Mwisho waubaya aibu,namapenzi yakweli tumeyaona usikate tamaa pamban kam su
@JoyceTarimo-h8v
14 күн бұрын
Waooow bong sungwa hii thamsilia nimeifuatilia mwanzo mwisho hakika nimejifunza mengi Sana,kupitia sungwa kanifundisha uvumilivu,na ujasiri wa kupambana hasa pale unapoipambania haki yako hatupaswi kukata tamaa,pia nimejifunza yale unayomtendea mwenzio yanakurudia mwenyewe malipo ni hapa hapa ..❤❤❤ bong sumwa love you Sanaa.
@OlestaTweve
14 күн бұрын
Nilimpenda sana hii movie kwakeli imenifundisha vitu vingi sana Kama song was. Alivyolipiza kisasi❤❤❤❤
@BatulMazuri
13 күн бұрын
Imetufundisha maana halisi ya karma👍👏👏🎉🎉❤💝 ni movie bomba sana na imetisha mashallah 🎉😂❤👏👍😘💞💕❤️❤️😍🥰🌹🎁
@OlestaTweve
14 күн бұрын
Nimeipenda sana hii movie ❤❤very expensive inatufundisha vizuri nilimpenda sana
@SaraTemba-i4i
16 күн бұрын
Nzuri sana hiii nimejifunza mengi pia ukitaka haki inabidi utumie akili na kuwa wazi pia ujasiri na kumtegemea mungu. 🎉🎉
@omarimsukulu
17 күн бұрын
Jamani Karim ni nzuri sana imetufundisha kwamba tuwe wakweli na waaminifu 💯
@wawudaBahati
15 күн бұрын
Ubayà ubweli kweli mapenzi ya kweli haya ,just wmepambana Sanapaka mahala wamefika conggra bonsuwa njaimini my favourite actor nitaimisi Sana hii thàthilia.
@zaydaahmad1626
14 күн бұрын
Mmmm hii picha nzuri sana inaelezea maisha halisi wanayoishi baadhi ya watu wengine wana roho mbaya sana,tamaa kupita kiasi inatufundisha tusiwe na tamaa sana itatupeleke papaya. 4:59
@mariamagdalena-bulegi4630
14 күн бұрын
Wow! The best video ever,hongera sana
@MariamuJuma-q1i
17 күн бұрын
Best series ever seen in Azam Tv Niko Mombasa Kenya much love
@JemaKalinga
11 күн бұрын
Hii movie ni nzuri sana nimejifunza kutorudi nyuma na kutokata tamaa katika maisha hata kamwa nitakumbwa na jambo gani.
@NeeemaBaby-oj4bt
15 күн бұрын
Movie nzuri sana na imetufundisha mambo mengi sana ❤❤ much love 💕💕💕 Walionakilisha sauti pia wamefanya vizuri sana a hundred percent ❤💕❤️🌹
@AshuraIbrahimu-od2be
15 күн бұрын
Wow dada umetufunza mengi ❤🎉
@HusnaSalumu-x2x
17 күн бұрын
uvumilivu wa sonwaa naujasiri umeleta mafanikio 🌹🌹kwao na jey min
@MamaImma-b8m
15 күн бұрын
Jamani nilinunua Azam kwa ajili ya karima tuu nakupenda sanaaa
@fatmasaid676
16 күн бұрын
Nimejifunza kitu Bora sana tukubali makosa tusamehe kweli wema unadumu daah nizuri nitajifunza katika maisha
@NasheMchomvu-ds5iu
15 күн бұрын
Jamani mimi kusemakweli songwa amenifundisha uvumilivu pamojaja namateso alio pata hakujali walakukata tamaa Bali alisonga mbele akijuwa ikosiku tu. Mungu ata muona nakweli mungu kamuona najoakm anatufundisha kuwa sikuzote usipende kumfanyiamwenzio ubaya utakuja umbuka maana utajiri unaisha lakini umasikini hauishi sasa siunaona alikuwatajiri lakini mwisho wasiku Karudi kuwamasikini
@AishaYusuf-r7k
16 күн бұрын
Kwakwel hii tamthilia ya Karina nimejifunza meng San moja wa tuwe waaminif kwakwel nimeipenda San Azam Hanna dog nawapa mauwa yen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AishaKidawa-bu8fo
13 күн бұрын
Unajitahidi Sana bro kwenye kuelezea upewe mauwa yako🌹💐🌷
@KhadijaDarii
17 күн бұрын
Wawoh sumwaa umetufunza sana jmnii ❤❤❤❤
