Likes za chama,,, Wanayanga tushow love kwa likes za CLATOUS CHOTA CHAMA Like hapa
@eliathomas8446
20 күн бұрын
Aziz,chama pacome😅Pacome,chama, aziz❤🔥🔥🔥
@MzeewaYanga-hm8jq
20 күн бұрын
Like za injinia tunaesabu hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@aishafranco1055
20 күн бұрын
Tunao tamani ligi ingeanza hata kesho tujuane kwa like 👍
@eliathomas8446
20 күн бұрын
Bora hata wewe unaiwzia kesho mm nataman yaani ligi ianze leo
@aishafranco1055
18 күн бұрын
@@eliathomas8446 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@BakariShabani-nf4rz
20 күн бұрын
Like za pacome aziz k na chamaa yanga raha sana
@jr_mkumbojr
20 күн бұрын
Team yetu ikiwa Avic Town huwa najawa na faraja sana kuliko kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi🎉🎉🎉
@massatujeli3158
20 күн бұрын
Kabisa even 💚💚
@muddymuzungu4357
20 күн бұрын
I second you brother
@user-vi7ly9zh1q
20 күн бұрын
Yanii😢natamani ningekuwa namm Tanzania niende namm burundi nikaishangilie tim yangu jamani 💚💛💛💚
@muddymuzungu4357
20 күн бұрын
In Shaa Allah utaenda kaka!
@RACHELATHANASIDAUDI
19 күн бұрын
Hakuna umbali siku hizi Kila kitu kiganjani mwako,💚💚💚💛💛🔥🔥🔥
@TausiKitundu
20 күн бұрын
leo mimi wakwanza nipeni like zangu
@patridabernard9148
20 күн бұрын
Mungu ibariki Yanga yetu Mungu wabariki wachezaji wote Amen
@AberyMathias
20 күн бұрын
Like zs azz kii mwamba gonga hap mwananchi
@naliakafatuma9870
20 күн бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana nime furahi kuwaona pamoja kazi njema kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
@AfidhaAlfan
20 күн бұрын
Ilove Azizi ki Ilove pacome Ilove chama Ilove young African
@user-vq5vn4gi9t
20 күн бұрын
Mm mwenyewe kama mwana yanga naomba siku zote team yoyote duniani isidharauliwe, tutakuwa Burundi ❤❤
@amaniomar1755
20 күн бұрын
Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
@lwzmangulu7532
20 күн бұрын
Naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚🙏🔥🇹🇿
@frankfulgence
20 күн бұрын
Yanga ni timu kibwa so tutegemeee mazuli 🎉🎉
@bongodata
20 күн бұрын
Jamani njooni tuangalie bongo data
@dataduel100
20 күн бұрын
nimesubscribe
@foreveryu247
20 күн бұрын
nimesubscribe..kazi nzuri
@kinghuojlund-un2nb
20 күн бұрын
bongo data kazi nzuriiii
@hectorfunny
20 күн бұрын
vizuri data za uhakika
@Maddison-fp3nu
20 күн бұрын
noma sana
@johnjames-pw1dp
20 күн бұрын
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
@SamwelThomas-d1g
16 күн бұрын
And
@MasudiUledi
20 күн бұрын
ynga tamu sn❤❤❤❤❤❤❤
@ezrageofrey9668
20 күн бұрын
💚💚💚💛💛💛
@CHACKRYABDALA
20 күн бұрын
Ni kuwapelekea moto tuuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@ZarafiAlly
20 күн бұрын
Wanaotaman jezi zitoke ata leo tujuane kwa like 👍 hapa
@nickolassimion
20 күн бұрын
Kuna wamasai wajuta kushabikia Simba. Ilikuwa usiku wa Giza. Wasema. Like kwa masai mwelewa.
@user-qn8mh2el2d
20 күн бұрын
Naikubali sana yanga
@Sumaiyafisoo
20 күн бұрын
Hongera 🎉🎉🎉🎉🎉injinia
@paulhenry6253
20 күн бұрын
Yanga BINGWA
@martingodfrey7105
20 күн бұрын
Hawa VITAL O Tutawapiga Bao 10-0 kwa kikosi hiki cha Gamondi 😅 Hakuna cha msamaha kila mechi ni Vita tu uwanjani Uwanjani
@SadikYommary
20 күн бұрын
Hawa vitaloo watakula 5-0
@muddymuzungu4357
20 күн бұрын
Watakufa jumla home and away 7-1
@husseinabdallahmkupulo1784
20 күн бұрын
Mungu atasimama na ss mpaka final safar hii
@lynhwilbardruckachale4205
20 күн бұрын
Amina 🙏🙏
@Pox_media
20 күн бұрын
KWA LIKOSI HILI LAZIMA YOUNG AFRICANS SC ITIMIZE MALENGO YAKEE MZEEE 🔥🔥🔥
@comfortkitiwi2879
20 күн бұрын
Naomba matawi ya Mikoani tujuzane center ya kupanga safari ili tuhudhurie.
