Duuh wnawke na maendeleo mfanye kazi mpate maendeleo😂😂
@iam_sami
Жыл бұрын
Wote waongo hao wa kwanza mm more blessing guys 🙏🏽
@zeynaaly1948
Жыл бұрын
Nishai jmn nimemmiss Dada kiboga mbn huigizi ni mda sasa umetueka tunamsubiria utuvunje mbavu zetu
@emmanuelmtonyole9958
Жыл бұрын
Tuliochelewa kuiona likes hapa tujuane😂
@abubakarmboko
Жыл бұрын
Nimepiga ndeee!!!! Upo vizur Mr nishai nakufatilia Sana kaka unajua
@stanastana3199
Жыл бұрын
Joti ameunganisha sio🤣🤣🤣🤣
@kambikashama4619
Жыл бұрын
😂😂😂😂 Joti Ana Dunia Yake 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@justinefocus5445
Жыл бұрын
Joti you are so talented
@rashdiyange7758
Жыл бұрын
Mamama anguuu jaman nimejikojolea ofisn apa mwezenu et mie malaya tu mamaeeee jot senge sna www🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nitunda
Жыл бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇧🇮🇧🇮 TWA MUKUBALI ZAHIDI UYU JOTI. MIMI APA NAWAZANGA KAMA VILE NI MDOGO WAKE NA KANUMBA .MWEZENU NAPOTEYA 😂😂
@neemamangushi8187
Жыл бұрын
Og comed tunayoiona sasa,imemkosa Joti,Anajua sana huyu jamaa,Bungu azidi kumbarki ktk kz zake
@hassansammy1076
Жыл бұрын
Never disamppoint nakubali baba joti 😂😂😂😂😂😂😂💯💯💯💯🔥❤️
@naturelle1097
Жыл бұрын
I wonder who writes these scripts.and the actors always understand their assignment 😂😂😂Joti you are too funmy..sadly this is how our society has become..cheaters everywhere!
@starlonejadamskp8224
Жыл бұрын
Never disappoint jotiiii 😂🤣😋
@tirap6290
Жыл бұрын
9:25 😂😂😂😂 best part
@mohamedslh5478
Жыл бұрын
Noma sanna
@edsonmunuo7112
Жыл бұрын
😂😂😂jotiii a good comedian
@user-fb6nh1tj7r
Жыл бұрын
Me sijaonganishaaa😅😂😂😂
@stevenmnyema281
Жыл бұрын
watu wanawahi jamani 😂
@isackmhema7392
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂Mtu mwenyewe nmepiga mtandiooooooooo😂😂😂😂😂😂
@meshackaloyce9662
Жыл бұрын
Jott utafika mbinguni ukiwa umechoka 😂😂😂
@jamesminja1510
Жыл бұрын
Hahahaahhaha pesa ya mkeo unaenda kuongea dhammbi kubwa wapo weng sana chakushangaza me najua mke wake aliko itoa
@qaseemayoub6758
Жыл бұрын
Kila mtu wa kwanza sjui kuna nn ukiwah muhim kuwa clip ya leo KAUNGANISHA nimeiwah mapema mapema😮
@vicentmlumba591
Жыл бұрын
Ila Jotii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌 Sina kibundaa
@peterjanuary429
Жыл бұрын
Show qaliiii 😂😅😂😂😂😅😂😄😅 mwendo waku unganisha tuh 😅
@nelsonwilfred1119
Жыл бұрын
Dally kimoko😂😂😂😂😂😂😂😂
@malakimoses6115
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 nishai leo amepatikana
@mrishowjohnny9316
Жыл бұрын
Huyo mdada mkwe wa nishai anajua kuigiza ❤
@shadyasalum192
Жыл бұрын
Jamani nimekuwa wakwanza like zangu ata kumi tuu joti jamani 🤣🤣joti mariooo🤣🤣
@numpefikimwaipopo
Жыл бұрын
Like anapewa mhusika anaetuburudisha wewe inatakiwa kucoment au kutoa maoni yako Asante
@abbashussein-hz4dr
Жыл бұрын
Unaunganishaje sasa jamani😂😂😂😂
@ritapiusnicolaus7068
Жыл бұрын
Kaunganisha chamoto kakiona JOTI 😂😂😂😂😂😂😂❤️🥰
@imbatokamoyoni2209
Жыл бұрын
Nimependa huyo mama anaweza sanaaa
@clodoaldusrutakangwa2702
Жыл бұрын
Alfu Joti badilisha viatu bhana 😂😂😂
@Notorias
Жыл бұрын
Nipeni maua yangu 🎉
@ashnaom2270
Жыл бұрын
Wow,,,,,,sho Kali joti jotino❤
@ndindidee4778
Жыл бұрын
Sio mwizi ila makaya tu 😂😂😂, that got me 😂🤣🤔🇰🇪
@AdamJuma-xy6bh
Жыл бұрын
Suzy bhana haende wape hajanipa maelezo😂😂
@akramSaid-lg7gp
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂ndani kimoko
@user-do3vw5qs9i
Жыл бұрын
SEMA nishai ndo the best roll moder❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊😊
@lildan80
8 ай бұрын
Mimi Malaya tu 😹😂😂 much love from kenya
@queenlinda255
Жыл бұрын
👏👏👏 very nice work JOTI
@peterjanuary429
Жыл бұрын
Eti Dali kimokooooo😂😄👐
@LaulianLucas-yc6og
Жыл бұрын
Ahaaaa ety sina salio 😂😂😂😂 nishai htar sana👊👊👊
@nyamanyama-td5zt
Жыл бұрын
Eti mm marayaaaa tu😂😂😂😂😂
@mosalah857
Жыл бұрын
Wkwanza kabisa like zang
@MafuruGunje
18 күн бұрын
Joti unatisha sana kaka
@SalamaAme-t1m
Күн бұрын
Mumewe kamfata kazini kuna ubaya😂😂😂
@gebochuma9000
Жыл бұрын
Iyo Ndosi (kichwa) mzee sio poa daaah😂😂😂😂
@MafuruGunje
18 күн бұрын
Kaka wewe ni hatari sana
@RamadanPaul
10 ай бұрын
Zhuu mzur kweli,😘😘😘😘
@davidpeter8099
Жыл бұрын
Yaani kichwa kimoja tuu unaropoka mwenyewe me siyo mwizi ni me malaya tuu 🤣🤣🤣🤣
@AminosALLY-ub5gw
3 ай бұрын
HIO iMeisha Ende.ahhahh
@zeddymourice4249
Жыл бұрын
Mi Malaya tu 🤣🤣 Malaya hapigwi🤣🤣🤣🤣🤣
@ernestmwakalambo3938
Жыл бұрын
Mi sio mwizi mi malaya tu 🤣🤣 nishai bhana
@ashurahamiss
9 ай бұрын
Wa kwanza katka wote umu😂😂😂niomben like zenyuu tyuu wapenz🎉🎉😂😂❤❤❤
@azimukizo9816
Жыл бұрын
King zamunda
@hamidmweusiii35
Жыл бұрын
Duh kumbe hii bado ipo ya kununua bao Moja Kwa laki1
@mudhihirinjinjo3791
Жыл бұрын
Sina saliooo 😂😂😂😅
@hclever7731
Жыл бұрын
Umeunganisha😂😂😂
@munimuni3365
Жыл бұрын
Marayaa tu 🤣🤣
@zeddymourice4249
Жыл бұрын
Daliiiki moko🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-uj8ge7zk4p
Ай бұрын
Malaya apigwi 😅😅😅😅😂😂😂
@geofreykalo
Жыл бұрын
Mi ni wa Kwanza like zangu
@abbashussein-hz4dr
Жыл бұрын
Ungemfinyia kwa ndani hyo hyo kimokoo😂😂😂
@malakithompson8656
Жыл бұрын
Leo Mi wa kwanza pia 😂
@papidassalon6606
Жыл бұрын
Here for Lucas (joti ) From papida ❤️
@IssaothmanSliman
Жыл бұрын
Umetishaass mwamba jotiiiiiiiiu
@ayubuchristian7356
Жыл бұрын
Nimechelewa lkn sio sana em na mm nipeni izo likes nione rah yake
@boazambokile2587
Жыл бұрын
Mimi wa mwisho nipeni like zangu
@hawasaid7151
Жыл бұрын
Police jamii nakuonya😂😂
@ماجكموزجوني
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 All the Mexican waves to you maaan😂😂😂😂😂
@mossesramadhani501
Жыл бұрын
Dooooh heti. Ndeeeeehh😀
@kadegefrank2976
Жыл бұрын
legend kidali kimoko😂
@ahmadikhamis7010
Жыл бұрын
inahamasisha ngono ata kama inachekesha
@mathiaslyamunda2526
Жыл бұрын
Nishai never disappoint 😂😂
@ivansixbert3602
Жыл бұрын
😂😂 umegundua EEE!!
@teacherkaligodottonjige
Жыл бұрын
Great content
@Yusuphthebos.com2004
Жыл бұрын
Dali kimoko
@PaulBilakwata
Жыл бұрын
Nishai bhana eti nimepiga ndeeem..
@aronpaul2331
Жыл бұрын
Dalii k8mokoo😅😅😅
@jamilaathumani5481
Жыл бұрын
Eti mim sio mwizi Mimi ni maraya tuu 😁😁😂😂😂😂🤣🤣🤣
@joshnathan6945
Жыл бұрын
Haya sasa namba moja
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
Hivi bado Kuna wanawake wa hivi kweli 😂😂😂😂kumpa pesa mwanaume NI UFALA wa hali ya juu😂😂😂 Usimpe mwanaume hata sh.10 mbovu ,utakuwa unajilaani mwenyewe. Mwanamke ndo wa kupewa pesa jamani,
@mariamgodfrey53
Жыл бұрын
Wapo hata huku mtaani kwetu mafala hawaishi
@ashminaabdulla8946
Жыл бұрын
Kweli
@agnesjohn9382
Жыл бұрын
@@mariamgodfrey53😂😂😂 eti mafala
@robertlinuma6051
Жыл бұрын
Ushapoteza njia yako ...sio kila mmoja atapita njia zako ..wako watu hawajawahi kuumizwa !! Wanazaliwa mpka wanakufa ..ukiponda mwanaume wanakushangaa !! Historical yako labda mbaya .!! Kuna watu wanakombination kwenye ndoa mpka unashangaa .
@rosemilingi7860
Жыл бұрын
Nikweli kbs
@expert5898
Жыл бұрын
Yaani umfanyie mkeo hivyo! Inatakiwa uwe na roho ngumu sana
Пікірлер: 416