@RachelPetro-v4h
15 күн бұрын
Song wa amecheza husika vizuri sana amengusa maisha halisi katika jamii yetu kama jeq na bom sayuki watu wenye tamaa wasiyoridhi kupata maisha Kwa njia sizikuwa Hali na ubaya hadumu ziku zote
@JenniferMwandosya
17 күн бұрын
Good movie
@JohaAlly-kd6xu
17 күн бұрын
Nawapendawote❤❤
@FatinaMsofe
15 күн бұрын
Karma imetisha sana ❤❤ nzuri mno,
@flora77mashele49
17 күн бұрын
Ukitenda mabaya utalipwa mabaya filamu ni nzuri sana inafundisha
@JenifaPonzian-s4h
17 күн бұрын
Mimempenda sana sunuhaa speed mauwa yake na jeminijaman 🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@wegram_Movies
17 күн бұрын
kweliiii
@AgnesMwikwabe
16 күн бұрын
Kwa kweli katika tamthilia nimependa namna suwag'waa alivyokuwa hakati tamaa ila nimejifunza mwisho wa ubaya aibu
@EsterChami-kj2sz
16 күн бұрын
Jamani naipenda Sana hii muvi
@MuzmomAlly
15 күн бұрын
All good things have pain,kiukwel kukat tamaa sio jamb sahihi, muhim ni kupambana bila kuchok ukwel hujuilikana taratib lkn unamanufaa na uongo hutawala maisha ya kila siku lakin na hatimae kuharib kila kitu,ni mimi muzna kutok zanzibar asant karma❤
@NaimaHemedNaimahemed
14 күн бұрын
Nawapenda wote ❤❤❤❤❤❤❤❤
@SophiaAugustino-q1p
16 күн бұрын
Sonwa apewe maua yake anastahili pongezi❤❤
@Janeth-c1f
13 күн бұрын
❤❤❤ wapewe tuzo akuna mpinzani
@BatulMazuri
13 күн бұрын
Ni movie inayo tufundisha na kuwafundisha vijana au wanaume wasiwe na tamaa ya pesa na kuwa mapenzi siyo pesa na si kila aliye na pesa ni mzuri ❤😊😉😊☺️😌
@ZaharayBakari
16 күн бұрын
Nimejifunza mengi sana ila kikubwa ni kwamba tamaa ni mbaya sana chengine ni bora kila mtu ajipambanie yey mweyew kwa jasho lake ili kuepusha uovu
@EvodMichael
16 күн бұрын
Siries hii inaongelea uhalisia wa maisha kabisa mwisho wa uvumilivu na kujitoa ni mbivu twajifunza kwa song'haa🎉
@kenrickdavid3767
15 күн бұрын
Safi sana tumejifunza uvumilivu
@EvodMichael
15 күн бұрын
hakika
@WegramX
17 күн бұрын
NAMPENDA SANA SONG WA KWANI NI MUIGIZAJI MAARUFU PIA NI MJUAJI HASA KUIGIZA MOVIES ZA KIKOREA
@luciawangusu3702
17 күн бұрын
Upendo.
@WegramX
17 күн бұрын
subiri majibu
@JoyceKasembe
16 күн бұрын
Karma ni nzuri sana natamani ingeendelea
@vanessadaniel-xu2yy
15 күн бұрын
Nili jifunza mengi kwenye hi movie.hasa visasi si vizuri pia natakiwa kuwa mvumilivu
@janethdaud201
15 күн бұрын
Karma ni nzuri inafunisha mambo mengi katika jamii❤
@MamaFeisal-s4g
17 күн бұрын
Series nzur san tutaimiss sana wanajua kuekti kwa kweli big up for them .
@leonathakundi1246
17 күн бұрын
Usiache kutazama Azam two ❤❤😮😮
@BonifaceAlex-z8d
15 күн бұрын
Daah ihi series ina funzo kubwa
@RehemaBajuta-f1i
14 күн бұрын
Jamani karma imetufundisha sana ❤❤
@GraceJamesi-rk2nf
17 күн бұрын
Nimejifunza kuwa tusiwe na tamaa na pesa na pia pesa siyo kila kitu kwetu
@mamaummy-q5g
17 күн бұрын
Mimi naomba kwa mungu azidi kuku nyooshea mamboyako na mafanikio mema
@matridachaba3317
17 күн бұрын
Nampenda song wa na pia hilo nifunzo kwa wenye hii tabia
@agnesmvulla2801
16 күн бұрын
Aise tamthilia hii ninzuri ❤❤❤
@RupiaSaid
16 күн бұрын
Tamthiria hii inatufundisha kuwa dhuruma ni mbaya,
Пікірлер: 151