Ikimpendeza Bwana I pray this servant of the most high weds me when my time comes 🙌🏿🙏🙏one of my favourite teacher .
@malikauli4670
Жыл бұрын
Mungu akuongoze
@mokombapomobisaop6946
10 ай бұрын
Amen pastor Mmbaga, lakini hizi kanuni Saba ya faa uongeze zingine next time, very excellent teaching and may God bless you and bring more of this kind to marriage and church.
@EMANUELITAMBU-y7j
10 ай бұрын
God bless you pastor. Thanks for your nice sermon
@mildredkhavayi6033
Жыл бұрын
Ahsante sana muhubiri, mafunzo mazuri sana nmejifunza kuishi kwa ndoa na kuitinza ndoa yangu,nina Imani nitapoingia kwenye ndoa yangu hivi karibuni,nina Imani nitayazingatia mafunzo yako🙏🙏 Mwenyezi Mungu anijalie maarifa na uelewa zaidi 🙏🙏
@Faith-zc1hs
Жыл бұрын
Wooh thanks for the teaching nimejifunza mengi
@rachelissa115
Жыл бұрын
Ujumbe wa ndowa ni mzuri, Mungu akubariki sana, ila fundisha pia na jinsi ya kuvaa mavazi ya Heshima ndani ya nyumba ya Bwana na mtaani pia, wakristo tunapaswa kuwa tofauti, Neno Lina sema kuwa tusienende kwa kuifuatisha namna ya Dunia hii, kwa habari ya mwenendo na tabia na mavazi pia🥰
@ibrahimmalabeja3692
Жыл бұрын
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
@ibrahimmalabeja3692
Жыл бұрын
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
@KendiLydia-tf2ii
2 ай бұрын
Mungu akuongezee hio neheema Pst
@alice-sd1sv
10 ай бұрын
Wow I'm being blessed with your advice and preaching,be blessed
@dicksonkarithi5637
10 ай бұрын
You are so interesting sir. Thank you for your teaching. My family will prosper. Dicken from Kenya
@JusterKendi-si9wo
10 ай бұрын
Very true darling
@RuelkambaleBinwangusu
Жыл бұрын
Ahsante saana Pastor kwa ujumbe huu ❤
@HappySogomba-t6j
17 күн бұрын
Mungu azidi kuku inua na kukupa ufahamu zaidi na watu mishi wenzako aminaa
@JusterKendi-si9wo
10 ай бұрын
Amen pastor, umeniguza sana hpo kwa kila ndoa iko na siri yake
@FfFf-yb9cp
10 ай бұрын
Amina paster mungu akubariki sana na huu ujumbe .nasikia nimebarikiwa .mungu akufunulie zaidi ya hivi❤❤❤🎉
@CHRISTINEONESMO
3 ай бұрын
Amen barikiwa umenifundisha kitu mtumishi wa Mungu
@LucyJoseph-z7v
7 күн бұрын
Mungu akupe maisha malefu mtumish,
@EliaSimoni-ye6lv
Жыл бұрын
Amen 🙏 ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@matildamwakatuma1206
10 ай бұрын
Amen Pastor Mmbaga kwa somo zuri tumesoma vema
@zubedamae-ro1jx
10 ай бұрын
Be blessed mtumishi umenifunze na nimejua mengi na kukumbuka mengi Mungu azidi kukupa hekma zaidi
@evoski3
Жыл бұрын
Thank you Pastor Mmbaga. Beautiful sermon. Needed this. Shukran.
@RachealMndambi-kv9sd
Жыл бұрын
Pr. Mungu akubarik sana.Songa Mbele Mungu Akutie Nguvu
@denisrukangula2227
10 ай бұрын
Mimi naweza kukupinga Kwa hivyo VITU viwili. Kama hautavielezea kibiblia Msingi wa ndoa kibiblia Ni Moja kwa mwanamke 1-utii Mbili kwa mwanaume 2-upendo kwa mwanaume Hivyo vitu vikikosa kwa wanandoa lazima ndoa ife mapeeeema Sasa utakuja Kufundisha Nini maana ya utii na namna Gani utii unavyoweza kunisaidia ndoa au kuiangusha ndoa nk
@JohnJohn-ql2kf
11 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@florencekanze
9 ай бұрын
Asante Sana pastor kunakitunimepokea kwakweli🎁
@MariamEmmanuel-s5r
10 ай бұрын
Ahsante Sanaa pastor nimebarikiwa sanaa🎉
@PamellaObaga
10 ай бұрын
Your sermon is very encouraging paster
@zamalisaide3209
11 ай бұрын
Asanteee kw somo mungu akujalie pastor
@lucasshirima2880
Жыл бұрын
Amina Baba...Nimekuelewa sana...Nimekusikiliza hadi Mwisho ...Hakika ni Mahubiri ya KPHD...umehubiri ukweli mtupu...Yohane 13:16...Kwa Maana hii Mungu aliupenda ULIMWENGU...
