Aliyemskia joti akisema "anaona mpaka kesho"🤣🤣🤣 like moja nzito
@miriammtaki1495
Жыл бұрын
Jirani
@elifurahambowe510
2 жыл бұрын
“Kuna mda Naenda kujichukulia sheria mkononi” 😂😂😂🙌
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
Yn nyeto
@elifurahambowe510
2 жыл бұрын
@@samwelimoshi5614 Noma
@kijanawakisouth838
2 жыл бұрын
Nyeto
@youngweezy3846
2 жыл бұрын
😂😂😂
@elifurahambowe510
2 жыл бұрын
@@youngweezy3846 🤣
@kayjuma2629
2 жыл бұрын
Hahahaha dada ni mweupe Lakin anajidownload 😂😂😂😂
@Adnan.Shidhani
2 жыл бұрын
Hizi ndio content zakufurashisha.. sio kuonesha wanawake na mizigo yao
@dutchsafari7562
2 жыл бұрын
Team joti Mlio wahi wapema tujuane 👇hapa tafathali 😂😂😂
@mohamedmuhajiri4690
2 жыл бұрын
Kuna Mdaa uwaga naenda kujichukulia Sheria mkononi😂😂😂
@MrBriarth
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@husseinmaingo7116
2 жыл бұрын
Yaan kumuelewa maneno yake ni kipaj pia
@omarcarlos4595
2 жыл бұрын
Ila Leo joti umepita ndimo kabisa Hawa jamaa wameshawatapeli Sana watu
@kekiplus1andonly
2 жыл бұрын
Kipaji kilichokomaa Tanzanua😇🤗🥳🥳🥳🥳
@jumakassim5351
2 жыл бұрын
Itakuwa nchi mpya hiyo🤪🤪
@queenandchill91
2 жыл бұрын
@@jumakassim5351 😂😂😂 Tanzanua
@furahafanuel6917
2 жыл бұрын
@@jumakassim5351 nime cheka nilijua ata nyooshwa
@zarikassim7738
2 жыл бұрын
Aiseeee hii comedy imenifanyaa nicheke kwa uzuni sio kama nacheka kwa mazur sababu na mimi yashawahi kunikuta n akulizwa wakat huo 2017 nimetoka zangu oman kupumzikaa nikagumianaa nao hawa wakaniimbia simu zangu 3 na pesa laki 2 tena nilienda kuchukua mimi mwneywe ndan kwa akili zangu lkn nakuja kutahamakii nimelizwaa vibaya mnoo nusu nipatee uchizi maan simu zilikuwa zawadi za ndug znagu aiseee kila nikiwaona watu kama hawa wallah napata wazimu nao nataman niwakateee pua niendee nazo asanteee sanaa jot kwa comedy mzur ambayo ipo katika uaribia sababu na mimi pia mchangaaa wa ili japo na shuhuda pia😒😒😒🤣🤣🤣
@damarisosebe4161
2 жыл бұрын
Yaani mm nimetoka zangu Saudi Arabia na laki tano yangu yenye nimesugulia toilet za waarabu nikawakuta wakanitabeli zote pamoja na simu yangu na ndo nilitaka kufungua biashara 😭😭😭😭😭😭 na ni jusi tu ikabidi nirudi uarabuni tena.
