“…tukishinda leo, wimbo mpya wa Simba Afrika unatoka leo”
Msanii wa bongo fleva, Tundaman aahidi kutoa ngoma mpya ya Simba SC leo, atamba mbele ya ‘Sir Jay’, akisema yeye ndiye msanii wa kwanza kuimbia klabu na wengine wote wamefuata nyao zake…..
Sir Jay naye ajibu mapigo akisema Simba kwa sasa ni kibonde wake….
Hakuna Kisingizio …..!
Mechi itapigwa saa 11:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
Негізгі бет KARIAKOO DERBY | Tundaman atamba mbele ya Sir Jay, aahidi ngoma mpya leo Simba ikishinda
Пікірлер: 7