@SelestinMukulasi
Жыл бұрын
Uvaaji uo siomzuuri kwa mabest
@PatrickMwamlima-u3j
2 ай бұрын
Asante past mafundisho yamenibaliki
@CarlosKavenuke
9 ай бұрын
Amina Sana mungu akubariki
@RehemaEmanueli-so2kv
9 ай бұрын
Mungu akubark pasta Kwa ujumbe mzuri sana nimebarikiwa sana
@HarrisonMuriithi-bd2jo
Жыл бұрын
Watumishi wa Mungu aliye juu,Bwana asifiwe.Ninaloitaji la kipekee la kuongea mambo ya kiroho na mchunga Mmbaga tafadhari mnisaidie na namba yake.Mimi ni Murithi Harrison kutoka Kenya.
@Annienyagama
11 ай бұрын
Endelea hivohivo mnekuelewa mngu akupe maisha malefu❤
@osorosamuel2023
Жыл бұрын
Powerful sermon but poor dressing, very unfortunate for our church
@ernestmhilya960
Жыл бұрын
Great massage
@fredrickasoya7987
Жыл бұрын
Hello mchungaji! Mahubiri mazuri ya Mibaraka I'll Hawa wanadada wamejipodoa Sana huku Kenya huwa tunawafurusha hadi wavae kulingana na kanuni za kanisa
@RAHELIDARABE
Жыл бұрын
Nimeipenda pastor unanibariki sana ila wanaume hawapendi criticism na wakikataa tunawaachia afu yakiharibika ndo wanajirudi
@virginianduhia691
Жыл бұрын
Rafiki mpendwa hii ni arusi ,so Kila mtu ni msabato
@InnocentDominoes-nc3kz
2 ай бұрын
Mungu akubariki sana uishi miaka mingi.Amina
@AngelngonyaniAngelngonyani
Ай бұрын
Ubarikiwe kwasomo
@DianaDiana-u2u
9 ай бұрын
Asante pastor
@cerealisfelician3807
Жыл бұрын
Nashukuru Sana pastor kwa mafunzo haya
@modesterstephanokusekwa1432
9 ай бұрын
Aminaa
@BeatriceKisimba
8 ай бұрын
Pastor Barikiwa sana
@FainesKitinusa
3 ай бұрын
Ubarikiwe kwa neno lenye kuponya ndoa zetu
@ScolaMujaki
5 ай бұрын
Barikiwa Pastor
@PeterBoroi
Ай бұрын
Hakika pst mungu akubariki
@treziambukwa8978
11 ай бұрын
Be blessed pastor
@sauud2some471
Жыл бұрын
Mungu alibariki mutumishi wa Mungu ❤❤❤
@PeterNdembo
Жыл бұрын
Yani wewe mtumishi pastor ufike mbali....nakuelewa sana na unaeleweka sana...barikiwa sana unatubariki sana...
@cosmaskabila3058
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@anzurunimmj9462
Жыл бұрын
❤❤ Mungu atubariki na kutuzidishia hekima na maarifa kweli.❤❤
@graceb2398
3 ай бұрын
Amen pastor nabarikiwa nafundisho hii👍💐
@kasokihortense7313
6 ай бұрын
unarikiwe sana umenijenga Sanaa pokea salamu zangu kutoka Congo DRC n'a kushukuru
@josephshida469
Ай бұрын
Nakuelewa sana mungu akubaliki sana
@DrChief-xw8ei
Жыл бұрын
Mch.Mbaga unanibariki Sana Mungu akutumie vema
@JosephKhabweri
Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana pastor ...lakini washauri kuhusu mavazi ya kikristo
@timothymuthomi1618
Жыл бұрын
It powerful sermon but actually do they dress in diceits way . their dressing codes are alarming as an adventists The outward appearance portrays the inward character.
@EmmaNdivo-t3p
6 ай бұрын
Pastar mungu akubariki kwa ushauri wako
@PhionaAbdallah-uv5fl
Жыл бұрын
Pr ubarikiwe sana mafundisho mazuri
@TammyNickolas
5 ай бұрын
Unanibariki sana paster
@moniquenimbabazi4528
Жыл бұрын
Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza
@IRENEMasisi-hm1cb
4 ай бұрын
asante mungu Kwa ajili ya plaster unaponya ndoa zetu
@ElizaAmiri-g8x
Ай бұрын
Mchungaji kwahyo Kwa changamoto ya unzinzi wanandoa wanaweza kuachana???
@EvaNyondo
Жыл бұрын
Mungu akubariki san baba mungu azidi kuku2mia kadri awezavyo
@magrethclement500
Жыл бұрын
Amen MUNGU akubariki
@PeterVenancePeterjr
11 ай бұрын
Nimejifunza mengi. Sana ubarikiwe pasta
@alundalubuku9021
Жыл бұрын
Barikiwe mchunga kwa some mzuri ya ndoa.
@BekaMerama
Ай бұрын
asante nafatilia mafundisho yako
@ElizabethJackobo
Ай бұрын
Amina
@ReubenRaymond-zh4yw
13 күн бұрын
Mm reu vz mke wangu zainess tangu tumeoana, hatujawahi kuwa na house girl mapema au at once.