@godfreysimoni4270
20 күн бұрын
Tunaimani na timu yetu hakika makundi tunayataka
@EliamgendaMasunga
19 күн бұрын
I love you mdasili pakome Ki na yanga yote hakika ninyi mnaikoga mioyo yetu mungu atujaalie mafanikio tere❤❤❤❤
@dannymkogoti961
20 күн бұрын
ACP aziz chama pacome mbona wahalifu wite watapiga salute 👮
@sabiyozeissa689
20 күн бұрын
mm nimurund nayipend san yang uzalend wakuitwa murund naon utanishind kwakwl
@goldmansun5859
15 күн бұрын
Hahah
@rajabukamis9411
20 күн бұрын
Yanga ya moto 🔥🔥
@MasterG-dc1tx
19 күн бұрын
I love all member's of young Africans asanteni sana, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@samychomakantastymela7175
20 күн бұрын
Burundi tuanze mapema maandalizi ya safari watu tutumie hizi siku kujichanga kifedha
@JUU-lw2je
20 күн бұрын
Yanga mna maajabu sana kwa kweli mnabiresha safu ya ushambuliaji huku mabeki wa kukaa na diara mnategemea mwamnyeto bacca ni kama mmeshamuuza
@muddymuzungu4357
20 күн бұрын
Wewe ni KOLO WAHID BACCA ANA DHARURA KAUZWA WAPI??😢
@MosesWilliam-oh8tt
20 күн бұрын
Injinia uish miaka mia😊
@user-lm6wc8gw3z
20 күн бұрын
Mungu ibarikie yanga ushindi hadi fainal cfccl
@aishabakari8040
20 күн бұрын
Aucho Bacca Musonda Mkude likizo yao inaisha lini 😢
@filemonkwaja6181
20 күн бұрын
Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha. Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.
@Shebe_traLove
20 күн бұрын
Naam nina imani natimu yangu pendwa inshallah allah tuta fika mbali
@user-if2yf3gp6k
20 күн бұрын
kamer man mbn mud wot kamer kwacham2 kwawachezaj wengin aaaaaah
@ezrageofrey9668
20 күн бұрын
nani nishare naye izi raha dadeki 😁😁😁💛💚💚❤🔥
@malietamaliet
20 күн бұрын
😂😂😂jmn Simba aina staa ata mmoja wanazidiwa na Azam Ako fei
@Sumaiyafisoo
20 күн бұрын
Aziiz pacome chama🎉🎉🎉🎉
@JANE-jv4eq
20 күн бұрын
Sawa semaji letu pendwa 🎉🎉🎉🎉
@AzoryIgnas
20 күн бұрын
Kwa kikosi hiki Azz ki pacome na chama ata Mimi nikiwa kocha naipatia matokeo... engineering gamondi akiondoka jicho lako linione
@AbaidiiniNgweti
20 күн бұрын
Yajayo yanafurahisha 😂😂😂😂 mafund wanapiga story wakiwa na furaha
@jamesmartin7026
20 күн бұрын
Ogopa sana kambi ikiwa na furaha kama hivi 😂
@allymtapera5370
20 күн бұрын
Nyie mabwege hatuingizi team kama kufungiwa poa
@emmanuelchilimo
20 күн бұрын
LIKE ZA ABUYA hapaaaaaa... speed Chita, huku Chadrack kazi wanayooooo mamaeeeee
@GodfreyHenryDaimon-yo6ix
20 күн бұрын
Natabasamu2 na vichozi vya furaha😂😂
@AllanAluma-ss8lb
20 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko! Yanga for life
@massatujeli3158
20 күн бұрын
Naomba kujua yuko wapi daktari wa timu yule mtunis
@contempo_builders
20 күн бұрын
Gamondi hakumhitaji tena. So hakuongezewa mkataba mwingine.
