Kamanda wa Kikosi cha usalama barabarani nchini Wilbroad Mutafungwa amemwagiza RTO mkoa wa Mtwara kupita katika wilaya zote za mkoa huo kutoa elimu ya usalama barabarani.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara alipokua akiongea na wananchi kabla ya kwenda kuwajulia hali majeruhi wa ajali iliyogharimu maisha ya watu 14, amesema ni wakati wa elimu kutolewa ili kuepukana na ajali zisizo za lazima.
KAMANDA MUTAFUNGWA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA RTO MTWARA "PITA WILAYA ZOTE"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Негізгі бет KAMANDA MUTAFUNGWA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA RTO MTWARA "PITA WILAYA ZOTE"
Пікірлер