@DianaSichula
Жыл бұрын
Barikiwa sana pr
@christinapeter7131
Жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji maana hayo usemayo ni laivu bila chenga
@graceakech1826
10 ай бұрын
Powerful message
@PatrickMwamlima-u3j
2 ай бұрын
Imeingia iyo past
@happyelly8575
Жыл бұрын
Asante sana mchungaji kwa hekima hii kubwa.
@tumaininestory4037
Жыл бұрын
Aminaa Asante sana kwa ujumbe mzuri
@elizabethyaadzomboelizabeth
Жыл бұрын
Ubarikiwee mchungaji
@KatotoKatoto-ll8ue
5 ай бұрын
Amen
@mercykassile363
4 ай бұрын
Somo zuri sana limenijenga
@MajaliwaBunyinyiga
Жыл бұрын
Hakika mchungaji uko vizuri saana
@RehemaMuhagama-es3bj
Жыл бұрын
Mungu akubarik sana mchungaj
@estherkisamo1351
9 ай бұрын
Amen..
@anzurunimmj9462
Жыл бұрын
Amina ❤❤
@josephinesanita4904
Жыл бұрын
Mm ombi langu ni utakuja unifungishe ndoa panapo majaliwa ya mungu nmependa ushauri wako pr
@HappyArcticWolf-vy7iy
10 ай бұрын
Mungo akubaliki
@kubungalucas2047
8 ай бұрын
Huwa sipendezwi na hao wanaokaa kule mbele na wanakaa mkao wa kuandika nne kanisani. Au hapo imekaaje wapendwa?
@stephenmpembwa6627
Жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo zuri pastor
@jackmasiko2583
Жыл бұрын
Mwenye namba ya cm ya hyu mchungaji jaman naiomba naitafta Sana jaman
@lucasshirima2880
Жыл бұрын
Amina sana ...Show off...Ndoa ni Siri na Ndoa ni Fumbo la Mwenyezi Mungu
@MwasomolaKalinga
Жыл бұрын
Hakika mtumishi umefungua ufahamu wa akili yangu barikiwa pr Mbaga
@samuelkusina3755
Жыл бұрын
Pastor uko vizuri
@TALIGU_ONLINE_TV
11 ай бұрын
Eeeee,Mungu tusaidie tujue hiyo
@NeriyaMlowe
9 ай бұрын
Mung akubalik ❤
@innocentkabeya2498
Жыл бұрын
You don't get into marriage because your friends are getting married, but you get into marriage because you have found love and you are ready to commit. We have so many divorce cases these days because people think they are in competition with their age mates.....My dear, Life is never a race, things happen at different times for different people....Think before you say yes.
@feminakidiavai5849
11 ай бұрын
Amen mafunzo mazuri ya kujenga ndoa
@ADELAMALILA
10 ай бұрын
A. Hj😮😊😮😊
@mujumbemtiifu1908
Жыл бұрын
Pastor nimebarikiwa sana namahubiri hayo,ila nimevunjwa miguu nahào cjajua ni washiriki au laah
@rhodalameck5722
Жыл бұрын
Sasa mnaomwambia pastor wamevaa ovyo yeye awafanyaje kama watu wazima wameamua kuvaa vibayaaa,awachape?au awafukuze wakavae vizuri?acha magugu na ngano vikue pamoja mvunaji ndio atachagua coz am sure wanajua wapasavyo kuvaa
@lilianrichard6164
Жыл бұрын
Wakavae vizuri ndipo waje wafunge ndoa. Tunatakiwa kukemea dhambi kwa jina, co kuacha tu, kumbuka huo mvuto mbaya unaharibu kanisa.
@janelebayo6161
Жыл бұрын
@@lilianrichard6164 are you holly enough to judge? Vipi dhambi zako umeshaziacha au unaona wengine ndo wanafanya dhambi
@lilianrichard6164
Жыл бұрын
@@janelebayo6161 Mimi co mtakatifu na hakuna sehemu nimeandika hivyo, rudia kusoma uelewe nini namaanisha.
@jamesmelkiadesmpinika6337
Жыл бұрын
@@janelebayo6161kukemea na kuzuia vitu vinavyoleta makwazo sio dhambi wala sio kosa......!!!! Nadhan ingekuwa Heri wazee wa Kanisa wakawapanga kabla ya Much. Kuanza mahubiri😢
@naomisimion1702
Жыл бұрын
Amen pr, lakin Hawa wanawake wamevaa vibaya Sana, and they are comfortable kuingia kanisani hivyo .
@shedomumbere2044
8 ай бұрын
Whouah 👊
@sindanosamson5144
Жыл бұрын
Mahubiri mazur Ahsante
@taizcitynam-nu8hk
Жыл бұрын
powerful message
@Allan-rg2bp
Жыл бұрын
Powerful message.thanks
@betrs5285
Жыл бұрын
Nimejifunza God bless you , japo sina ndoa😭😭😭
@zainabuathumani2571
2 ай бұрын
❤
@THERESIANDIMI-te6rm
Жыл бұрын
Maubili yako mchungajiNimebalikiwa sana nimejifunza kitu
Пікірлер: 238