemu kama yao,, wakati nabii ibrahimu, alisha wagawia arizi watoto wake kwa haki, ismail alipewa maca, na isaka akapewa jerusalemu,,, hapakuwa na vita, alipo kuja muhamadi! Vita zika anza.
@SaidAbdalla-fh8bq
Ай бұрын
tunahitaji muichambue hutuba ya netanyahu
@Aishatheboss117
Ай бұрын
Sizani kama wa palestina watapata amani awo wote ni wamija hawawatetei ni unafki tuuu😏😏😏😏😭😭😭
@ibrahimcongeram.806
Ай бұрын
Nethanyau aliwaomba siraha ili amalize vita na Kamala mwenyewe kwahiyo serekali yumo labda anataka kura za uchaguzi tuu. Waache unafkii
@ShekhMufyd-mn9zn
Ай бұрын
Putin piga mbwa hawa
@ibrahimsalim6835
Ай бұрын
Wanafiki wakubwa hao Allah atawatosha pekee
@user-nk4oq4ek9y
Ай бұрын
Si waona uyu mama anafaa kama ataki vita gaza basi atapata ushindi bora awe .mkweli na analo sema tu
@habibaramadhani-xv2ed
Ай бұрын
Naam Vita imalizike Salama.
@KarimShabaniNAHIMANA
Ай бұрын
Wanafiki wakubwa
@Bobobobo-jr9zr
Ай бұрын
anataka kura tu huyo muungo mbona hakuwahi kuzungumza kabla
@RamadhaniMohamedi-de2vc
Ай бұрын
Anaongea uwongu tu anadanganya watu yy mwenyewe myahud.
@jizzotheking9238
Ай бұрын
Hayo ni mashoga tu linatetea ushoga tumbafu
@Stillrunlikeaball
Ай бұрын
Raisi ajae wa American ni Kamala Harris eka kumbukumbu ya text hii
@user-qq6mv6vh3e
Ай бұрын
Shinzi nyie wanafki tu
@ndukulusudikucho_
Ай бұрын
Democratic na Republican Ni Sawa na kufa na Maji au moto vyote vifo, Bora Republican wana Chuki ya dhairi, lakini Hawa Democratic party wanang'ata na kupuliza, Chama gani kilimuua Gadaf? Issue sio kamara as person issue Ni sera za Chama chake
@damsonwilson5202
Ай бұрын
We na Baiden ni kitu kimoja Kwa hiyo Huna hoja Mpya watu sio wajinga Hadi wakuamin
@jumamayonga8914
Ай бұрын
Kamala ni muongo, amefanyakazi na Biden mbona halimshauri hilo? Sasa hivi anatafuta kura tuu
@Mubarak552
Ай бұрын
She s lying 😢
@suhadsalim5528
Ай бұрын
Wanafiki wakubwa Hawa 😂😂😂
@DehabCollection
Ай бұрын
Dear kamala Harris u were onced the vice of president and u did nothing, how can we entrust u, I think it better to risk with trump.
@FahmiNassor
Ай бұрын
Wanafiki wakubwa rais yoyote anaeingia madarakani yupo kwa ajili ya dhuluma na kumlinda mazayuni wote ndio wale wale tu
@SaraphinaKidoti-qe7gi
Ай бұрын
Mbn km anakuja kas
@BimkubwaMohd-ef6hr
Ай бұрын
We huogopi
@jofreykilangila4118
Ай бұрын
Halafu huyu ni mwafrca kabisa
@casmirnzullunge
Ай бұрын
😂 be TT
@King-nyegereSomba-Man
Ай бұрын
😂😂😂
@ElijahOwino-xe2cd
Ай бұрын
Wayahudi ndio wanaoitawala dunia.. kwa hivyo wagombea wote lazima wafanye kila juhudi kuegemea upande wa Israeli... Lakini ukweli nikuwa Kamala hatoshinda huu uchaguzi... Trump ndo mtu pekee ambaye anajuwa kudeal na hao waarabu na waislamu kwa jumla
@hazygardmericho9571
Ай бұрын
😂😂 BI MGOMBEA KAJIBIWA, VITA HAIISHI.. NA KUAJARIBU KUA NEUTRAL NDIO SABABU ITAYOMNYIMA URAIS
Пікірлер: 119