@JadonKuyokwa-oe7mp
20 күн бұрын
Wow! Niwakati wa ushindi 🔥🔥🔥🔥
@priscairene4605
20 күн бұрын
Innshahrah
@BangutuErick
16 күн бұрын
mungu ibariki yanga daim❤
@OkimasterO
20 күн бұрын
Burundi 🇧🇮 hakuna team nyingine tunajuwa young africans tu
@abdulzanzibar7154
20 күн бұрын
Likes kwenda kwa uwongozi Bora na himara🎉
@sabrinakassimu
20 күн бұрын
huko huko Burundi wata jua Hawa jui🔥🔥🔥
@salemarahbi9171
20 күн бұрын
😅😅😅kweli yanga ina sifa sana
@kateadam8204
20 күн бұрын
Allah atujaalie tufike mbali ikiwezekana tufike paka final nakubeba kombe Insha Allah na iwe kher Aamin.
@5googleuuu727
20 күн бұрын
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote
@kabujeasukile5462
20 күн бұрын
Haya mapicha yanatisha wapinzani💚💛💛💚💛
@MRJ1308
20 күн бұрын
Burundi tunaenda wote
@hamudshabani7801
20 күн бұрын
Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game
@dkasfilmstudio4641
20 күн бұрын
Yanga timu yangu Vitalo timu yangu daaah 😢
@ChidySuleiman
20 күн бұрын
Kumbe naweza kunenepa sasa walau kimbaumbau mm😊😊😊
@KelvinRobert-mn2mn
19 күн бұрын
Kama waipenda yanga weka like 👍
@LilyKoba-wx2pj
20 күн бұрын
Daaaa nimeskiliza kwa makini sana yani maneno mazuri mfano wa injili naipenda daa yanga mwaaaaaa
@meshacknyandongo577
20 күн бұрын
Hapo namkubali mudatiri, mzize na jamaa mmoja wa hatari prince dube fanyeni kazi vijana wetu wa Tanzania sisi tunawapenda sana
@rehemaothaman486
19 күн бұрын
Naipenda sana yanga
@NaftalyNgeze
19 күн бұрын
mungu nimwanifu yanga 💪🙏💯
@user-qo6bk1zs8m
20 күн бұрын
Why mnahanzia hatua za awali mabingwa jamani pole kumbe nyuma mwiko kweli
@user-hk4hk4gd5x
19 күн бұрын
Allah atufanyie wpc
@MtashobyaJosia-wt9jq
20 күн бұрын
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania tunakupata kwauzuri kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho
@claratango9262
20 күн бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
@FaridaMhagama-fc1kr
20 күн бұрын
naipenda sana yanga
@BraytnessYese-j7h
20 күн бұрын
🎉🎉🎉 daima mbele nyumaa mwiko
@AbdulysuleimanShemashilu
20 күн бұрын
Ntaaibika sana ngojeni ligi ianze
@kanyeshahigirimana5686
20 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@AziziKimbeJeradyJR
20 күн бұрын
Dream team
@johanesahmed5876
20 күн бұрын
Yanga yangu naipenda sana
@DamaIbra-gk4lr
19 күн бұрын
Tumwombee chama akafanye vzr zaidi
@mwajumampokileomckapela7541
20 күн бұрын
Waooo chama langu pendwa ✅✅🔰🟢
@jamaldeenmakenga
20 күн бұрын
Yaaniiii, leo nampa like kila mtu 😅
@KS-iw7qv
20 күн бұрын
WACHEZAJI wajitume wajitoleee...... Mara hii TUSISIME MPAKA NUSU FAINALI AU FAINALI...........
@NasriAshel
20 күн бұрын
we are going to be biggest club in Africa
@Fabianfideltz
20 күн бұрын
🎉🎉🎉 finally yetu
@MauBonde
20 күн бұрын
Muhimu wachezaji wote kujituma kupigania nembo yetu ya yanga kila kheri kwa wachezaji wote.
@ObeidPaul
20 күн бұрын
Wanashow love Aziz zizou na treple v💚💚💚💛💛💛
@law93king
20 күн бұрын
aiseee yanga rahaaa sana
@KennedyJohn-p1i
20 күн бұрын
Nipigieni makolo kumi tareh 8
@patrickmallya4516
20 күн бұрын
my wish: siku moja aziz awe kwenye position ya kufunga kabisa alafu afanye kama anapiga bonge la shuti kumbe anampa dube pasi na dube aingize goli, alooh kwa kasi ya aziz akitishia kama namuona kipa upande wa pili wa goli na dube anafunga kirahiiiiiiiisi.... walah kuna watu watakufa...
@MourinhoKey
19 күн бұрын
Ooogy Aziz key namba 10 chama namba 7 pakome namba 11 wanasimba msimu ujao mtakomaa aseeee duuuh
Пікірлер: 319