Wakazi wa Kisiwa cha Manda katika wadi ya Shela, kaunti ya Lamu wanatarajiwa kusambaziwa umeme kwa mara ya kwanza na shirika la umeme mashinani REREC. Kulingana nao Michoro yote imekamilishwa na nyaya zimepelekwa kutoka Mokowe kupitia kivuko cha Njia ya Ndovu eneo la mkanda hadi Kisiwa cha Mandav.
Негізгі бет Kampuni ya umeme ya REREC yasambaza umeme Manda, Lamu
Пікірлер: 1