@zarikassim7738
2 жыл бұрын
Nomaaa sanaaa hawa watu
@modadiiiooop3336
2 жыл бұрын
Yani hata mie nilitoka omani walichuku a dhahabu cm na pochi
@zarikassim7738
2 жыл бұрын
Poleeee me nakumbuka kuna mdada wa ndani alipelekaaa simu za maboss wake na pesa million 1 aiseee yule dada aliungua uchizi maan alilia kama mtoto mdogo
@halimameledy6926
2 жыл бұрын
Mm mwenyewe walinitapeli cm yangu nimetoka nayo oman uwawei sina hamu nao yan wanaondoka hakili ndo inarudi
@gladysrodrick3228
2 жыл бұрын
Jamani tusio weza kuangalia bila kusoma comment ebu tutambuane basi japo kwa 👍
@mabenzimabenzi4348
2 жыл бұрын
una bahati hujabebeshwa jiwe mimi mara ya kwanza kuja arusha nilipigwa simu ndogo hvyo hvyo na nilibebeshwa na jiwe lenye uzito wa kama kilo 10 nikatembea nalo karibu kilometa 1 kuja kugeuka nyuma hakuna mtu
@luggyqayn2410
2 жыл бұрын
Ila wametumia mbinu ambayo sio rahisi kushtukia, tuliowahi kupigwa hizi game tunaelewa
@beatricejulius302
2 жыл бұрын
Izi game balaa yaani mpka kujua dah matapeli
@ycmrpondis1537
2 жыл бұрын
Huyu Joti hanaga wakushindana nae😂😂😂 you Best comedian
@boazambokile2587
2 жыл бұрын
Huyu mbababe leo kabeba shangazi kaja 😂😂😂😂😂 Na anapita mlemle kwenye matatizo ya jot
@joharimanyanda3358
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@bahatilufingo5602
2 жыл бұрын
Mwamba umetisha sana hilo koti utafikiria upo Iringa duh hahahahahahahahaha
@brianchriss81
2 жыл бұрын
Kaka nakufuatilia kama mlo wa kila siku😂😂😂😂
@leengamlay99
2 жыл бұрын
Naenda kujichukulia SHERIA mkononi😂😂😂
@danielmatemu9698
2 жыл бұрын
Kuna mdogo wangu alishatepeliwa kwa style hii… akaenda nyumbani akachukua pesa za Mama akaenda kuwapa matapeli…
@stn4873
2 жыл бұрын
Aaaaaaaah Mwamba sikukujua kabisaaaaaa mpaka umeongea hilo lisauti ndio nimekugundua.
@treshazgodfather9219
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Mbona kama imenigusa hivi hawa matapeli kama mm nilivotapeliwA😂
@leilatemba9871
2 жыл бұрын
Ata mimi ilinikuta style iyoiyo jamn 🤣🤣🤣🤣
@muharas0059
2 жыл бұрын
dah mi mwenyewe nishapigwa ivo mamae
@Watema23
2 жыл бұрын
Watu wa Kigoma wanapenda ramli sana.
@hkthebaddest
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂NAJICHUKULIAGA SHERIA MKONONI......JOTI is the best EVER🔥🙌
@zangkhed7999
Жыл бұрын
Kumbe 2meelewa wengi🤣
@ernestmwakalambo3938
2 жыл бұрын
Nishai Mtombangile kitwango mikazo 😂😂😂😂😂😂
@tchipppo
2 жыл бұрын
Hiyo style tumetapeliwa wengi jamaa wanatumia dawa kukupumbaza ili wakupige
@mosesndunguru5731
2 жыл бұрын
Sio dawa ni research
@CertifiedStoic
2 жыл бұрын
MWAMBA anakuja vizuri sana 🔥🔥🔥
@magrethmbuma3045
2 жыл бұрын
Nimepata tabu kumgundua baunsa kwamba ndio mganga hhahahahaha nyiiiiee Joti anajuaa sanaa
@LoliloStamina
Жыл бұрын
Na mm nimechukua muda mrefu kumjua Kama ni yy😅😅😅
