Mambo yote ya Maendeleo kwa Bara ni ya Muungano ... WARIOBA KALIONESHA KOTI LILIVYO ...
@salmamwalimumuyaguzi8991
10 жыл бұрын
Mabadiliko makubwa yataleta tofauti ... Kipaumbele ni maoni ya wananchi. Wananchi walizungumzia sana utamaduni na maadili ya Taifa - "Maadili yameporomoka" - Tunu za Taifa (National Values), maadili, uwajibikaji yalitoka kwa wananchi. Wakati wananchi wanayasema haya nyinyi viongozi mulikuwa munatowa maoni gani? Au nafasi zenu za ubalozi???
@elizabethwallace8598
3 жыл бұрын
Siyo kwamba ccm hawajui kwamba hii katiba ni mbovu,ila hofu yao kubwa ni kuondoka madarakani
@salmamwalimumuyaguzi8991
10 жыл бұрын
Tulichogunduwa, ni kweli Serikali ya Muungano kwa mambo ya Maendeleo inashughulikia mambo ya Bara !!! Sehemu kubwa ya kazi za Serikali ya Muungano ni Bara, ni mawaziri wangapi wanatembelea Zanzibar kwa Shughuli za Zanzibar?? Serikali ya Muungano inatafuta rasilimali zaidi kwa ajili ya Bara ... hapa patamu ...
Пікірлер: 7