@lilianalmas5911
2 жыл бұрын
😂😂😂MAMAA wamenipigaaaaaaaaa. Nishai kapigwa na kitu kizito😁😁😁
@allstars7526
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Bro Joti umenikumbusha nilivyotapeliwa simu yangu Mwenge pale 2021
@cedricmaina4523
2 жыл бұрын
Mama, nimepigwaaaaaa... 🤣😂🤣😂
@maigekelvin75
2 жыл бұрын
Kamnyima mama ake kaenda kuwapa mataper jaman laana kapata mapema kabla jua kuwaka..nimejifunza kitu hapo😅😅😅😅joti nomah
@ndochiboetz8299
2 жыл бұрын
Gonga like hapa twende sawa fans wa joti😂😂😂
@isayajames6874
2 жыл бұрын
Nampendaga uyu bibi yn anajuwa kuigizi vby Lamatah ajamuona uyuuu au nimemwona peke yangu
@marthakabola9807
2 жыл бұрын
Nilishawahi kutapeliwa Kama joti walivyomfanyia mazingaombwe
@neemairakoze9218
2 жыл бұрын
Anaona mbaka kesho Joti we Love you bro 😁😁😁😁😁😁😁😁
@saidramadhan9417
2 жыл бұрын
Joti we kiboko ,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😥
@starjay3052
2 жыл бұрын
sijapata ata muda wakujipongeza na pesa yangu 😜😁😁🤣🤣😂😂
@audiphoncealphonce2079
2 жыл бұрын
Watu mnaangalia kama kichekesho ila kwa ambao washakutana na hii aina ya utapeli basi wanaelewa kuwa joti situ anachekesha ILa anafundisha mambo halisi yaliyomo mjini.mim mpenzi wangu alitapeliwa sim kwa namna hii hii mwezi mmoja uliopita na wanadeal sana na watoto wakike
@victorsomba867
2 жыл бұрын
Yaani hii Kama haijawahi kukukuta huwezi elewa, niliibiwa simu,hela,vitambulisho kwa mtindo huohuo. Walaaniwe wale watu iseee 😭😭😭2015
@captainalabama2065
2 жыл бұрын
This is what I call Real Talent ,,Big Up Nishai Mtombangile Kitwango Wa Mikazo..🤙🤙🤙🤙
@davevice3178
2 жыл бұрын
Umesahau ktu broh "Miguno"😀😃😃😃
@victormwabuka1850
2 жыл бұрын
Miguno
@kassimrajabu7805
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@frankenock2853
2 жыл бұрын
Huwa nacheka sana litamkwapo hilo jina Nishai mtombangile kitwango wa mikazo 😀😀, nihakiyake kuchukua mchekeshaji bora,, Big up sana broo Nishai
@jacksonnduna4419
2 жыл бұрын
😂😂😂 mm hilo jina tu, eti mtombangile kitwango wamkazo daaa 😂😂😂😂
@davidnchoji
2 жыл бұрын
This guy is another level 😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽
@prosperkullaya6721
2 жыл бұрын
Amenikumbusha mzee jongo na majuto wengine tumetoka hm miaka ya 80
Lete Ushuhuda Hapa Kama Ushawahi Kupigwa Kwa Style Hii
@mwananyamalaz4427
2 жыл бұрын
Nimechaka Sana tena sana Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣
@gastonjoseph2596
2 жыл бұрын
Nakweli ume pigwa kitu kizito cha kichwa😄😄😄😄🤣😄🤣
@mariamgodfrey53
2 жыл бұрын
Halafu hawa jamaa usiombe ukakutana nao kwenye 18 zao kama wanakuaga na dawa usirogwe wakusimamishe usimame wakuhoji maswali uwe unawajibu la hasha! Imekula kwako.
@josephalfred7759
2 жыл бұрын
Baada ya kupigwa kofi na mama ndo akagundua kua amepigwaa😁😁..
@tabuhatibu6496
2 жыл бұрын
Wallah nimecheka mpaka mkojo unataka kunitoka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣joti unanini lkn 🔥🔥🔥🔥🔥
@eunicethoya6021
2 жыл бұрын
Inaburudisha ila cjui kipande na sopa walienda wapi
@ferouzmasoud4870
2 жыл бұрын
Kuna muda naenda kujichukulia Sheria mkononi kwahiyo unaenda kupiga Nyeto 🤣😂
@kodackdeblack7982
2 жыл бұрын
😂😂😂😂nishai mtombangwile kitwango mikazo
@sarahomary3615
2 жыл бұрын
Aki nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣Eti wamenipiga😂😂😂😂😂
@angelluanda4221
2 жыл бұрын
Stasahau 😀😀
@assab3167
2 жыл бұрын
Unajua joti
@sanja_graphix
2 жыл бұрын
Nishai unajua sana, unaigiza kwa kuchekesha watu wa lika zote, uko vizuri sana nakukubaliiii😂😂😂😂😂😂
@harryvice77
2 жыл бұрын
Hahahaa eti kachukua sheria mkononi
@queenandchill91
2 жыл бұрын
Fanya uoe utakuja kutubaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@chondeboy5121
2 жыл бұрын
Umenikumbusha joti na me nilipigwa ivo daah 😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@tonnykroos5930
2 жыл бұрын
Umejichukulia sheria mkononi
@jameskayanda1702
2 жыл бұрын
Comedian namba moja Tanzania
@fatmafetty4117
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli katapeliwa
@nemesapollo4846
2 жыл бұрын
Katapeliwa aaah jotiii 🤣🤣🤣🤣
@ZainaMuhunzi
2 ай бұрын
Mwamba sauti kama dudu baya😂😂😂😂
@christiansamwel681
2 жыл бұрын
Mjumbe ataamua yeye kama awepeleke msikitin au kanisan
@blackpanther4825
2 жыл бұрын
Anajichukulia sheria mkononi. Hii crew yako mpya naipenda sana wananifurahisha sana 🤣🤣🤣🤣
@storyzatowntz
2 жыл бұрын
Wapo vizur sana
@joohnicoh3596
2 жыл бұрын
This guy is talented 😂😂😂🙌
@abdulazizimohamed3093
2 жыл бұрын
For sure!
@prosperkullaya6721
2 жыл бұрын
Nataka ni mlete Italy atufurahishe wabongo
@jumaselemani2720
2 жыл бұрын
Daah hii ya leo kali kaka umetisha kaka 😅😅😅😂😂
@sottithomas9443
2 жыл бұрын
Utapeli halisia uliopo dar es salaam.
@dullydullahsenior756
2 жыл бұрын
Nishai 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🇧🇮🇧🇮🇴🇲
@starjay3052
2 жыл бұрын
iyo nywele ya wapi 😜😂😂🤣🤣😁😁
@mohamedsheealom8745
2 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 Yani huyu Nishai anakuwa bunga sana pale akiwa kiboga anakuwa mke wa fujo mdangaji kisha pale akiwa Anunje hehe jamaa la kusumbua walimu haya sasa wakati wa babu🤣🤣mzee hatapeliki kabisa ukimtapeli unakula bakora🤣🤣jee unahisi nani anaeza kuchukua uhalisia wote huo tanzania nzima hakuna kwakweli kama yuko niambie nani 🤣🤣
@rehemaathuman6669
2 жыл бұрын
Dulla vanny
@augustmbuya7051
2 жыл бұрын
Hahahahaa daaa et Sheria mkononi
@mvfff7224
Жыл бұрын
Jot unanikumbusha zaman wallah kariakoo yalinikuta 😂😂😂 matapel wajinga sana 😂😂😂😂
@ben.breaker
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/mZyqqKaMn6uanYo MODEL ANAEWATOA JASHO DIAMOND PLATNUMZ na JUX 🔥🐉
@mrramsonvidal170
2 жыл бұрын
Unafichua siri za watoto wa Manzese brA😂😂
@madpusher2036
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mbona kama anaonekana ana matatzo uyu
@samiyahamad7422
2 жыл бұрын
*I got saved and sitaki uchoyo wa kusaidia wengine. Usishikane na shida, wakati msaada upo.* 🤲🏼🤲🏼 MZEE JUMAA MGANGA WA JADI HODARI ZAIDI DUNIANI KUTOKEA KIUYU PEMBA kzitem.info/news/bejne/w6B_p6ypgISUZaA
@imbatokamoyoni2209
2 жыл бұрын
Hii mi nilitoa milion tatu nikatoa mkopo benki hatari
@mgangasamandua464
2 жыл бұрын
Umetsha kaka nakubar ipo Sana iyo so uongo makolo wanalizwa Sana his ndo ninavyo penda mm usaidie kupeleka ujumbe kwa watanzania, ME NAKUKUBAR JOT ILA UNACHO NIBOA MM SITAILI YAKO ILE YA KIBOGA DAAH UNAKUAJE KAM MAMA? HATA KAMA NIKAZ ILE UNABOA BABUUUU!!!!
@samiyahamad7422
2 жыл бұрын
*I got saved and sitaki uchoyo wa kusaidia wengine. Usishikane na shida, wakati msaada upo.* MZEE JUMAA MGANGA WA JADI HODARI ZAIDI DUNIANI KUTOKEA KIUYU PEMBA kzitem.info/news/bejne/w6B_p6ypgISUZaA
@lukaliwakukodiwa1617
2 жыл бұрын
Hata mia
@aliomari5961
2 жыл бұрын
nilishawahi kupigwa style kama hii tu,, sitasahau ILALA BOMA
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
Pole sana mdau dunia ina mafunzo mengi kila uchwao hakuna anaeijua kesho yake
@eggysulle7988
3 ай бұрын
😂😂😂jmn
@lamarmullahzalim2748
2 жыл бұрын
Maf respect from 🇰🇪🇰🇪. Eti huwa anachukulia Sheria mkononi 😂😂😂😂😂. Nishai umeshinda
@maishacenter-eastafricatv3976
2 жыл бұрын
Hivi Nishai mzima kweli?
@freddybamba3423
2 жыл бұрын
I'm the number one fan of joti
@paulsamuel5300
2 жыл бұрын
Huyo dada nimemwelewa
@benjaminahadi5926
2 жыл бұрын
Usitizame ukiwa n'a watoto wadogo 🤭🤭🤭 kzitem.info/news/bejne/zouanKuKpXaBqGU
@mrpolyect7519
2 жыл бұрын
Sheria mkononi 😂😂
@AmCool_
2 жыл бұрын
Eti chooni anajichukulia sheria mkononi 🤣🤣🤣🤣🤣
@ummycheedy2809
2 жыл бұрын
Joti unafundisha sanaaa hz comedy zako asee hawa wat wapo mdogo wang walimtapel cm mkoba na hela hvy hvy 😓
@hamsikrasheedi1796
2 жыл бұрын
😂pole
@lorenzokelly4374
2 жыл бұрын
😂🤣😂🤣😂 asiye funzwa na mamaye tafunzwa na ulimwengu. The most talented comedian ever.
@iankweyamba7776
2 жыл бұрын
Nishai kitombangile mikazo 😂😂😂 wewe ni moto 🔥
@mrjaula7769
2 жыл бұрын
Joti na mpoki ndio masupa stars wa comedy nchini Tanzania.... 😂😂Joti nyota yake Ni mpoki pia Mungu awahifadhi na awape umoja wa Hali ya juu.. I'm from Zanzibar
@mohamedsheealom8745
2 жыл бұрын
Mpoki nahisi haezi enda peke yake angekaa na Nishai angekuwa mbali sana Nishai sahi wacha afukuziwe na kina bigi, dogo sele, wengine wafwate lkn joti kaweza kashinda tabia🤣 🤣
@kimsamespa8490
2 жыл бұрын
Mpoki huyu ni yupi sisi ni.joti
@mohamedsheealom8745
2 жыл бұрын
@@kimsamespa8490 🤣
@fasterwalker1464
2 жыл бұрын
@@mohamedsheealom8745 mpoki ni fundi Sana hata joti pia
@mohamedsheealom8745
2 жыл бұрын
@@fasterwalker1464 sijaona ufundi wa mpoki kwa kweli kelele tu ndo naona 🤣ila tusibishane kwa comments za joti hapa twaongelea mwamba wetu joti tu mpoki sioni anachofanya kwakweli lbda aje kwa joti afanye colabo itafana
@shabanshomary7421
2 жыл бұрын
Dah kama naMwona vule mwanangu ema alivyo tapeliwa pale massana nani walivyo mfanyia nishai bax nae ilikuwa hivyo hivyo aiseeh utacheka upasuke🤣🤣🤣🤣🤣🤣kazi nzuri Nishai🙏🙏🙏🙏
Пікірлер: 801